Haji Manara: Sijawahi kumtukana MO

mimi nilimblock Manara na Mange cos niliona hawana athari + kwangu yaani kumsikiliza Manara na Mange niliona ni matumizi mabaya ya bando zangu.Mtu mwenye ulimi wenye kauli za matusi,kejeli na masimango hafai kupewa airtime mbele ya watu timamu.


Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Chombo ya Mzee Tozi wa bandarini

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Haki haijali tajiri au maskini, Manara ni zezeta tu, kwa hiyo anaweza kumtukana maskini kwasababu hatafanywa chochote na mamlaka?

Halafu kuna mazezeta kama yeye yanamshangilia.
 
Huyu jamaa akijichanganya tena atapigwa kifungo kingine juu kwa juu akavitumikie vyote concurrently, kama wanasheria wanavyosema.

Kwanza sidhani kama kwenye mambo ya mpira ataruhusiwa kurudi. Dunia imeshahama kutoka aina yake ya uhamasishaji.
 
MANARA umemtukana MO Mara nyingi sana MO ni mstaraabu ningekuwa mimi ningeshakufungwa huwa sichezewi na Wahuni kama Wewe
 
Duuuuuh hii kali sasa,.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mazeruzeru/ albino wanakua wakorofi sana sana ukitaka zeruzeru akusifu muite kwa jina Zungu uone hadi jino la mwisho
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu sijui kwann yaan.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…