Haki ya Faragha: Waliodukua Mawasiliano ya Kinana na Makamba washitakiwe

Haki ya Faragha: Waliodukua Mawasiliano ya Kinana na Makamba washitakiwe

Kwahiyo tumekubaliana kwamba hii ni awamu ya kuwafurahisha watu flani.
 
Miaka kadhaa iliyopita mawasiliani binafsi kati ya Comrade Kinana na Makamba yalidukuliwa.

Hiki kilikuwa si kitendo cha kistaarabu na heshima.
Sina uhakika lakini kumfuatilia mtu nyendo zake inahitaji kibali cha mahakama.

Hawa wazee wetu Kinana na Makamba walikuwa watumishi wa ngazi za juu sana katika chama, na waliwahi kuwa Makatibu Wakuu wa CCM.

Hivyo hata kibinadamu wanaweza kutia neno kibinafsi wakiona jambo haliendi sawa, ili wakashauri mbele ya safari.

Vijana, inawezekana ikawa wa TCRA, wakawadukua mawasiliani yao na kumpelekea Rais Magufuli.

Hao vijana na uongozi wao watafutwe na kushitakiwa.
Yule jasusi Membe aliwashinda alipowaambia ile sauti ni yake kabisa na akataka kujua ni nani aliyemdukua wakaishia kumpa Mangula sumu!!
 
Yule jasusi Membe aliwashinda alipowaambia ile sauti ni yake kabisa na akataka kujua ni nani aliyemdukua wakaishia kumpa Mangula sumu!!
Mangula kupewa sumu na maembe kudukuliwa vinahusianaje mtaalamu
 
Wadukuliwa wenyewe ndio ealioomba msamaha
 
Miaka kadhaa iliyopita mawasiliani binafsi kati ya Comrade Kinana na Makamba yalidukuliwa.

Hiki kilikuwa si kitendo cha kistaarabu na heshima.
Sina uhakika lakini kumfuatilia mtu nyendo zake inahitaji kibali cha mahakama.

Hawa wazee wetu Kinana na Makamba walikuwa watumishi wa ngazi za juu sana katika chama, na waliwahi kuwa Makatibu Wakuu wa CCM.

Hivyo hata kibinadamu wanaweza kutia neno kibinafsi wakiona jambo haliendi sawa, ili wakashauri mbele ya safari.

Vijana, inawezekana ikawa wa TCRA, wakawadukua mawasiliani yao na kumpelekea Rais Magufuli.

Hao vijana na uongozi wao watafutwe na kushitakiwa.
Mnao muda mchache sana wa kuendelea kuumiza Watanzania maskini enyi Wana wa ghasia😠😠😠
 
Kwani walikuwa wanaongea nn cha maana zaidi ya kejeri na kukashifu tu? Kuna wakati najiuliza hivi zile sauti zilizorekodiwa wale watu walikuwa wanalalamika kwa maslahi ya Taifa au wakulalamikia maslahi yao binafsi kubinywa? Na ndiyo maana mpq leo nashangaa NAPE na January wana nini haswa cha kuwekwa kwenye Uwaziri!
Huyo aliyewadukua aliwadukua kwa maslahi ya Taifa?
 
Kwani walikuwa wanaongea nn cha maana zaidi ya kejeri na kukashifu tu? Kuna wakati najiuliza hivi zile sauti zilizorekodiwa wale watu walikuwa wanalalamika kwa maslahi ya Taifa au wakulalamikia maslahi yao binafsi kubinywa? Na ndiyo maana mpq leo nashangaa NAPE na January wana nini haswa cha kuwekwa kwenye Uwaziri!
Taifa lenye umoja na mshikamano halijengwi kwa kuangalia visasi vya nyuma. Hao wazee wako kimya kwa sababu wanajua uongozi. #Twende mbele tuachane na ya nyuma. 🙏🙏🙏
 
Miaka kadhaa iliyopita mawasiliani binafsi kati ya Comrade Kinana na Makamba yalidukuliwa.

Hiki kilikuwa si kitendo cha kistaarabu na heshima.
Sina uhakika lakini kumfuatilia mtu nyendo zake inahitaji kibali cha mahakama.

Hawa wazee wetu Kinana na Makamba walikuwa watumishi wa ngazi za juu sana katika chama, na waliwahi kuwa Makatibu Wakuu wa CCM.

Hivyo hata kibinadamu wanaweza kutia neno kibinafsi wakiona jambo haliendi sawa, ili wakashauri mbele ya safari.

Vijana, inawezekana ikawa wa TCRA, wakawadukua mawasiliani yao na kumpelekea Rais Magufuli.

Hao vijana na uongozi wao watafutwe na kushitakiwa.
Acha wadukuliwe maana watawala wote duniani, na rudia - kote duniani wanadukuana Juzi nchini China, raisi wa Zamani Hu Jintao kadukuliwa live na Xi Jinping! Na akasindikizwa nje kwa aibu (mkutano mkuu wa 20 wa chama chao). Ni kawaida
 
Miaka kadhaa iliyopita mawasiliani binafsi kati ya Comrade Kinana na Makamba yalidukuliwa.

Hiki kilikuwa si kitendo cha kistaarabu na heshima.
Sina uhakika lakini kumfuatilia mtu nyendo zake inahitaji kibali cha mahakama.

Hawa wazee wetu Kinana na Makamba walikuwa watumishi wa ngazi za juu sana katika chama, na waliwahi kuwa Makatibu Wakuu wa CCM.

Hivyo hata kibinadamu wanaweza kutia neno kibinafsi wakiona jambo haliendi sawa, ili wakashauri mbele ya safari.

Vijana, inawezekana ikawa wa TCRA, wakawadukua mawasiliani yao na kumpelekea Rais Magufuli.

Hao vijana na uongozi wao watafutwe na kushitakiwa.
Sheria ikitungwa huwa haifanyi jazi retrospectively .
 
Acha wadukuliwe maana watawala wote duniani, na rudia - kote duniani wanadukuana Juzi nchini China, raisi wa Zamani Hu Jintao kadukuliwa live na Xi Jinping! Na akasindikizwa nje kwa aibu (mkutano mkuu wa 20 wa chama chao). Ni kawaida
China hakuna demokrasia!
 
Hacking is useful buana 🤣
Wazee wakawekwa peupeee
 
Hacking is useful buana 🤣
Wazee wakawekwa peupeee
Hacking line ya mwananchi is illegal, na inawezekana tu pale idara inayohack ipate kibali cha mahakama.
Mahakama lazima ijiridhishe kuwa kuhac-kudukua ni kwa ajili ya usalama wa nci au kuna pipango mibaya ya kijinai.
Sasa wewe jamaa wanakutukana ulivyo mshamba-hiyo itakuwaje kosa la jinai.
Na mbaya zaidi ni yale ya mioyoni mwao tu.
 
Back
Top Bottom