Haki ya Faragha: Waliodukua Mawasiliano ya Kinana na Makamba washitakiwe

Haki ya Faragha: Waliodukua Mawasiliano ya Kinana na Makamba washitakiwe

Mkuu hiyo haki ya usiri ( utunzwaji wa faragha ya mtu mtandaoni) ipo tokea zaman na haijaanza leo wala jana.

lakini utendaji wake wa kazi haipo ndo maana juzi tigo walitoa taarifa za mteja wao kwenda mahakamani wakati hilo ni kosa.

ukipata mda ebu nenda you tube kasearch interview ya Maxence Melo na EATV utajifunza kitu.
Tatizo si kujifunza, bali ni enforcement ya haki hizo ili kama mtoa mada anavyoeleza, watu washitakiwe.
 
Tatizo si kujifunza, bali ni enforcement ya haki hizo ili kama mtoa mada anavyoeleza, watu washitakiwe.
utashitaki vipi wakati hakuna utendewaji kazi wa sheria hiyo haunoni kama unapoteza mda na pesa .

yani inakuwa sawa na kuandaa nyanya, ndimu, mchele na vikolokolo kibao wakati mpishi hayupo.
 
Hao wahaini waliokua wanapanga kumfanyizia Rais wetu dawa yako iko inachemkia jikoni, Tanzania nzima iliwasikia. Watalipia tu, sio akhera hapahapa duniani.
 
Kwani walikuwa wanaongea nn cha maana zaidi ya kejeri na kukashifu tu? Kuna wakati najiuliza hivi zile sauti zilizorekodiwa wale watu walikuwa wanalalamika kwa maslahi ya Taifa au wakulalamikia maslahi yao binafsi kubinywa? Na ndiyo maana mpq leo nashangaa NAPE na January wana nini haswa cha kuwekwa kwenye Uwaziri!
Hata kama qalikuwa qanaongea upuuzi, haki yao ya faragha ipo pale pale. Waliokiuka haki ya faragha ya Kinana na Makamba wachukuliwe hatua za kisheria.
 
Miaka kadhaa iliyopita mawasiliani binafsi kati ya Comrade Kinana na Makamba yalidukuliwa.

Hiki kilikuwa si kitendi cha kistaarabu na heshima. Sina uhakika lakini kumfuatilia mtu nyendo zake inahitaji kibali cha mahakama.

Hawa wazee wetu Kinana na Makamba walikuwa watumishi wa ngazi za juu sana katika chama, na waliwahi kuwa Makatibu Wakuu wa CCM.

Hivyo hata kibinadamu wanaweza kutia neno kibinafsi wakiona jambo haliendi sawa, ili wakashauri mbele ya safari.

Vijana, inawezekana ikawa wa TCRA, wakawadukua mawasiliani yao na kumpelekea Rais Magufuli.

Hao vijana na uongizi wao watafutwe na kushitakiwa.
Tujue siku hizi mzalendo namba moja bwana Msiba yuko wapi
 
Hili ni swala kubwa kuliko unavyofikiri.
Kwanza ni ukiukwaji wa katiba, kulinda usiri wa mtu katika jamii.
Ni swala la haki za kibinafsi na ukiukwaji wake.
Kisiasa Makamba na Kinana inawawia vigumu kushitaki kwani wanaweza tibua mengi ndani ya chama.
Lakini vyama vya haki za binadamu vinaweza kuendesha hii kesi ili kuliwekea msimamo katika misingi ya ukiukwaji wa haki.
vyama vya kutetea haki za binaadamu vitashindwa japo nia ni nzuri kama ile ya saed kubenea vs bashite .
 
Miaka kadhaa iliyopita mawasiliani binafsi kati ya Comrade Kinana na Makamba yalidukuliwa.

Hiki kilikuwa si kitendi cha kistaarabu na heshima. Sina uhakika lakini kumfuatilia mtu nyendo zake inahitaji kibali cha mahakama.

Hawa wazee wetu Kinana na Makamba walikuwa watumishi wa ngazi za juu sana katika chama, na waliwahi kuwa Makatibu Wakuu wa CCM.

Hivyo hata kibinadamu wanaweza kutia neno kibinafsi wakiona jambo haliendi sawa, ili wakashauri mbele ya safari.

Vijana, inawezekana ikawa wa TCRA, wakawadukua mawasiliani yao na kumpelekea Rais Magufuli.

Hao vijana na uongizi wao watafutwe na kushitakiwa.
Mwendazake ,kafa na siri nyingi kutoka KWa viongozi aliowadukua, ukikubali kuwa KWENYE teuzi, au mtu muhim katika Taifa LAZIMA udukuliwe hakuna namna, Kinana ni MOJA viongozi Muhim katika Taifa hili Bila kujali ni Mwanaccm, napendekeza SSH katika kipindi Chake amebakiza kuendea na kamchezo ka mtangulizi wake , awe anawadukua 😂🤣 hakuna MCHEZO apa
 
Kwani walikuwa wanaongea nn cha maana zaidi ya kejeri na kukashifu tu? Kuna wakati najiuliza hivi zile sauti zilizorekodiwa wale watu walikuwa wanalalamika kwa maslahi ya Taifa au wakulalamikia maslahi yao binafsi kubinywa? Na ndiyo maana mpq leo nashangaa NAPE na January wana nini haswa cha kuwekwa kwenye Uwaziri!
Wale walikuwa wanamuomgelea jiwe ili kulikomboa taifa dhidi ya unyama wake. Maana yake ni wazalendo haswa na wallishangaa ni namn gani walimpitisha jiwe kuwa rais wakati hata ukuu wa wilaya alikuwa hafai
 
Mwendazake ,kafa na siri nyingi kutoka KWa viongozi aliowadukua, ukikubali kuwa KWENYE teuzi, au mtu muhim katika Taifa LAZIMA udukuliwe hakuna namna, Kinana ni MOJA viongozi Muhim katika Taifa hili Bila kujali ni Mwanaccm, napendekeza SSH katika kipindi Chake amebakiza kuendea na kamchezo ka mtangulizi wake , awe anawadukua 😂🤣 hakuna MCHEZO apa
Katika Katiba ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania, 1977, imeelezwa wazi.

SEHEMU YA TATU
HAKI NA WAJIBU MUHIMU

Haki ya Usawa
(
Haki ya faragha
na usalama wa
mtu
Sheria ya 1984
Na.15 ib.6)
16.-(1) Kila mtu anastahili kuheshimiwa na kupata hifadhi
kwa nafsi yake, maisha yake binafsi na familia yake na
unyumba wake, na pia heshima na hifadhi ya maskani yake na

mawasiliano yake ya binafsi.

Hivyo basi tunaona wazi kuwa kuna watu wenye nia ovu, wanatumia mianya ya wao kuwa serikalini na kutekeleza mambo ya ovyo.
Ili kukabiliana na hili, sharti washitakiwe.
 
hahaha kuna sehemu nilikuwa namwona mara kwa mara alikuwa kama mwana TISS flan hivi.. sijui nani kawambia ukinyoa kipara na ndevu na visuti tu uankuwa na mamlaka.
Walimdanganya mengi
 
Hili ni swala kubwa kuliko unavyofikiri.
Kwanza ni ukiukwaji wa katiba, kulinda usiri wa mtu katika jamii.
Ni swala la haki za kibinafsi na ukiukwaji wake.
Kisiasa Makamba na Kinana inawawia vigumu kushitaki kwani wanaweza tibua mengi ndani ya chama.
Lakini vyama vya haki za binadamu vinaweza kuendesha hii kesi ili kuliwekea msimamo katika misingi ya ukiukwaji wa haki.
Kwa hiyo katika hii case ashitakiwe mshitakiwa no mbili na tatu, maana mshitakiwa no moja alisha tangulia mbele za haki!!?
 
Back
Top Bottom