Madam Mwajuma
JF-Expert Member
- Sep 13, 2014
- 7,071
- 6,753
Yeye alianzisha kuchambana na mwanamke kwa mgongo wa vijana wa umbea wale! Walimchafua sana akaamua kubeep kidogo kuachia audio 1 huoni wakaacha na post wakafuta.Kwahiyo zama kaamua kumdhalilisha mzazi mwenzie kwa kuachia audio
Tuwe makini sana na maongezi ya kwny simu
Yeye alianzisha kuchambana na mwanamke kwa mgongo wa vijana wa umbea wale! Walimchafua sana akaamua kubeep kidogo kuachia audio 1 huoni wakaacha na post wakafuta.
Wapi lady jaydee, Nandy na wengine! Karma is alive
Kuna wakati inabidi kumnyamazisha adui anayekuchafua. Kiasili binadamu anapenda heshima yake ibaki Mzee yule anawatuma vijana wamuambie mwanaume mwenzake misheni town? Yeye strong and rich asilie.Kwahiyo ukiona mtu anafanya ujinga naww unamgeza.
Ukiachana na mumeo ndio mnaanza kutangazana mtaani?!
Kuna wakati inabidi kumnyamazisha adui anayekuchafua. Kiasili binadamu anapenda heshima yake ibaki Mzee yule anawatuma vijana wamuambie mwanaume mwenzake misheni town? Yeye strong and rich asilie.
Heee makubwaHaaaa sio kulewa pombe... Kalewa mapenzi ya mbunye weweee, mbunye yake imechukuliwa mchana kweupeeeeee na hapo sio kalewa ni analilia mbunyeeee, yaani analia, kila mmoja ana sauti yake akilia kwa uchungu hapo kachanganyikiwaaaaaa yaani anasema nakufaaaa miee nakufaaa hiiiiiii heee uuuuhh hhhoowwrr kama anakata roho kwa kujizungusha kitandani sbb anajua Zama ameshabebwa na anapigwa pxmbx vibaya na ameolewa rasmi na watoto wamechukuliwa Ruge kabaki uchiiiiii.. Haaaaaaa hiyo sio kalewa ni sauti yake ya uchungu koo limebana hasira na maumivu ya kuchukuliwa mke kihalali wala sio kaibiwa, Zama kachukuliwa kihalali sasa koo la Ruge hewa inashindwa kupita kwa uchungu na hasira na pressure na kulia na moyo unataka kutoka, kachanganyikiwa, kapanic, anadhani anaota akicheki ni kweli, so sio kalewa ni uchunguuu huooo.. Hhaaaaa, unafikiri ROHO ikikaribia kuacha mwili sbb ya mapenzi ni kazi rahisiii haaaaaa hakuna kulewa hapo Ruge kuvurugwaaaaaa 100%, msumari wa motoooo wa mapenzi umempata katikati ya moyooo na kumchana chana paaaapp..!! anaona gizaaaa kabaki mtupuuuuuu mmmaninaaaaaahh... Hujasikia hapo anasema anatoka nje atembee UCHI.. Haaaa haaaaaaaaa haaaa i feel so happy
We nae umefufuka wapi unatokwa na povu kama umekula omo ....mxiiiiiieeew ntolee wazimu wako hapaUna video?au unabwabwaja tu.una uhakika gani kama huko atatulia..kwanza kumzalia mwanaume watoto wawili wakati hajakuoa ni upunguani mkubwa..
Hamna kitu kizuri kama kukaa kimya especially pale mtu ulieachana nae anapokutangaza vby
HahahahahahaKuanzia leo ile kauli ya wahenga isemayo "utamaliza bucha nyama ni ile ile" nimeitengua. Nyama ya Zamaradi ni tofauti na za akina Cocochanel!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]We nae umefufuka wapi unatokwa na povu kama umekula omo ....mxiiiiiieeew ntolee wazimu wako hapa
Kwa hizi comments zako kwa mwanamke mwenzio bhasi nashawishika kuamini mkono wa Bashite umehusika kama shilawadu walivyoripoti,huwezi kuwa na maneno makali hivi kwa mwanamke mwenzio...Lazima ni ya kabla ya ndoa aliiweka aje atafute kiki kwa mzazi mwenzie
Hata mimi mzee. Mwache tu huyo, anajaribu kuukwepa ukweli.Mama ndio alikuwa mstari wa mbele kuniambia hayo maneno.