Haki Hupiganiwa na Kulindwa, Haiombwi

Haki Hupiganiwa na Kulindwa, Haiombwi

Mhubiri 5; liko baa nililoliona chini ya jua ,nalo ni kama kosa litokalo kwake yeye mtawala
 
Hauwez tafuta amani huku unajiandaa kwa vita.
Unadhani nchi za urusi, korea, USA kwa nn kila siku wanatengeneza silaha za kivita kama sio wanahitaji amani hivyo ili kuepusha amani yao isipoteee lazima wajiandae kwa vita maana mataifa yenye vita hawafrahii amani ya taifa jingine.
 
Unadhani nchi za urusi, korea, USA kwa nn kila siku wanatengeneza silaha za kivita kama sio wanahitaji amani hivyo ili kuepusha amani yao isipoteee lazima wajiandae kwa vita maana mataifa yenye vita hawafrahii amani ya taifa jingine.
Wanatafuta PESA TU
 
Unadhani nchi za urusi, korea, USA kwa nn kila siku wanatengeneza silaha za kivita kama sio wanahitaji amani hivyo ili kuepusha amani yao isipoteee lazima wajiandae kwa vita maana mataifa yenye vita hawafrahii amani ya taifa jingine.
Nchi hizo zinaongoza kwa black market trade yani ukiangalia nchi wanazopigana wana uza silaha hatari... Ila wanatupaka mafuta wanatafuta amani. Amani hata siku moja haitafutwi kwa vita maana itazaa visasi.
 
Nchi hizo zinaongoza kwa black market trade yani ukiangalia nchi wanazopigana wana uza silaha hatari... Ila wanatupaka mafuta wanatafuta amani. Amani hata siku moja haitafutwi kwa vita maana itazaa visasi.
Duh!
Hongera na pole!
Maana nondo unazowapa ni za anga nyingine!
 
Demokrasia ina mipaka yake

Nchi yetu inatunu zake,viongozi wasiruhusu watu wachache wenye tamaa za kushika madaraka kwa njia za mkato waharibu Amani yetu
 
Demokrasia ina mipaka yake

Nchi yetu inatunu zake,viongozi wasiruhusu watu wachache wenye tamaa za kushika madaraka kwa njia za mkato waharibu Amani yetu
Kuwanyima wagombea fomu au kugomea kuzipokea na wizi wa kura si miongoni mwa tunu za Taifa letu.
 
Mlihamasisha watu wasijiandikishe, sasa hao wagombea wenu watapigiwa kura na nani?
 
Bams, sijui niseme umetoa 'mahubiri' (sermon), au hotuba ya kuamsha mori wa askari wanaoelekea vitani. Sina shaka jambo hili umeliwaza kiumakini mkubwa hadi kufikia hatua hii ya kutoa mifano uliyoitumia.

Tupo wengi tunaojiuliza nchi yetu hii imekuwaje hadi ifikie hapa, lakini tunayaona yanayotokea na kuzidi kutikisa kichwa kwa kutoamini yanatokea kweli.

Sitaandika mengi, ngoja niweke machache haya.
1. Ule mfano wa kitu cha thamani kubwa (HAKI) wanachonyang'anywa waTanzania na wasijue cha kufanya..., anayenyang'anya haki hiyo "Hakimbii" badala yake ananyang'anya kwa nguvu huku akielekeza mitutu ya bunduki kwa yeyote atakayejaribu kuitafuta haki hiyo. Hii ndio mbinu inayotumika sasa na kwa mafanikio makubwa katika kuwatia woga waTanzania.
Itakapotokea, siku moja akatokea mwananchi aliyetiwa kichaa kwa kuporwa haki yake na kusema liwalo na liwe, pengine huo ndio utakaokuwa mwanzo wa wengi kuiichukua haki yao bila kujali mitutu inayoonyeshwa mbele zao.

Tuchukulie mfano huu: tuseme kijiji au vijiji kadhaa katika wilaya moja walianzishe kwa kusema hawatakubali kunyang'anywa haki zao, hawa wanyang'anyi watadharau na kuendelea na dhuruma yao? Mfano mmoja kama huu ukitokea sehemu moja, kitakuwa kichocheo kikubwa sehemu mbalimbali nchi nzima.
Hapajatokea mfano, ndio maana hawa 'walevi' wa madaraka watazidisha ulevi wao.

2. Nadhani katika kuandika kwako kwamba "mtu mmoja, mtendaji" kuwanyang'anya haki kundi zima la wananchi na wasimfanye lolote..., utakuwa umesahau kauli iliyotoka juu wiki chache zilizopita kwamba "yeyote atakayemnyanyasa mwanachama wa CCM," akakiona..." Habari hii iliwekwa humu JF na 'clip' ya video ilionyeshwa.
Huu ulikuwa ni ujumbe mahsusi uliolenga nyakati hizi. Usifikiri ujumbe kama huo hao watendaji huko vijijini hawakuupokea. Kwa hiyo wanapofanya wanayoyafanya sasa wanajua wanayo kinga isiyohojiwa.

Nimependa mfano huo wa aliyowaambia wale wanafunzi walipokutana na Mwalimu Nyerere.

Tupo njiani, na nadhani hatuko mbali sana...somebody will call the bluff and see what happens. That will be the beginning of the end...
 
Kwakweli hizi siasa za Tanzania zinaleta depression
 
Bams, Ubarikiwe mtumishi wa Mungu! Makaburu weusi wa Tanzania hawtaacha upumbavu wao kwa kubembelezwa. Kama tunawaza hivyo, basi yule Mzungu aliyesema sisi weusi si binadamu kamili hakukosea.
 
Back
Top Bottom