Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
😅😅 naona bado watu wana machungu.Mission Complete,kesi tena ya nini!!??
Halafu haya mambo ya kufatilia mawasiliano ni kawaida kwenye serikali nyingi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅 naona bado watu wana machungu.Mission Complete,kesi tena ya nini!!??
Katiba ya Nchi ilitengenezwa ili wananchi wasibugudhiwe na mtu yeyote.Kwahiyo tumekubaliana kwamba hii ni awamu ya kuwafurahisha watu flani.
Ombeni sefue analia na wadukuzi walimharibia sanaWaliodukuliwa si hao tu, wapo wengi.
Niliwahi sikia sauti ya waziri mmoja akimlalamikia Maguguli, akatumbuliwa.
Yule jasusi Membe aliwashinda alipowaambia ile sauti ni yake kabisa na akataka kujua ni nani aliyemdukua wakaishia kumpa Mangula sumu!!Miaka kadhaa iliyopita mawasiliani binafsi kati ya Comrade Kinana na Makamba yalidukuliwa.
Hiki kilikuwa si kitendo cha kistaarabu na heshima.
Sina uhakika lakini kumfuatilia mtu nyendo zake inahitaji kibali cha mahakama.
Hawa wazee wetu Kinana na Makamba walikuwa watumishi wa ngazi za juu sana katika chama, na waliwahi kuwa Makatibu Wakuu wa CCM.
Hivyo hata kibinadamu wanaweza kutia neno kibinafsi wakiona jambo haliendi sawa, ili wakashauri mbele ya safari.
Vijana, inawezekana ikawa wa TCRA, wakawadukua mawasiliani yao na kumpelekea Rais Magufuli.
Hao vijana na uongozi wao watafutwe na kushitakiwa.
Tujue siku hizi mzalendo namba moja bwana Msiba yuko wapi
Mangula kupewa sumu na maembe kudukuliwa vinahusianaje mtaalamuYule jasusi Membe aliwashinda alipowaambia ile sauti ni yake kabisa na akataka kujua ni nani aliyemdukua wakaishia kumpa Mangula sumu!!
Mnao muda mchache sana wa kuendelea kuumiza Watanzania maskini enyi Wana wa ghasia😠😠😠Miaka kadhaa iliyopita mawasiliani binafsi kati ya Comrade Kinana na Makamba yalidukuliwa.
Hiki kilikuwa si kitendo cha kistaarabu na heshima.
Sina uhakika lakini kumfuatilia mtu nyendo zake inahitaji kibali cha mahakama.
Hawa wazee wetu Kinana na Makamba walikuwa watumishi wa ngazi za juu sana katika chama, na waliwahi kuwa Makatibu Wakuu wa CCM.
Hivyo hata kibinadamu wanaweza kutia neno kibinafsi wakiona jambo haliendi sawa, ili wakashauri mbele ya safari.
Vijana, inawezekana ikawa wa TCRA, wakawadukua mawasiliani yao na kumpelekea Rais Magufuli.
Hao vijana na uongozi wao watafutwe na kushitakiwa.
Huyo aliyewadukua aliwadukua kwa maslahi ya Taifa?Kwani walikuwa wanaongea nn cha maana zaidi ya kejeri na kukashifu tu? Kuna wakati najiuliza hivi zile sauti zilizorekodiwa wale watu walikuwa wanalalamika kwa maslahi ya Taifa au wakulalamikia maslahi yao binafsi kubinywa? Na ndiyo maana mpq leo nashangaa NAPE na January wana nini haswa cha kuwekwa kwenye Uwaziri!
Taifa lenye umoja na mshikamano halijengwi kwa kuangalia visasi vya nyuma. Hao wazee wako kimya kwa sababu wanajua uongozi. #Twende mbele tuachane na ya nyuma. 🙏🙏🙏Kwani walikuwa wanaongea nn cha maana zaidi ya kejeri na kukashifu tu? Kuna wakati najiuliza hivi zile sauti zilizorekodiwa wale watu walikuwa wanalalamika kwa maslahi ya Taifa au wakulalamikia maslahi yao binafsi kubinywa? Na ndiyo maana mpq leo nashangaa NAPE na January wana nini haswa cha kuwekwa kwenye Uwaziri!
Kikao hicho hicho cha kumhoji maembe! yote yalifanyika!Mangula kupewa sumu na maembe kudukuliwa vinahusianaje mtaalamu
Ilikuwa constant terror na intimidation.Huyo aliyewadukua aliwadukua kwa maslahi ya Taifa?
Acha wadukuliwe maana watawala wote duniani, na rudia - kote duniani wanadukuana Juzi nchini China, raisi wa Zamani Hu Jintao kadukuliwa live na Xi Jinping! Na akasindikizwa nje kwa aibu (mkutano mkuu wa 20 wa chama chao). Ni kawaidaMiaka kadhaa iliyopita mawasiliani binafsi kati ya Comrade Kinana na Makamba yalidukuliwa.
Hiki kilikuwa si kitendo cha kistaarabu na heshima.
Sina uhakika lakini kumfuatilia mtu nyendo zake inahitaji kibali cha mahakama.
Hawa wazee wetu Kinana na Makamba walikuwa watumishi wa ngazi za juu sana katika chama, na waliwahi kuwa Makatibu Wakuu wa CCM.
Hivyo hata kibinadamu wanaweza kutia neno kibinafsi wakiona jambo haliendi sawa, ili wakashauri mbele ya safari.
Vijana, inawezekana ikawa wa TCRA, wakawadukua mawasiliani yao na kumpelekea Rais Magufuli.
Hao vijana na uongozi wao watafutwe na kushitakiwa.
Sheria ikitungwa huwa haifanyi jazi retrospectively .Miaka kadhaa iliyopita mawasiliani binafsi kati ya Comrade Kinana na Makamba yalidukuliwa.
Hiki kilikuwa si kitendo cha kistaarabu na heshima.
Sina uhakika lakini kumfuatilia mtu nyendo zake inahitaji kibali cha mahakama.
Hawa wazee wetu Kinana na Makamba walikuwa watumishi wa ngazi za juu sana katika chama, na waliwahi kuwa Makatibu Wakuu wa CCM.
Hivyo hata kibinadamu wanaweza kutia neno kibinafsi wakiona jambo haliendi sawa, ili wakashauri mbele ya safari.
Vijana, inawezekana ikawa wa TCRA, wakawadukua mawasiliani yao na kumpelekea Rais Magufuli.
Hao vijana na uongozi wao watafutwe na kushitakiwa.
China hakuna demokrasia!Acha wadukuliwe maana watawala wote duniani, na rudia - kote duniani wanadukuana Juzi nchini China, raisi wa Zamani Hu Jintao kadukuliwa live na Xi Jinping! Na akasindikizwa nje kwa aibu (mkutano mkuu wa 20 wa chama chao). Ni kawaida
Ha ha haYule jasusi Membe aliwashinda alipowaambia ile sauti ni yake kabisa na akataka kujua ni nani aliyemdukua wakaishia kumpa Mangula sumu!!
Kuijaribu sheria ni kuipeleka mahakamani ili ikamilishwe na uamuzi wa mahakama-precedence!Sheria ikitungwa huwa haifanyi jazi retrospectively .
Hacking line ya mwananchi is illegal, na inawezekana tu pale idara inayohack ipate kibali cha mahakama.Hacking is useful buana 🤣
Wazee wakawekwa peupeee