Haki za kisheria za Ruge Mutahaba wa Clouds ni zipi baada ya kurekodiwa akilia kwenye simu?

Haki za kisheria za Ruge Mutahaba wa Clouds ni zipi baada ya kurekodiwa akilia kwenye simu?

Kwa hizi comments zako kwa mwanamke mwenzio bhasi nashawishika kuamini mkono wa Bashite umehusika kama shilawadu walivyoripoti,huwezi kuwa na maneno makali hivi kwa mwanamke mwenzio...

Kwanza uliemtaja simfahamu.. mengine hujui kwanini nimeamdika hivyo.. eeeeeh JF hii

Pwaaaaaaaa
 
Kuanzia leo ile kauli ya wahenga isemayo "utamaliza bucha nyama ni ile ile" nimeitengua. Nyama ya Zamaradi ni tofauti na za akina Cocochanel!!

Eeeeeeeeeeh
Huyo Coco humjui shaaaaa
Kuna watu duniani baraka za Mola zilishuka haswaaaaaaaa umeandika kama vile unamjua Coco.. komwa

Audio ya kabla ya ndoa hiyo.. Ruge ni mazoea kwa huyo mwanamke ndio ikamtokea hivyo si lingine.. ambaye Mungu kamuonyesha alivyo.. mlafi.. kuolewa anatanga tanga mitandaoni kutafuta kiki badala ya kuenjoy ndoa yake siku ya kwanza.. atajutaaaaaa anajutaaaa.. kwa kumchafua mzazi mwenzake ni ameonyesha ni libomu bora ameenda hukoooo
 
Basi wazee, baaasiii...
Naona hili tukio limewagusa wengi zaidi ya Ruge na Zama.
Poleni jamani. Ndo maisha.
 
dah ama kweli kalia mpaka basi kwan hakusikia tetesi kabla ya ndoa?
 
mbona analia kwa miguno kweli bla shaka atakuwa mwanaume wa dar huyo
 
Wakuu kuna clip zimesambaa Jana za boss Ruge wa Clouds FM amerekodiwa na aliyekuwa mpenzi wake aliyezaa nae watoto 2 akimlilia huyo mwanamke asimuache, baada ya huyo mwanamke ambaye ni mtangazaji wa Cloud FM anayeitwa Zamaradi Mketema kuamua kuolewa na anayesemekana ni mtoto au mtu wa karibu na mh Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Je, anaweza kufungua shauri mahakamani akadai haki yake ya privacy kuingiliwa bila idhini yake. Wataalamu wa sheria mtusaidie.

My Take:
Nimeamini mapenzi yana nguvu, kwa jinsi jamaa alivyokuwa analia basi huyo dada anaonekana mtamu sana. Wanaume pia tuwe makini, tuache michepuko hawa wanawake wamekuwa makatili sana nowadays.


Duh, [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] nimecheka xn km ni yeye, angekua mdg wng cjui ningmfanyeje
 
Mambo ya kishamba kulia lia.....atafute mrembo mwingine mtamu zaid ya cheusi
Kuna kawimbo kanaimbaga "make siinguo apatikane sokoni na wala sio kitunguu apatikane gengeni" ili uijue thamani ya mtu au kitu lazima kikutoke.
 
Kuna kitu cha ziada Mungu amekiweka kwa Mwanamke tangu uumbaji wake. Mwanaume hata uwe mbabe korofi kiasi gani akikutana na mwanamke lazima kuna mambo atakuwa mdogo na mjinga ili afanikiwe au abaki salama. FBI, CIA wanaheshimika na dunia lakini wakifika kwa wake zao hiyo heshima inabaki mlango. Wamekalishwa Wanadhiri wa Mungu kina Samsoni Ruge anabakije salama?
 
Back
Top Bottom