Haki za kisheria za Ruge Mutahaba wa Clouds ni zipi baada ya kurekodiwa akilia kwenye simu?

Hahahahah. Nimecheka sana. Huyo mwanamke alikuwa anampa nini ambacho hawezi kupata kwingine mpaka atoe kilio chote hicho?
Kaka mashimo yanatofautiana radha.....wanasema ukiona mzima analia ujue kuna jambo.....akili mkichwa.
 
Kwani zama amekua malaya au ameolewa kwa ndoa halali.........zama kwa ruge alikua anafanya umalaya ila huko alikoenda yupo kihalali
Hivi mwanamke uliyemzalisha watoto...ukampangia nyumba...na kumlea kwa kila kitu huyo hafai kuheshimiwa? au malipo yake ni kuposwa na dume lingine?
 
Dah the big boss ...anyway pesa sio kila kitu, what is the use of money kama huna hata ambaye unampenda ama anakupenda ...furahia pesa ukiwa na mtu mnayependana
 
kwa akili ya kupiga pumbu au? ha ha haha samahai mkuu
 
Mkuu umenifanya nicheke asubuh yote hii na sikua na mpango huo[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Ruge ana zaidi ya mwanamke mmoja,hoja yako haina mashiko...tumemfuma analliaaa
 
Hivi mwanamke uliyemzalisha watoto...ukampangia nyumba...na kumlea kwa kila kitu huyo hafai kuheshimiwa? au malipo yake ni kuposwa na dume lingine?
Heshima ya kutembea na wanawake wengine mbele ya macho yake????! Heshima ya kumdharau kisa kampangia nyumba????!!! Heshima ipi labda au ya kumlipia posa kitaaambo then akawa hataki kuoa mpk amesikia kua mwenzie anaolewa ....heshima ya ruge kwa zama ilikaa mfuko gani wa suruwal kwa mfano tu???;!!!
Ifike kipindi wanaume mtambue kwamba shida ya mwanamke sio pesa magari na majumba tu....mwanamke anahitaji kuheshimiwa kujaliwa na kuthaminiwa. .....sasa thaman ya zama ilikua wapi kwa ruge ....wakati ruge kutwa kukitombesha kwa wafanyakazi wake tena zama akishuhudia......
Binafsi nasema zama hana kosa na alijitahid kumvumilia yule kitombi ila uvumilivu una mwisho na mwisho ndo kama huo aloufanya zama
 

Kama ni kweli basi jamaa hana adabu !!
 

Hapa ndipo utaamini kuwa ' Mbunye ' haina Commando. Na kupitia hili nadhani ndiyo sasa liwe fundisho kwa Wanawake wote kwamba Sisi Wanaume tunaweza tukawa na ' Michepuko ' mingi kila mahala ila kuna ' Mbunye ' moja tu ambayo tunaipenda na tunaiheshimu. Hivi kwa jinsi ' Jamaa ' alivyo ' Kitombinyo ' wa ' Kutukuka ' hapa Duniani na pengina hata siku atakayoenda ' Kuzimu ' mlitegemea leo hii angeililia namna hii ' Mbunye ' ya Skeleton?

Hivi huku ' Kulia ' kwa ' Mtani ' wangu wa Kihaya Ruge hakuwezi kukapatikana Fursa?

Ushauri wangu mkubwa ni kwamba Ruge anahitaji sana na haraka mno msaada wa Kisaikolojia vinginevyo tujiandae kumuona akiokota makopo kwa ' Kudata ' au hata kuyakabidhi rasmi maisha yake yote kwa ' Israeli Mtoa Roho ' ili atiririke na aserereke nayo.
 
Anakufa mzazi mwanaume unajifanya kujikaza , ila kwa mwanamke unalia hadi makamasi yanatoka, duh,,,, yani bora angejifungia room kwake akaliaa yakaisha kuliko kujibebisha kwa mke wa mtu , yani unaonesha weekpoint yako hadharani?!!! Wanaume wa Dar sijui wakoje yani.
 
Wanawake wakatili sana na lait kama wakijua unampenda na wakakupa maji ya kuoshea nanaliiu ukayanywa kwenye juicy,lazma uvurugwe kama huyo..tumsamehe.shida ni mazoea
 
Akubali matokeo ndio mpira umeisha watazamaji wanarejea makwao luge-0 wao-2
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…