Haki za kisheria za Ruge Mutahaba wa Clouds ni zipi baada ya kurekodiwa akilia kwenye simu?

WANAUME MARA NYINGI TUMEKUA TUNAWANYANYASA WANAWAKE KWA MICHEPUKO YETU,SASA UNAPOKUTANA NA MWANAMKE MAKINI ANAEJUA NINI MAANA NDOA,NDOA SIO MATESO ,TENA MATESO YA MAKUSUDI,NDOA SI UTUMWA,MWANAMKE MAKINI HAWEZI KUVUMILIA KATESO YA HIVYO,LABDA AWE ALIFUKUZWA KWAO,MATESO YA NDOA YANAUMA SANA,LABDA HUYO MWANAMKE AWE MSANII WA MAPENZI,ATAKAA.MWANAMKE MWENYE KUJIWEZA HAWEZI KUVUMILIA MATESO YA NDO.MWANAMKE ANAEKUBALI MATESO YA NDOA,MARA NYINGI SABABU NI WATT AU KWAO KUNA SHIDA.
 
Ila hats off kwa Zama... tunashukuru sana kwa kutulipia kisasi kwa boss Ruge.. kachezea sana wadada huyu jamaa. Zama mama mwache Ruge alie mpaka adie usirudi nyuma
 
Thamani ya kitu siku zote inajulikana kikiondoka... Ruge umekaa na zamaradi kutwa kucha kukitembeza ndo ukome. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ruge angalia kwasababu hii issue yote imekula kama a big chock kwake. Zama ni mtu aliye kuwa na mipingo nae mingi ya maisha. Ni ngumu sana kumwambia Ruge be strong zkifikiria kuna mwanaume atakae kuwa na access na watoto wake


Sipendagi mtu aandike maneno kwa kuchapia chapia.. Sijui mnakuaga na pupa gani....
 
Wala sio mbunye,ingekuwa mbunye angekuwa hatombi nje.Sema Zama ni wife material,Zama ni mwanamke wa kujenga nae familia.
Kuna watu hawaelewi hiki kitu ...kuna wife material japo unamichepuko....watu wengi tunachepuka ...ila wife akizingua ndani na kutaka kusepa siyo kutoa kamasi kama za ruge ....unajiharishia kabisaaa
 
Kuna watu hawaelewi hiki kitu ...kuna wife material japo unamichepuko....watu wengi tunachepuka ...ila wife akizingua ndani na kutaka kusepa siyo kutoa kamasi kama za ruge ....unajiharishia kabisaaa
Ujinga huo
 
Sijawahi kumlilia mwanamke na haitokuja itokee, wanawake walivyojazana hivi eti nimwage chozi..kudadadeki
Hayajakukuta mkuu. Na unaweza ukaumia kivingine ila si lazima utoe chozi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…