Hakatwi mtu hapa: Jacqueline Mengi Mjane wa Dkt. Mengi apata Ushindi Rufaa ya Mirathi

Hakatwi mtu hapa: Jacqueline Mengi Mjane wa Dkt. Mengi apata Ushindi Rufaa ya Mirathi

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
1650652223108.png


Jacqueline Ntuyabaliwe ambaye ni mjane wa aliyekuwa mfanyabiashara maarufu nchini, marehemu Reginald Mengi, ameshinda pingamizi alilowekewa na wasimamizi wa mirathi katika rufaa ya mirathi ambao ni Abdiel Mengi (mtoto wa marehemu Mengi wa mke wa kwanza) na Benjamin Abrahamu Mengi (ndugu wa marehemu Mengi)

Ameshinda pingamizi hilo baada ya Mahakama kukataa hoja zote saba za pingamizi la wasimamizi wa mirathi.

Hii ni mara ya pili kwa mjane huyo kushinda pingamizi kutoka kwa wasimamizi wa mirathi hiyo wanaopinga kusikilizwa maombi yake ya mapitio.

Mahakama hiyo itasikiliza maombi ya mapitio ya Jacqueline na wanaye kwa tarehe itakayopangwa na Msajili wa Mahakama hiyo, ambayo ndiyo itatoa hatima ya uhalali wa wosia huo na uhalali wa Abdiel na Benjamin kuwa wasimamizi wa mirathi.
 
Haka kamwanamke kametumia uzuri wake kumrubuni Mzee wa watu na kutaka kujimilikisha mali ambazo kimsingi hakuzitolea jasho hata kidogo!

Hili jambo halikubaliki hata kidogo. Huu ni wizi kabisa wa mchana kweupe.
 
Haka kamwanamke kametumia uzuri wake kumrubuni Mzee wa watu na kutaka kujimilikisha mali ambazo kimsingi hakuzitolea jasho hata kidogo!

Hili jambo halikubaliki hata kidogo. Huu ni wizi kabisa wa mchana kweupe.
Naamini Mzee Mengi hatopenda mali zake ziende nje ya watoto wake,na watoto wake wadogo ni hao aliozaa na huyo dem,hao wakubwa walisharithi za mama yao na kwa umri wao walitakiwa kuwa vzr.Hata ningekuwa Mengi nisingekubali kumuachia mali mtoto asiyeendeleza line yangu.kwa wazee wa kiafrica it matters a lot.
 
Unataka jasho gani ?wakati Jack ni mke halali
Angekuwa ni dada yangu ningemshauri akili sana ,huyu demu unaambiwa anamatumizi level zake ninkina mariah carey ,sasa mengi alikuwa anaendekeza anapewa 20m ya kuishi na watoto analalamika ndogo hiyo haihusu ada wala matibabu wana bima ya hata tibiwa nje na anakaa hekaru ,roho ya kujiuza huwa ni isiyotosheka na haribifu
 
Angekuwa ni dada yangu ningemshauri akili sana ,huyu demu unaambiwa anamatumizi level zake ninkina mariah carey ,sasa mengi alikuwa anaendekeza anapewa 20m ya kuishi na watoto analalamika ndogo hiyo haihusu ada wala matibabu wana bima ya hata tibiwa nje na anakaa hekaru ,roho ya kujiuza huwa ni isiyotosheka na haribifu


Alifika 40 M monthly za kupewa na dr Mengi ukiondoa school fees na mambo mengine
 
Back
Top Bottom