Haji Manara: Paul Makonda alilazimisha kwa nguvu uteuzi Simba SC, Mo Dewji asilaumiwe hakuwa na namna

Haji anasema haya sababu ya kumpendezesha bosi wake gaidi GSM fadhili wa Yanga, na si yeye bali huo mdomo unatumika kama speaker ya GSM, bila GSM Manara ataukimbia mji, huyu bwana bila wahaindi na waarabu hana jeuri ya kuishi mjini, mwanzo aliishi kwa dua za MO na sasa kwa ulamba viatu kwa Gharibu. Jamaa kama mwananamke wa kigodoro
 
Motivational speakers bana [emoji1][emoji1][emoji1]
 
Unasema vp haimuhusu wakat alishawah fanyiwa mabaya na Makonda,akiona Makonda analalamika na yy anakumbuka mabaya aliyofanyiwa na Makonda.Jiweke kwenye position yake halafu ndio umuhukum.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…