Haki ya Faragha: Waliodukua Mawasiliano ya Kinana na Makamba washitakiwe

Wapi kuna demokrasia kwa issue ya kudukuana! Hakuna, ila kuna ngeli nyingi za udukuzi na mwisho wa yote tendo ni lile lile!
Hakuna mahali nchi inadukua wananchi wake kwa kiki tu za kiongozi wake.
 
So kubreach someone's privacy kwaajili taarifa Fulani ( Transparency ) not for personal gain ni Cybercrime ?
Kama walifanya ili kulinda taasisi me nawaunga mkono na sioni shida.
#EH high-65

 
Wewe kama kuandika ikiwezekana andika kila siku sisi wasijilizaji tulishawasikia na kujua tabia zao hao wadukuliwa na hilo ni doa kwao haliwezi kufutika leo wala kesho hata maandiko elfu 10000 yakiandikwa ukweli utabaki pale pale ni bora tu wakatulia maisha yakaendelea.
 
Weka namba yako hadharani idukuliwe.
 
kumbe ukiwa mkubwa kwenye ngazi za chama au serikali usirecodiwe hata kama wanamadhara na nchi kwa sababu eti walikuwa viongozi wakubwa mtoa mada ngombe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…