The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
zwenge ndaba na hii mtu kuitwa Kanjibai ni sawa? sio racism?Kanjibai atulie tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
zwenge ndaba na hii mtu kuitwa Kanjibai ni sawa? sio racism?Kanjibai atulie tu.
Ni ustaarabuMkuu,kwahiyo ukiita mlemavu wa ngozi ndio inakua kajiumba yeye hivyo?
zwenge ndaba na hii mtu kuitwa Kanjibai ni sawa? sio racism?
Ustaarabu unategemea mtu na mtu,sio kila unachokiona wewe kua ni cha kistaarabu basi kila mtu ni lazima nae akione chakistaarabu kama wewe,hatufanani.Ni ustaarabu
Hakuna mpaka wowote aliouvuka zeruzeru ndio tafsiri halisi ya albino sema wanasiasa wanaleta siasa tu ndio maana wanaleta tafsiri zao ili waonekane ni watu wema kumbe wanatafuta kula(sio kura) lakini hata kwenye kamusi ya kiswahili kuna Zeruzeru,kipofu,kilema,kiwete,bubu,kiziwi n.kUmevuka mipaka man
Ilo halina tatizo kwa sababu ,sio ulemavu ,ni sawa na kumuita mwarabu Koko,au cheupe dawa,au chausi mangala,haya hayana hayana shida kwa sababu ata ukimuita mtu cheupe dawa,hakuna uhalisia kwamba weupe wake ni dawazwenge ndaba na hii mtu kuitwa Kanjibai ni sawa? sio racism?
Sawa,subiri umzae huyo mtoto mwenye ulemavu wa ngozi,halafu utaniletea mrejesho hapaUstaarabu unategemea mtu na mtu,sio kila unachokiona wewe kua ni cha kistaarabu basi kila mtu ni lazima nae akione chakistaarabu kama wewe,hatufanani.
Hiyo ni tafsiri yako wewe But haupo sahihi,mtu atambulike kwa Jina lake na sio Skin color,ethnic..Ilo halina tatizo kwa sababu ,sio ulemavu ,ni sawa na kumuita mwarabu Koko,au cheupe dawa,au chausi mangala,haya hayana hayana shida kwa sababu ata ukimuita mtu cheupe dawa,hakuna uhalisia kwamba weupe wake ni dawa
Umetoka nje ya mada,anyway mimi sizai bali nazalisha.Sawa,subiri umzae huyo mtoto mwenye ulemavu wa ngozi,halafu utaniletea mrejesho hapa
Kiwete na mlemavu wa miguu yote yanamanisha kitu kimojaMazeruzeru/ albino wanakua wakorofi sana sana ukitaka zeruzeru akusifu muite kwa jina Zungu uone hadi jino la mwisho
Sawa,zalishaUmetoka nje ya mada,anyway mimi sizai bali nazalisha.
Leta post moja kama mfanoMtu Aliye sawa Kiakili hawezi kukaa na kusoma Post za Manara, Kwasababu Content ya Post zake Hazijawahi kubadirika, Kama Sio atasifia basi ataponda akienda mbali zaidi atatafuta Huruma kwa Watanzania.
Hivyo Binafsi huwa Sipotezi muda Kusoma Post zake
Alimtukana Mo kila Mahali na kila Mtanzania Alisikia na kuona
Hayo ni majina tu "Identity" ila haibadili uhalisia wa kitu,Sawa,zalisha
Mwite mlemavu wa ngozi
Kiwete na mlemavu wa miguu yote yanamanisha kitu kimoja
Ila kiwete ni kama linaukakasi kidogo
AahaaaHapana hata usipotumia neno zeruzeru kamwe habadiliki mbona watu weusi tunaitwa black au cheusi na unaitika kwa sababu kwenye lugha kuna kitu kinaitwa pragmatism ( reality of something) mambo ya tafsida ni unafiki tu ndio maana ukiwa congo maneno kama kwenda kunya yanatamkwa kama yalivo ukirudi bongo utaambiwa kwenda kunisaidia, kujamba inatamkwa kama ilivo kenya lakini bongo linaonekana neno la aibu, tafsida ni asili ya aibu na aibu mara nyingi inabeba unafiki
Haji ni zeruzeru basi.
soma vizuri koment yake au na wewe ndo wale wale waandishi wa mchongoNa wewe unaamini Manara hajawahi kumtukana Mo? Si anajikosha tu, hata mwandishi asingeuliza, wengi tunaona kwa macho maandishi ya Manara
Zeruzeru.Ni kejeri,mwite mlemavu wa ngozi