pandagichiza
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 5,248
- 3,663
Pierre sa hv ni baloziAsingekuwa kichaa asingekuwa Maarufu
Nchi Hii ili upate umaarufu lazima akili uzipeleke likizo
Sasa hivi Kila Mtu Pieree Pieree ukiuLiza ndio nani unaambiwa Mlevi wa Taifa Hakuna Maelezo ya ziada zaid ya Kuwa Mlevi Na amepata umaarufu Na kawa Maarufu mpaka kurekodi Matangazo ya Biashara
Acha twende hivyo hivo
Pierre sa hv ni balozi
Anaalikwa kufanya shows kila weekend
Ni kama alivyokuwa Dr. Shika
Hii ndio bongo
Ilala,anataka amtoe Zungu.Ubunge ? Jimbo gani?
ni msemaji wa CCM na Simba.Simba ni timu kubwa ila haina msemaji, mwenye sifa za kuisemea Timu.Manara anaongea kama mtu wa siasa na si Timu kama Simba. Ata sababisha maafa kwenye mpira.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata wewe Kama njia ya kufanikiwa ni kujipendekeza jipendekeze, watu mnashindwa kumwelewa Haji manara Kuna muda anaongea Kama shabiki wa simba na kuna muda anaongea km msemaji so lazima utulize akiliJamani siasa za bongo,huyo manara kuropoka kote na kujipendekeza kwa wakubwa kumbe anataka ubunge.
CCM wanaweza wakampa ukizingatia ni mlemavu wa ngozi,halafu anajipendekeza sana kwa Magufuli.Ilala,anataka amtoe Zungu.
AC Milan na Inter Milan wana Viwanja?Nikisema sishabikii ligi ya bongo sababu ni kama hizi.
Kubwa zaidi ni vilabu vikongwe kutokua na uwanja.
Mlevi wa Taifa nani, Dudubaya?Ndo kutafuta umaarufu,kama mlevi wa taifa anapata air time ya kutosha kwa Tz ubunge hata Steve Nyerere anaweza kuwa
Pierre
Bongo bahati mbaya!Very true
Wanaojifanya Wana akili Sijui Wastaarabu Sijui wanaongea vitu vya Logic umaarufu wao utaishia kwenyw corridor Za Ofisi zao Na majumbani kwao
mkongo wenu mbona mara kibao anaidis simba?Ashuhurike na timu yake sio kuleta shobo kwenye timu ambayo haimuhusuundefinedSent using unknown device
Anatakiwa akamatwe usiku huu kwa uchocheziHaji Manara ni mchochezi,polisi wanatakiwa kumkamata uchochezi haupo kwenye siasa tu,Viongozi wa Yanga mchukulieni Rb mpumbavu huyo siyo kauli za uanamichezo.