Wapi kuna demokrasia kwa issue ya kudukuana! Hakuna, ila kuna ngeli nyingi za udukuzi na mwisho wa yote tendo ni lile lile!China hakuna demokrasia!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi kuna demokrasia kwa issue ya kudukuana! Hakuna, ila kuna ngeli nyingi za udukuzi na mwisho wa yote tendo ni lile lile!China hakuna demokrasia!
Hakuna mahali nchi inadukua wananchi wake kwa kiki tu za kiongozi wake.Wapi kuna demokrasia kwa issue ya kudukuana! Hakuna, ila kuna ngeli nyingi za udukuzi na mwisho wa yote tendo ni lile lile!
So kubreach someone's privacy kwaajili taarifa Fulani ( Transparency ) not for personal gain ni Cybercrime ?Hacking line ya mwananchi is illegal, na inawezekana tu pale idara inayohack ipate kibali cha mahakama.
Mahakama lazima ijiridhishe kuwa kuhac-kudukua ni kwa ajili ya usalama wa nci au kuna pipango mibaya ya kijinai.
Sasa wewe jamaa wanakutukana ulivyo mshamba-hiyo itakuwaje kosa la jinai.
Na mbaya zaidi ni yale ya mioyoni mwao tu.
Miaka kadhaa iliyopita mawasiliani binafsi kati ya Comrade Kinana na Makamba yalidukuliwa.
Hiki kilikuwa si kitendo cha kistaarabu na heshima.
Sina uhakika lakini kumfuatilia mtu nyendo zake inahitaji kibali cha mahakama.
Hawa wazee wetu Kinana na Makamba walikuwa watumishi wa ngazi za juu sana katika chama, na waliwahi kuwa Makatibu Wakuu wa CCM.
Hivyo hata kibinadamu wanaweza kutia neno kibinafsi wakiona jambo haliendi sawa, ili wakashauri mbele ya safari.
Vijana, inawezekana ikawa wa TCRA, wakawadukua mawasiliani yao na kumpelekea Rais Magufuli.
Hao vijana na uongozi wao watafutwe na kushitakiwa.
Wewe kama kuandika ikiwezekana andika kila siku sisi wasijilizaji tulishawasikia na kujua tabia zao hao wadukuliwa na hilo ni doa kwao haliwezi kufutika leo wala kesho hata maandiko elfu 10000 yakiandikwa ukweli utabaki pale pale ni bora tu wakatulia maisha yakaendelea.Miaka kadhaa iliyopita mawasiliani binafsi kati ya Comrade Kinana na Makamba yalidukuliwa.
Hiki kilikuwa si kitendo cha kistaarabu na heshima.
Sina uhakika lakini kumfuatilia mtu nyendo zake inahitaji kibali cha mahakama.
Hawa wazee wetu Kinana na Makamba walikuwa watumishi wa ngazi za juu sana katika chama, na waliwahi kuwa Makatibu Wakuu wa CCM.
Hivyo hata kibinadamu wanaweza kutia neno kibinafsi wakiona jambo haliendi sawa, ili wakashauri mbele ya safari.
Vijana, inawezekana ikawa wa TCRA, wakawadukua mawasiliani yao na kumpelekea Rais Magufuli.
Hao vijana na uongozi wao watafutwe na kushitakiwa.
Unasema tu!Hakuna mahali nchi inadukua wananchi wake kwa kiki tu za kiongozi wake.
Weka namba yako hadharani idukuliwe.Wewe kama kuandika ikiwezekana andika kila siku sisi wasijilizaji tulishawasikia na kujua tabia zao hao wadukuliwa na hilo ni doa kwao haliwezi kufutika leo wala kesho hata maandiko elfu 10000 yakiandikwa ukweli utabaki pale pale ni bora tu wakatulia maisha yakaendelea.
Aliyetoa sumu na aliyedukua ni yule yule.Mangula kupewa sumu na maembe kudukuliwa vinahusianaje mtaalamu
Ni nani huyo? Kwanini ampe sumu mangula?Aliyetoa sumu na aliyedukua ni yule yule.
Ni nani huyo? Kwanini ampe sumu mangula?