Na Kesi itakuwa ameibiwa maku na mke wake wa watoto wawili.. Haaa.. Ruge kachezea wanawake sana sanaaa hata huyo Zamaradi kamtesa sana sana maana Ruge anazaa nje hovyo hovyo, watoto kibaooo Zamaradi alikuwa anamvumilia tu, anafanya ufuska na wasanii kibaoo, wanawake Clouds kagonga sana, SASA NI ZAMU YAKE..
UKIFANYA MABAYA, NATURE HUKULIPA MABAYA YA AINA ILE ILE HAPA HAPA DUNIANI, NI SWALA LA MUDA TU
Mwanaume anayelilia mwanamke fahamu kabisa ana tabia za ki Tonny Blair
Mkuu upo kama mimi mpaka nahisi nina mapungufu fulani. Tangia nimeanza haya mambo nimeshaacha na kuachwa mara kibao. Sijawahi kuumia na sijui maumivu ya mapenzi yakoje. Ukiamua kusepa, naendelea na maisa yangu mengine na wewe nikimumwaga just go on.Sijawahi kumlilia mwanamke na haitokuja itokee, wanawake walivyojazana hivi eti nimwage chozi..kudadadeki
Ieleweke hz sio zama za mama zetu jmn,kuvumilia BS all my life for what eti??.!!Hili suala ni fundisho tosha kwetu sisi wanaume,,hili kwnza linafundisha UAMINIFU ,,ina maana ZAMARADI hakuwa muaminifu kwenye mahusiano yao tangia mwanzo...Alichokuwa kinamliza RUGE NI FEDHEHA,,na UCHUNGU WA KUSALITIWA lakini PENGINE HATA hakuwa na MAPENZI yeyote kwa EX WAKE HUYO....nina maana kuwa hakuna kitu kinauma ktk mapenzi kama USALITI,,na siku zote mwanaume hawezi kutangaza ndoa kwa mwanamke , ,kama hakuwa na uhusiano na mwanamke kimapenzi,,inaonekana wazi HUYO DUME alikuwa AKIMTAFUNA HUYO ZAMARADI siku nyingi wakati bado yupo na RUGE,,,hivyo RUGE akifikiria yote hayo , anajiona ni MDHAIFU KWA KUPOKWA MWANAMKE,,,HICHO NDY KINACHOMLIZA RUGE, FEDHEHA, NA UCHUNGU WA KUSALITIWA NA MWANAMKE,,,means anakumbuka kumbe huyu ZAMARADI hakuwa mwaminifu kwangu...na siku zote KTK MAPENZI atakayewahi KUMWACHA MWENZIE ndy atakayekuwa na FARAJA kwa wakati ule....lakini mwisho wa siku yule aliyemwacha mwenzie ndy atakaye kuja kujuta.......kama mpenzi wako umemwacha bila kosa lolote na ukamfanya ATOKE MACHOZI KIASI HICHO..basi ..mwisho wa siku UTAKUJA KUJUTIA..hii ni PROVED 100%...lakini kama RUGE ndy aliyekuwa hataki ndoa na hakuwa na mapenzi ya kweli kwa zamaradi ,,, basi kilio chake ni kelele za chura tu KISIMANI
Wife material wameisha??Wala sio mbunye,ingekuwa mbunye angekuwa hatombi nje.Sema Zama ni wife material,Zama ni mwanamke wa kujenga nae familia.
Kutomwamini mwanamke ni tofauti na Kumpenda mwanamke. Boya kashapenda.Toka nilovyokuwa mdogo waliniambia nisimwamini mwanamke hadi sasa naendelea kuyaona.
Huo ndo uanaume, kulialia tuwaachie wanawakeMkuu upo kama mimi mpaka nahisi nina mapungufu fulani. Tangia nimeanza haya mambo nimeshaacha na kuachwa mara kibao. Sijawahi kuumia na sijui maumivu ya mapenzi yakoje. Ukiamua kusepa, naendelea na maisa yangu mengine na wewe nikimumwaga just go on.
Sio siri hujawahi kupenda...siku ukipenda utamwelewa boss Ruge na na 'm gonna dieee' hahhaMkuu upo kama mimi mpaka nahisi nina mapungufu fulani. Tangia nimeanza haya mambo nimeshaacha na kuachwa mara kibao. Sijawahi kuumia na sijui maumivu ya mapenzi yakoje. Ukiamua kusepa, naendelea na maisa yangu mengine na wewe nikimumwaga just go on.
Ruge wakiitwa wanaume powerful vijana nchi hii unamwachaje kwa mfanoo...yamemkuta Ruge hata wewe yanaweza yasikuache salamaaHuo ndo uanaume, kulialia tuwaachie wanawake
katika moja ya makosa babu yangu alinionya nisifanye ni kutoa chozi langu mbele ya mke au mchumba,iwe kwenye mapenzi,msibani n.k, ni heri kama chozi limekushika utafute sehemu ujibanze ulieeee ila ukirudi upo ngangariWakuu kuna clip zimesambaa Jana za boss Ruge wa Clouds FM amerekodiwa na aliyekuwa mpenzi wake aliyezaa nae watoto 2 akimlilia huyo mwanamke asimuache, baada ya huyo mwanamke ambaye ni mtangazaji wa Cloud FM anaeitwa Zamaradi Mketema kuamua kuolewa na anaesemekana ni mtoto au mtu wa karibu na mh Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, je anaweza kufungua shauri mahakamani akadai haki yake ya privacy kuingiliwa bila idhini yake, wataalamu wa sheria mtusaidie.
My Take:
Nimeamini mapenzi yana nguvu kwa jinsi jamaa alivyokua analia huyo dada anaonekana mtamu sana, wanaume pia tuwe makini tuache michepuko hawa wanawake wamekua makatili sana now days.
i'm gonna die my foot. Mbona hajafa sasa. Ufe kisa mwanamke halafu ukishakufa kwani ataacha kugongwa? Mambo ya ajabu kwelikweli (sauti ya TL)Sio siri hujawahi kupenda...siku ukipenda utamwelewa boss Ruge na na 'm gonna dieee' hahha
Umalaya wa zama kisa kaolewa ndo mnauona ehh,umalaya wa Ruge??watizame, mkuki kwa nguruwe sio?.!Uwe na urafiki na faiza alafu usiwe malaya..???
Amekomeshwa hajakomeshwaa??.!hatomsahau zama i tel u..i'm gonna die my foot. Mbona hajafa sasa. Ufe kisa mwanamke halafu ukishakufa kwani ataacha kugongwa? Mambo ya ajabu kwelikweli (sauti ya TL)
Huyo jamaa alikuwa anambandua hata kabla yupo na ruge.. sisi wanaume hatuwezi kuoa kabla hatuja gegeda... ukitaka kujua tabia za mkeo angalia marafiki zake tu...Umalaya wa zama kisa kaolewa ndo mnauona ehh,umalaya wa Ruge??watizame, mkuki kwa nguruwe sio?.!
Nakubaliana na ww kuwa Ruge ni mtu mwenye nguvu na watu tuko tofauti, mm mwanamke tukiachana leo baada ya siku mbili namsahau. Naendelea na maisha yanguRuge wakiitwa wanaume powerful vijana nchi hii unamwachaje kwa mfanoo...yamemkuta Ruge hata wewe yanaweza yasikuache salamaa