Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Wote tunaelewa uongozi wa makonda haukufata maadili ya sheria na kwa namna yeyote makonda hawezi kuepuka lawama
Hakuna namna anaweza convice mtu timamu kuwa anawindwa na wabaya wa madawa ya kulevya aliowaumbua kwa njia za haki na sio kubambikiza
Ila hii slip slope ya manara ndio inanifanya zaidi nimuache makonda nimfikirie Manara
Kwanini mpaka saizi sijaona mtu yeyote ambaye alikuwa mhanga wa utawala wa makonda ameonesha kulivalia njuga hili swala kama navyomuona Manara?
Kuna mtu nyuma yake au ni kujipendekeza kwa mabosi?
Nini kinachompa jeuri Manara kiasi akose uoga maana sio mara moja anam attack. Alianza kumnanga indirect kwa kutuma ujumbe wa kimafumbo lakini saizi kaenda mbali zaidi, ni nini kinachompa confidence hiyo?
Hakuna namna anaweza convice mtu timamu kuwa anawindwa na wabaya wa madawa ya kulevya aliowaumbua kwa njia za haki na sio kubambikiza
Ila hii slip slope ya manara ndio inanifanya zaidi nimuache makonda nimfikirie Manara
Kwanini mpaka saizi sijaona mtu yeyote ambaye alikuwa mhanga wa utawala wa makonda ameonesha kulivalia njuga hili swala kama navyomuona Manara?
Kuna mtu nyuma yake au ni kujipendekeza kwa mabosi?
Nini kinachompa jeuri Manara kiasi akose uoga maana sio mara moja anam attack. Alianza kumnanga indirect kwa kutuma ujumbe wa kimafumbo lakini saizi kaenda mbali zaidi, ni nini kinachompa confidence hiyo?