masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
Tatizo si kujifunza, bali ni enforcement ya haki hizo ili kama mtoa mada anavyoeleza, watu washitakiwe.Mkuu hiyo haki ya usiri ( utunzwaji wa faragha ya mtu mtandaoni) ipo tokea zaman na haijaanza leo wala jana.
lakini utendaji wake wa kazi haipo ndo maana juzi tigo walitoa taarifa za mteja wao kwenda mahakamani wakati hilo ni kosa.
ukipata mda ebu nenda you tube kasearch interview ya Maxence Melo na EATV utajifunza kitu.
utashitaki vipi wakati hakuna utendewaji kazi wa sheria hiyo haunoni kama unapoteza mda na pesa .Tatizo si kujifunza, bali ni enforcement ya haki hizo ili kama mtoa mada anavyoeleza, watu washitakiwe.
Hata kama qalikuwa qanaongea upuuzi, haki yao ya faragha ipo pale pale. Waliokiuka haki ya faragha ya Kinana na Makamba wachukuliwe hatua za kisheria.Kwani walikuwa wanaongea nn cha maana zaidi ya kejeri na kukashifu tu? Kuna wakati najiuliza hivi zile sauti zilizorekodiwa wale watu walikuwa wanalalamika kwa maslahi ya Taifa au wakulalamikia maslahi yao binafsi kubinywa? Na ndiyo maana mpq leo nashangaa NAPE na January wana nini haswa cha kuwekwa kwenye Uwaziri!
hahahah march 17 ilikuwa shangwe kuu. wacha beer itembee siku ile mpaka kuchereeWalisha shughulikiwa sio mpaka itajiwe alikuwa fulani na fulani. March 17 ilikuwa ni siku ya kitu kizito kilicho wapiga vichwani
Tujue siku hizi mzalendo namba moja bwana Msiba yuko wapiMiaka kadhaa iliyopita mawasiliani binafsi kati ya Comrade Kinana na Makamba yalidukuliwa.
Hiki kilikuwa si kitendi cha kistaarabu na heshima. Sina uhakika lakini kumfuatilia mtu nyendo zake inahitaji kibali cha mahakama.
Hawa wazee wetu Kinana na Makamba walikuwa watumishi wa ngazi za juu sana katika chama, na waliwahi kuwa Makatibu Wakuu wa CCM.
Hivyo hata kibinadamu wanaweza kutia neno kibinafsi wakiona jambo haliendi sawa, ili wakashauri mbele ya safari.
Vijana, inawezekana ikawa wa TCRA, wakawadukua mawasiliani yao na kumpelekea Rais Magufuli.
Hao vijana na uongizi wao watafutwe na kushitakiwa.
vyama vya kutetea haki za binaadamu vitashindwa japo nia ni nzuri kama ile ya saed kubenea vs bashite .Hili ni swala kubwa kuliko unavyofikiri.
Kwanza ni ukiukwaji wa katiba, kulinda usiri wa mtu katika jamii.
Ni swala la haki za kibinafsi na ukiukwaji wake.
Kisiasa Makamba na Kinana inawawia vigumu kushitaki kwani wanaweza tibua mengi ndani ya chama.
Lakini vyama vya haki za binadamu vinaweza kuendesha hii kesi ili kuliwekea msimamo katika misingi ya ukiukwaji wa haki.
hahaha, na vile vigazeti vyake sivioni kabisa kwenye meza za magazetiTujue siku hizi mzalendo namba moja bwana Msiba yuko wapi
Kokote katika ulimwengu huu unaweza kudukuliwa inategemea tu mko katika ajenda gani!Kudukua mawasiliano ya wananchi wako ni dalili ya kutojiamini na vie vie udikteta.
Mwendazake ,kafa na siri nyingi kutoka KWa viongozi aliowadukua, ukikubali kuwa KWENYE teuzi, au mtu muhim katika Taifa LAZIMA udukuliwe hakuna namna, Kinana ni MOJA viongozi Muhim katika Taifa hili Bila kujali ni Mwanaccm, napendekeza SSH katika kipindi Chake amebakiza kuendea na kamchezo ka mtangulizi wake , awe anawadukua 😂🤣 hakuna MCHEZO apaMiaka kadhaa iliyopita mawasiliani binafsi kati ya Comrade Kinana na Makamba yalidukuliwa.
Hiki kilikuwa si kitendi cha kistaarabu na heshima. Sina uhakika lakini kumfuatilia mtu nyendo zake inahitaji kibali cha mahakama.
Hawa wazee wetu Kinana na Makamba walikuwa watumishi wa ngazi za juu sana katika chama, na waliwahi kuwa Makatibu Wakuu wa CCM.
Hivyo hata kibinadamu wanaweza kutia neno kibinafsi wakiona jambo haliendi sawa, ili wakashauri mbele ya safari.
Vijana, inawezekana ikawa wa TCRA, wakawadukua mawasiliani yao na kumpelekea Rais Magufuli.
Hao vijana na uongizi wao watafutwe na kushitakiwa.
Wale walikuwa wanamuomgelea jiwe ili kulikomboa taifa dhidi ya unyama wake. Maana yake ni wazalendo haswa na wallishangaa ni namn gani walimpitisha jiwe kuwa rais wakati hata ukuu wa wilaya alikuwa hafaiKwani walikuwa wanaongea nn cha maana zaidi ya kejeri na kukashifu tu? Kuna wakati najiuliza hivi zile sauti zilizorekodiwa wale watu walikuwa wanalalamika kwa maslahi ya Taifa au wakulalamikia maslahi yao binafsi kubinywa? Na ndiyo maana mpq leo nashangaa NAPE na January wana nini haswa cha kuwekwa kwenye Uwaziri!
Ufadhili mrija umekauka au umekatika au umezibahahaha, na vile vigazeti vyake sivioni kabisa kwenye meza za magazeti
Alijitoa ufahamu yule wakati alikuja mzizzima kufanya kazi
Kama kuna sheria zilivunjwa, basi jamhuri ndio inweza kulalamika.Watashitakiwa vipi wakati walalamikaji au watendwaji wenyewe wapo kimya.
hahaha kuna sehemu nilikuwa namwona mara kwa mara alikuwa kama mwana TISS flan hivi.. sijui nani kawambia ukinyoa kipara na ndevu na visuti tu uankuwa na mamlaka.Ufadhili mrija umekauka au umekatika au umeziba
Katika Katiba ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania, 1977, imeelezwa wazi.Mwendazake ,kafa na siri nyingi kutoka KWa viongozi aliowadukua, ukikubali kuwa KWENYE teuzi, au mtu muhim katika Taifa LAZIMA udukuliwe hakuna namna, Kinana ni MOJA viongozi Muhim katika Taifa hili Bila kujali ni Mwanaccm, napendekeza SSH katika kipindi Chake amebakiza kuendea na kamchezo ka mtangulizi wake , awe anawadukua 😂🤣 hakuna MCHEZO apa
Walimdanganya mengihahaha kuna sehemu nilikuwa namwona mara kwa mara alikuwa kama mwana TISS flan hivi.. sijui nani kawambia ukinyoa kipara na ndevu na visuti tu uankuwa na mamlaka.
Hakika hakikaWalimdanganya mengi
Mission Complete,kesi tena ya nini!!??Wahusika wasipo fungua kesi nani afungee kwaajili yao?
Kwa hiyo katika hii case ashitakiwe mshitakiwa no mbili na tatu, maana mshitakiwa no moja alisha tangulia mbele za haki!!?Hili ni swala kubwa kuliko unavyofikiri.
Kwanza ni ukiukwaji wa katiba, kulinda usiri wa mtu katika jamii.
Ni swala la haki za kibinafsi na ukiukwaji wake.
Kisiasa Makamba na Kinana inawawia vigumu kushitaki kwani wanaweza tibua mengi ndani ya chama.
Lakini vyama vya haki za binadamu vinaweza kuendesha hii kesi ili kuliwekea msimamo katika misingi ya ukiukwaji wa haki.