Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Mkuu Nyani Ngabu kwani uliposema kuwekeza kwenye Guest House hukujuwa kwamba ndio biashara nzuri!!.....mfano sasa hivi Sinza kumejengwa Mahotel mengi sana lakini cha kushangaza wageni wanaofikia hapo ni wachache kuliko wazee wa gemu tena kuna mademu wengine wanaliwa wakati wa lunch time, kuna ile style ofisini mtu anajifanya anampa lifti mfanyakazi mwenzake waende lunch basi muda huohuo mtu anatafunwa Hotelini, tena Hotel zenyewe za Sinza na Kariakoo zipo mpaka za shilling 30,000/= per room.Sasa katika hiyo time-frame ya saa 4 asubuhi mpaka saa 10 jioni utammegea wapi? Nyumbani kwako?
Mkuu Nyani Ngabu kwani uliposema kuwekeza kwenye Guest House hukujuwa kwamba ndio biashara nzuri!!.....
mfano sasa hivi Sinza kumejengwa Mahotel mengi sana lakini cha kushangaza wageni wanaofikia hapo ni wachache kuliko wazee wa gemu tena kuna mademu wengine wanaliwa wakati wa lunch time, kuna ile style ofisini mtu anajifanya anampa lifti mfanyakazi mwenzake waende lunch basi muda huohuo mtu anatafunwa Hotelini, tena Hotel zenyewe za Sinza na Kariakoo zipo mpaka za shilling 30,000/= per room.
uki deal na wanawake kwa kiburi cha 'haki yangu'
watakusumbua sana....
wanawake nenda nao kama watoto wadogo...
wape 'pipi' na 'ice cream' kila mara...na 'uwaimbie imbie nyimbo'...
ndo wanaenda...
Mkuu Nyani Ngabu kwani uliposema kuwekeza kwenye Guest House hukujuwa kwamba ndio biashara nzuri!!.....mfano sasa hivi Sinza kumejengwa Mahotel mengi sana lakini cha kushangaza wageni wanaofikia hapo ni wachache kuliko wazee wa gemu tena kuna mademu wengine wanaliwa wakati wa lunch time, kuna ile style ofisini mtu anajifanya anampa lifti mfanyakazi mwenzake waende lunch basi muda huohuo mtu anatafunwa Hotelini, tena Hotel zenyewe za Sinza na Kariakoo zipo mpaka za shilling 30,000/= per room.
Sasa mwanamme anatoaje talaka? Sheria inampa mamlaka ya kutoa? Na kama mwanamme anatoa talaka ina maana jaji hana umuhimu katika shauri la talaka?
Duuh! Kama ni kweli hivyo ndivyo ilivyo basi kaazi kweri kweri.
Yaani kwa hiyo ina maana mwanamke anaweza akawa kwenye abusive marriage na asijichomoe toka kwenye hiyo hali hadi mumewe apende? Hata akipigwa mangumi na kung'olewa meno hana jinsi....ni kuvumilia na kusamehe saba mara sabini?
I am trying to make sense of that nonsense but I just can't.
shauri lako,ngoja na huyo mke wa pili aje na visanga vyake....ukienda huku gubu,ukirudi huku gubu. ndio kiranga kitakavyokukoma....kama mkeo shida yake talaka si umpe tu na wewe uwe free kumuoa unayemtaka???......holding onto dead relationship...is not healthy,not for you,not for anybody else.
Kuna siku Mwanakijiji alianzishaga mada kuhusu kulegeza sheria ya ndoa Tanzania na kugusia kama kuwepo na kipengele cha "no-fault" divorce, na mimi nilipounga mkono watu hawakunielewa kabisa.
Ila sijabadili mtazamo. No-fault divorce bado naifagilia, tena sana tu. Na kwa Tanzania ndoa nyingi ni maigizo tu. Wanandoa wanazini kuliko ambavyo watu wako tayari kukiri.
Midanguro (gesti) imejaa kila kona na patrons wake wengi nadhani ni wanandoa. If that's not the apex of hypocrisy, then what is?
Kama uwezo unakuruhusu usipoteze wakati, mimi yangu mzazi alikuwa amepangisha wapangaji nyumba yake halau akawa analalamika hawamlipi kodi, basi mimi nilichofanya niliwaandikia notice wote na kuwaamisha na kuifanyaia renovation nyumba ikawa ni Guest yenye vyumba 18, akamuweka mama yangu mdogo wakawa wanagawana mapato nusu kwa nusu, mama akanilalamikia tena eti hakuna biashara nikamwambia subiri wanaokuhujumu dawa yao iko jikoni inachemka, nikaongea na rafiki mchaga yeye hizo ndio biashara zake na mabar nikamkabidhi kwa Mama wamesaini mkataba na analipa shilling millioni 1 kwa mwezi kwa mkupuo wa miezi sita sita.ndo maana vita dhidi ya ukimwi ni ngumu sana.....
ila kwa mjasiriamali kama mie nashukuru kwa kunipa wazo la biashara loh!!!!!!!
uki deal na wanawake kwa kiburi cha 'haki yangu'
watakusumbua sana....
wanawake nenda nao kama watoto wadogo...
wape 'pipi' na 'ice cream' kila mara...na 'uwaimbie imbie nyimbo'...
ndo wanaenda...
Hahahaaa imebidi nicheke....NN, Matola amekujibu vizuri.
Tatizo kuna watu hawaelewi na wengine wanapotosha wenzao kuwa mwanaume ndio anaetoa talaka(kwa waislam sawa) lakini kisheria mnakua mmeshapitia ngazi kadhaa mpaka kufikia mahakamani na anaetoa talaka ni hakimu anaeona kuwa kweli nyie vilaza wawili hamuwezi kuendelea kuishi pamoja na si ww(mwanamke/mwanaume)na hamna signature yoyote unayoweka!!! Kila mtu anapewa karatasi lake mnaingia mitini....waiiii watu bwana wanadanganyana sana.
Umegusa penyewe na ukikaa na hao wanandoa wanakutajia na mida yao mizuri ya kuzuka huko ili husband/wife asijue teh teh teh teh......bongo tambarare!
The Boss...............
Kusema ukweli nilikuwa sijalifikiria kabisa hilo. Ila leo sijui ni nini tu kimeniingia kichwani na kufikiri kuwa nyingi ya hizo gesti huwaga hazina wakaaji wanaokaa kwa siku kadhaa au overnight. Hapo ndipo nikatanabahi kuwa hiyo yote ni kwa sababu hizo gesti hutumiwa kwa muda mfupi.
Hiyo ya lanch time hata mimi nimeshaishuhudia aisee. Halafu sasa wote wawili ikifika muda wa kurudi nyumbani wanakuwa on time kama vile hawajafanya chochote kibaya. Watu bana...
mtu anakutia panzi wa roho uko nae tu, dah! mie uvumilivu wa namna hiyo Mungu ameninyima , we muache bwana life is too short, kwanini uishi kwa kujitesa na uwezo wa kuepuka mateso unao.
Kama wewe ndie unaeweza kutoa ndio utoe sasa.
biashara ya gesti ni nzuri but
Sasa Boss niambie kwa nini biashara ya gesti ni nzuri (I have a high regard for your business acumen)?