masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
Tatizo si kujifunza, bali ni enforcement ya haki hizo ili kama mtoa mada anavyoeleza, watu washitakiwe.Mkuu hiyo haki ya usiri ( utunzwaji wa faragha ya mtu mtandaoni) ipo tokea zaman na haijaanza leo wala jana.
lakini utendaji wake wa kazi haipo ndo maana juzi tigo walitoa taarifa za mteja wao kwenda mahakamani wakati hilo ni kosa.
ukipata mda ebu nenda you tube kasearch interview ya Maxence Melo na EATV utajifunza kitu.