Haki kisha kabla mtoto wako hajafika chuo wamefanya hili

Haki kisha kabla mtoto wako hajafika chuo wamefanya hili

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
Hakikisha Angalau amesafiri nje ya nchi Angalau nchi mbili.

Elimu matembezi ( exposure) ndio elimu kubwa kuliko elimu ya chuo.

Vyuo sasa ni vyanzo vya mapato vya wamiliki sio vyanzo vya elimu. Ndio maana bado shahada na stashshada za elimu Zina Endelea kutolewa wakati kunamafuriko ya walimu wasio na pakufundisha mtaani.


Jitahidi kwa EA mtoto wako angalau atembelee Uganda. Duniani Uganda ni nchi ya pili ukiacha Sli Lanka kuwa na raia wengi ambao ni wajasiliamali. Mtembeze humo madukani na kwenye vurugu nyingi za utafutaji Kampala Angalau akili ifunguke mapema.

Jitahidi umpeleke US au China akaone pesa kwa wazungu haipatikani kilelemama. Hakuna kitu cha bure au msaada ya ndugu.


Mfungue mtoto wako, achana na mapokeo ya birthday, umpeleke huko Nairobi, Botswana, SA, Dubai, NY, London, Hong Kong New Delhi etc

Hii itamsaidia kuacha kulialia, kulaumu mfumo fyongo ya nchi hii na kuingia moja kwa moja kwenye utafutaji bila kusingizia nchi au kutegea.


Ni hayo tu

Mengine ongezea wewe

Mtumishi
Mitale naMidimu
 
Uzuri huu uzi hautafutwa kwahiyo uwezekano wa yeye kuja kuusoma pia upo, nadhani atakuja kuwafanyia wanae, kwa sasa mambo ni magumu sana 🤒😎
Yatakuwa magumu hadi lini? Lazima tuwe na deadline ya umasikini binafsi maana kuishi tu kuwa mambo ni magumu ni kukata tamaa mapema wakati lifegame hajafika hata halftime.
 
Tatizo wazazi wa kitanzania ni wabishi mno! Huwaambii kitu kwa traditional education... kuna kipindi mtoto wa dada yangu alikuja kwangu baada ya kumaliza form four mi nika suggest kipindi akiwa anasubiria matokeo asome kozi ya graphic designer ili apate ujuzi! Cha ajabu baba yake alikataa kata kata akawa anataka mwanae akasome tuition za pre form five.
 
Hakikisha Angalau amesafiri nje ya nchi Angalau nchi mbili.

Elimu matembezi ( exposure) ndio elimu kubwa kuliko elimu ya chuo.

Vyuo sasa ni vyanzo vya mapato vya wamiliki sio vyanzo vya elimu. Ndio maana bado shahada na stashshada za elimu Zina Endelea kutolewa wakati kunamafuriko ya walimu wasio na pakufundisha mtaani.


Jitahidi kwa EA mtoto wake atembelee Uganda. Duniani Uganda ni nchi ya pili ukiacha Sli Lanka kuwa na raia wengi ambao ni wajasiliamali. Mtembeze hump madukani na kwenye vurugu nyingi za utafutaji Kampala Angalau akili ifunguke mapema.

Jitahidi umpeleke US au China akaone pesa kwa wazungu haipatikani kilelemama. Hakuna kitu cha bure au msaada ya ndugu.


Mfungue mtoto wako, achana na mapokeo ya birthday, umpeleke huko Nairobi. Botswana, SA, Dubai, NY, London, Hong Kong New Delhi etc

Hii itamsaidia kuacha kulialia, kulaumu mfumo fyongo ya nchi hii na kuingia moja kwa moja kwenye utafutaji bila kusingizio au kutegea.


Ni hayo tu

Mengine ongezea wewe

Mtumishi
Mitale naMidimu
Tumepokea kwa utekelezaji ndani ya familia zetu. Lkn kwa Mzazi pia kabla hujafikiria kumpa exposure hiyo mwanao Je, wewe mwenyewe umeenda ng'ambo kwenye Nchi ngapi? Je, umefika Botswana ukaona wenzetu vile wanakimbiza kwa Miundombinu na Ustaarabu au unaishia kuona Uchafu na Kelele za Vispika kila duka na kila mtaa.

Je, huko Duniani umefika Amerika au Ulaya hasa Ulaya ya Magharibi ukaona vile Mwanadamu anatakiwa kufikiri, kutenda na kuishi? Basi kama umefika chukua hatua. Kama hujafika soma soma hata mitandaoni utaelewa.

Tulee watoto wetu kwa kuwaandaa kuishi Duniani siyo Kuishi Tanzania.
 
Tatizo wazazi wa kitanzania ni wabishi mno! Huwaambii kitu kwa traditional education... kuna kipindi mtoto wa dada yangu alikuja kwangu baada ya kumaliza form four mi nika suggest kipindi akiwa anasubiria matokeo asome kozi ya graphic designer ili apate ujuzi! Cha ajabu baba yake alikataa kata kata akawa anataka mwanae akasome tuition za pre form five.
Elimu hizi zilishamili na kuonekana zinafaida ya moja kwa moja wakati wa industrial revolution. Kabla ya hapo 90% ya Dunia walikuwa vibarua au wajasiliamali. Ndio degree zilizalishwa za kutosha ili wapatikane wafanyakazi na watoa huduma kwa viwanda na miradi ya matajiri. Matajiri mwenyewe watoto wao hawakuwafundisha hizo makitu, waliwaandaa kuja kutawala Hao wasomi.

Zama zimebadilika, age zimepita elimu sasa hivi kazi kubwa ni kukufanya uwe mstaarabu usifanye maamuzi ya kijinga Angalau. Ila mtu wanaweza kuwa kitu chochote katika umri wowote. Ndio maana chekechea za China zimebadilika mitaala. Watoto hawaendi kinywa uji na kuomba nyimbo za kizungu, wanakwenda kujifunza elimu za vitendo kana kwamba wataanza kazi baada ya graduation ya kindergarten.
 
Tumepokea kwa utekelezaji ndani ya familia zetu. Lkn kwa Mzazi pia kabla hujafikiria kumpa exposure hiyo mwanao Je, wewe mwenyewe umeenda ng'ambo kwenye Nchi ngapi? Je, umefika Botswana ukaona wenzetu vile wanakimbiza kwa Miundombinu na Ustaarabu au unaishia kuona Uchafu na Kelele za Vispika kila duka na kila mtaa.

Je, huko Duniani umefika Amerika au Ulaya hasa Ulaya ya Magharibi ukaona vile Mwanadamu anatakiwa kufikiri, kutenda na kuishi? Basi kama umefika chukua hatua. Kama hujafika soma soma hata mitandaoni utaelewa.

Tulee watoto wetu kwa kuwaandaa kuishi Duniani siyo Kuishi Tanzania.
Mkuu umenigusa
 
Hakikisha Angalau amesafiri nje ya nchi Angalau nchi mbili.

Elimu matembezi ( exposure) ndio elimu kubwa kuliko elimu ya chuo.

Vyuo sasa ni vyanzo vya mapato vya wamiliki sio vyanzo vya elimu. Ndio maana bado shahada na stashshada za elimu Zina Endelea kutolewa wakati kunamafuriko ya walimu wasio na pakufundisha mtaani.


Jitahidi kwa EA mtoto wako angalau atembelee Uganda. Duniani Uganda ni nchi ya pili ukiacha Sli Lanka kuwa na raia wengi ambao ni wajasiliamali. Mtembeze humo madukani na kwenye vurugu nyingi za utafutaji Kampala Angalau akili ifunguke mapema.

Jitahidi umpeleke US au China akaone pesa kwa wazungu haipatikani kilelemama. Hakuna kitu cha bure au msaada ya ndugu.


Mfungue mtoto wako, achana na mapokeo ya birthday, umpeleke huko Nairobi, Botswana, SA, Dubai, NY, London, Hong Kong New Delhi etc

Hii itamsaidia kuacha kulialia, kulaumu mfumo fyongo ya nchi hii na kuingia moja kwa moja kwenye utafutaji bila kusingizio au kutegea.


Ni hayo tu

Mengine ongezea wewe

Mtumishi
Mitale naMidimu
Umenifungua kitu mkuu.......huwa sifabynyi ujinga wa Birthday badala yake nitawapeleka japo hapo Malawi.
 
Hiki ndio kinafanya watu wote ni simba na yanga. diamond na Hamonaiza.

Vijana cant follow anything out of that.
Mtoto hata akiaga anakuja DSM kutafuta maisha unaona kama anapenda kufa, unatamani uje Naye. Tumemuandaa kuishi na kufa masanzakona. Anaamini katika jadi za huko na sio Dunia. Jamaa ameandika jambo kubwa.
 
Umenifungua kitu mkuu.......huwa sifabynyi ujinga wa Birthday badala yake nitawapeleka japo hapo Malawi.
Ni kweli kuna siku nilipanda precision na baba na Mama wa kizungu. Yule mama tulikaanaye jirani nikawa namdukua siku yake kijana. Kumbe alikuwa wameleza watoto wao mbugani ili waone Dunia. Walikuwa na mdogo wawili miaka haizidi 15 ndio wanarudi wanakotoka maana waliunga.

Niliwapiga picha kisiri ili iwe ukumbusho kwangu siku moja madogo hata kwa Kula mate mbele dona wakale exposure majuu. Wale jamaa kwa ufupi sikuona kama wanamkwanja wa ajabu sema walijipanga na wakaamua.

Kuishi maisha ya mkumbo na kutaka vipaumbele vifanane ndio kinatucost wabongo. Watoto wanaweza kuhani kiswahili ndio lugha ya Dunia hata wasielewe kwa nini tunasisitiza wajue English.
 
Mtoto hata akiaga anakuja DSM kutafuta maisha unaona kama anapenda kufa, unatamani uje Naye. Tumemuandaa kuishi na kufa masanzakona. Anaamini katika jadi za huko na sio Dunia. Jamaa ameandika jambo kubwa.
Wachina wameandaliwa kuishi Ulimwenguni, siyo kuishi China. Nenda Kibirizi, Nenda Karema, Nenda Kasanga, NendaTunduru ndani ndani huko, Nenda Mafia, Nenda Kibiti tunapopaona kama Jehanamu nk nk huko Vijijini utamkuta MCHINA na Toyota Kluger yake akiwa na Ndoo imejaa sarafu za Pesa za Kitanzania akikusanya kwenye Mashine zake za Kamari maarufu kama Maduli!.
Mchina amevuka Milima, Mabara, Nchi, Bahari anapaona Namanyere kama Guangzou kwa fursa! Lakini mimi Mtanzania wa Kishapu hapa Mwadui Shinyanga nikipangiwa kazi ya UALIMU hapo Namanyere Shule ya Msingi Nkomolo!

Vikao vya ukoo vitakaaa kujadili jinsi nimetupwa mbali, Jinsi naenda kupotea nk tunalea watoto kwa upeo mfupi, tunawatisha, tunawaogopesha hatimaye wanakufa maskini.

Matokeo ya Kidato cha 5 yakitoka mtoto wako hapo Bongoyo Osterbay akipangiwa KANTALAMBA SEC pale SUMBAWANGA unalalama Siwezi mtupa mbali mwanangu, shiiiit!
Kwa akili hizi acha tutawaliwe.
Kwa akili hizi acha tuwe vipofu wa fursa.
Kwa akili hizi tutakufa na umaskini wetu.

Mtoto wako wa miaka 16, 17 nk bado unamuona hawez toka peke yake nyumbani, Hawezi safiri kwenda Shuleni Iringa, Mbeya nk peke yake mpaka umpeleke???? Hauko siriaz, andaa mwanao kuwa aggressive, andaa mwanao kujiamini. Take risk, mlee mtoto wa kuichambua na kuichanja dunia. Kabla hajaichanja dunia mfanye aijue Tanzania.
Ahsante Baba Yangu, Ahsante Mzee wangu kwa ujasiri ulonipa na maneno yako ya kunifanya nijiamini.
 
Back
Top Bottom