Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Miaka kadhaa iliyopita mawasiliani binafsi kati ya Comrade Kinana na Makamba yalidukuliwa.
Hiki kilikuwa si kitendo cha kistaarabu na heshima.
Sina uhakika lakini kumfuatilia mtu nyendo zake inahitaji kibali cha mahakama.
Hawa wazee wetu Kinana na Makamba walikuwa watumishi wa ngazi za juu sana katika chama, na waliwahi kuwa Makatibu Wakuu wa CCM.
Hivyo hata kibinadamu wanaweza kutia neno kibinafsi wakiona jambo haliendi sawa, ili wakashauri mbele ya safari.
Vijana, inawezekana ikawa wa TCRA, wakawadukua mawasiliani yao na kumpelekea Rais Magufuli.
Hao vijana na uongozi wao watafutwe na kushitakiwa.
Hiki kilikuwa si kitendo cha kistaarabu na heshima.
Sina uhakika lakini kumfuatilia mtu nyendo zake inahitaji kibali cha mahakama.
Hawa wazee wetu Kinana na Makamba walikuwa watumishi wa ngazi za juu sana katika chama, na waliwahi kuwa Makatibu Wakuu wa CCM.
Hivyo hata kibinadamu wanaweza kutia neno kibinafsi wakiona jambo haliendi sawa, ili wakashauri mbele ya safari.
Vijana, inawezekana ikawa wa TCRA, wakawadukua mawasiliani yao na kumpelekea Rais Magufuli.
Hao vijana na uongozi wao watafutwe na kushitakiwa.