Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
A
Acha wivu au nawe mtumwa wa TFF🤔Katika Hali isiyo ya kawaida yule msemaji wa utopolo aliyepigwa marufuku kujihusisha na mambo ya mpira ndani na nje ya nchi Kwa muda wa miaka miwili, Leo ameonekana ndani ya uwanja wa mkapa akiwa na lundo la walinzi.. kwenu TFF