Haji Manara: Paul Makonda alilazimisha kwa nguvu uteuzi Simba SC, Mo Dewji asilaumiwe hakuwa na namna

Haji Manara: Paul Makonda alilazimisha kwa nguvu uteuzi Simba SC, Mo Dewji asilaumiwe hakuwa na namna

Chachu Ombara

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2012
Posts
6,067
Reaction score
10,938
Haji Manara ameendelea kuanika maovu ya Paul Makonda aliyekuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam, kupitia Instagram yake, Haji Manara amesema haya kuhusu Paul Makonda kulazimisha uteuzi katika Klabu ya Simba.

Ukalazimisha uteuzi Simba kwa nguvu, ktk hili MO alikuwa hana namna asilaumiwe, angefanyaje na yy ni mfanyabiashara anaetafuta amani ktk biashara zake,,nakumbuka nilimwambia huyu wa nn wakati hana ajualo kuhusu football? Akanijibu,Haji acha tu mdogo wangu,,tuepushe kikombe kibaya kipite,,mbona leo hatukuoni ktk huo ushauri wa michongo?
 
IMG-20220412-WA0001.jpg
IMG-20220412-WA0000.jpg
 
Ohooo kimeumana.

Bashite 0 Wasiojulikana 3. Game on💥
 
Bashite Mpaka sasa umeshapigwa 5 bila dakika ya 89 tulia bwana bashite..Tafuta eneo porini zama huko Ulime kilimo kikubwa ukiibuka wananzengo wawe wamepoa lima hata ngano wewe huoni tunasota na Ngano haitoshi au mafuta ya kula?? LAKINI Kusema Ulijenga choo ha ha ha ulitoa wapi hela?? Una budget wewe?? Magari ya Polisi Wewe ni IGP au Waziri utaibua mengine zaidi...Utaulizwa ulipotoa hela watakumaliza....Huu sio muda wako Tena kubali hilo kiroho safi waombe radhi Watu uliowaumiza ni Wengi sana.....
 
Bashite Mpaka sasq umeshapigwa 5 bila dakika ya 89 tulia wana bashite..Tafuta eneo porini zamana huko Ulime kilimo kikubwa ukiibuka wananzengo wawe wamepoa lima hata ngano wewe huoni tunasota na Ngano haitoshi au mafuta ya kula??
Bongo sihami [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwa wanaomjua haji manara naomba wamwambie yeye Kama muislamu anayehakikisha dini yake hasa katika kipindi hiki Cha ramadhani pili anashindwa kumuheshimu mkristu mwenzake Alie kwenye kipindi Cha kwarezima hvyo kwa busara ya utu alipaswa kunyamaza na kiheshimu utu wake na Imani yake hasa kipindi Kama hiki.

Manara ajiangalie anatumika vibaya kwa Hali yake aliyonayo na jinsi alivyo anatumika vibaya na wenye Vita na makonda.

Mwisho Sion ulazima wa yeye kuanza kusema haya Leo Kama Mimi nisivyo na ulazima wa kukoment hii issue hapa sababu hainihusu Kama ilivyo haimuhusu manara.

Tukutane kwenye kufuturu na kufungulia kwa yote tuliyokuwa tumeyafunga leo
 
Haji Manara ameendelea kuanika maovu ya Paul Makonda aliyekuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam, kupitia Instagram yake, Haji Manara amesema haya kuhusu Paul Makonda kulazimisha uteuzi katika Klabu ya Simba.

Ukalazimisha uteuzi Simba kwa nguvu, ktk hili MO alikuwa hana namna asilaumiwe, angefanyaje na yy ni mfanyabiashara anaetafuta amani ktk biashara zake,,nakumbuka nilimwambia huyu wa nn wakati hana ajualo kuhusu football? Akanijibu,Haji acha tu mdogo wangu,,tuepushe kikombe kibaya kipite,,mbona leo hatukuoni ktk huo ushauri wa michongo?
Nchi hii siku hizi zaidi ya 98% ya Vita za CHUKI, MANENO, na SHUTUMA Ni maslahi na NJAA.

MANARA Ni chawa wa GSM.

GSM ana beef na Bashite.

Yaani hapa unaweza kuwekwa nyuma ya agenda za MASLAHI ya mtu wakati hata huhusiki.

Siku wakielewana unabaki Kama Taahira.
Kaa kitaalam
 
Aloo manara sio wa Kugombana nae asee...

Yule mzaramo sijuiii...

Maana sijui hata mkewake anamuwezaa
 
Ingekua kijijini, wangeitwa kila mmoja akavua shati, wakachapana nakoz kavu kavu. Mtu anagongwa nazi za kutosha maturu kibao, mshindi anapewa heshima maisha yanaendelea.
Sema kwakua ni daslama, wanachambana mtandaoni. Wapewe madera tu.
 
Ashukuru Kaka yetu hans pope hayupo duniani angemkalia Koo pengine makonda angekua kahama nchi pope aliishi uhamishoni kisa yeye na baba ake
 
Back
Top Bottom