Hakika CCM haina watu tena, Wote walioteuliwa leo hawana Jipya ni wepesi kuliko pamba

Hakika CCM haina watu tena, Wote walioteuliwa leo hawana Jipya ni wepesi kuliko pamba

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Kwanza kabisa ni kwamba mipango yote ya ccm inapangwa na watu walewale na kiukweli ccm haiwezi kutunza siri , taarifa ya Jokate, Mongella na Makalla nimevujishiwa jana saa 5 usiku, nilinyamaza tu kwa vile niliona labda kila mtu anajua kwahiyo haitakuwa habari, Kitendo cha Chama hiki kutokutunza siri zake ni matundu yanayoweza kukiletea matatizo, aliyenipa taarifa zile ni mtu mdogo sana huko CCM, lakini aliweza kupata taarifa za wakubwa na kuvujisha almost 24hrs kabla ya Tangazo rasmi kutolewa , Haya ni mapungufu .

Lingine ni hili, wote walioteuliwa hawana jipya, hivi Mongella ana lipi zaidi ya kuwa mtoto wa kiongozi?

Screenshot_2024-04-03-19-47-28-1-1.png

Huyu katika utumishi wake hajawahi kuwa na mahusiano mazuri na watumishi wenzake pote alipopita , alilindwa na mfumo tu , hebu mfuatilieni kila alipopita , huyu kuwekwa kwenye ofisi ya katibu mkuu ni kama kumficha ili asifurukute maana hakuna atakachoamua wala hakuna Saluti alizozizoea atapigiwa huko , hana ushawishi na wala hakuwahi kuwa nao .

Pedeshee Amos Makalla anaweza kueneza nini kwenye nchi hii kutoka ccm ? Ni nani atamsikiliza Makalla na kumuamini ? Nani asiyemjua Makalla hadi aingie mkenge kumsikiliza ?

Screenshot_2024-04-03-19-47-43-1-1.png

Nimejiridhisha kwamba ccm haina viongozi au labda haitegemei viongozi wake kwenye lolote , wako inaowategemea , hawa hawawezi kuipeleka popote ccm , hawana ushawishi wowote ule, Makalla ameshindwa kila mahali alikopelekwa pamoja na kubebwa na mbeleko ya Chuma kutoka Chalinze .

Sasa funga kazi ni haya ya Jokate , yaani hiki ndio kituko kikubwa zaidi .

Screenshot_2024-04-03-19-48-09-1-1.png

Huyu Juzi alikuwa Mama , akapelekwa UWT , sasa leo CCM imejua kwamba bado ni Msichana , imemrudisha UVCCM ! as if kuna ccm mbili ! moja ina macho nyingine inatumia miwani .

Ambacho ccm imesahau ni kuhusu watu wanaomuunga mkono Jokate, hawa wengi ni marafiki zake Jokate na kwa kweli si vijana , ni wadada wakubwa waliochoka kutokana na kutumika sana kwenye mambo kadha wa kadha , sifa yao kubwa ni kufake maisha ya daraja la juu, kwa kufupisha ni kwamba hakuna Mama yoyote Tanzania ambaye angependa mwanaye wa kike awe na uhusiano na kundi la wadada wanaomuunga mkono Jokate , hii ni kutokana na Tabia zao za hadharani na gizani, mitandaoni na mitaani , nani asiyewajua? Kwa kundi kama hili kulileta mitaani ili lishawishi vijana waiunge mkono ccm ni sawa na Kumkufuru Mungu ( Iko siku nitafunguka zaidi).

Mwisho sitapoteza muda kumjadili Ally Happy.

NOTE : Mwandishi wa Makala hii ni mchambuzi wa masuala ya kisiasa hapa JF , hana maslahi yoyote wala mgogoro wowote na Wateuliwa

NITASEMA KWELI DAIMA FITINA KWANGU MWIKO
 
Labda ni kwasababu upinzani nao umedorora ndio maana CCM wanaamua tu kumpa mtu yeyote cheo?

Yote tisa, kumi viatu vya Makonda Makalla hawezi vivaa labda ajaze magodoro ndani.
 
Kwanza kabisa ni kwamba mipango yote ya ccm inapangwa na watu walewale na kiukweli ccm haiwezi kutunza siri , taarifa ya Jokate , Mongella na Makalla nimevujishiwa jana saa 5 usiku , nilinyamaza tu kwa vile niliona labda kila mtu anajua kwahiyo haitakuwa habari , Kitendo cha Chama hiki kutokutunza siri zake ni matundu yanayoweza kukiletea matatizo , aliyenipa taarifa zile ni mtu mdogo sana huko ccm , lakini aliweza kupata taarifa za wakubwa na kuvujisha almost 24hrs kabla ya Tangazo rasmi kutolewa , Haya ni mapungufu .

Lingine ni hili , wote walioteuliwa hawana jipya , hivi Mongella ana lipi zaidi ya kuwa mtoto wa kiongozi ?

View attachment 2953107

Huyu katika utumishi wake hajawahi kuwa na mahusiano mazuri na watumishi wenzake pote alipopita , alilindwa na mfumo tu , hebu mfuatilieni kila alipopita , huyu kuwekwa kwenye ofisi ya katibu mkuu ni kama kumficha ili asifurukute maana hakuna atakachoamua wala hakuna Saluti alizozizoea atapigiwa huko , hana ushawishi na wala hakuwahi kuwa nao .

Pedeshee Amos Makalla anaweza kueneza nini kwenye nchi hii kutoka ccm ? Ni nani atamsikiliza Makalla na kumuamini ? Nani asiyemjua Makalla hadi aingie mkenge kumsikiliza ?

View attachment 2953108Nimejiridhisha kwamba ccm haina viongozi au labda haitegemei viongozi wake kwenye lolote , wako inaowategemea , hawa hawawezi kuipeleka popote ccm , hawana ushawishi wowote ule, Makalla ameshindwa kila mahali akioopelekwa pamoja na kubebwa na mbeleko ya Chuma kutoka Chalinze .

Saaa funga kazi ni haya ya Jokate , yaani hiki ndio kituko kikubwa zaidi .

View attachment 2953114

Huyu Juzi alikuwa Mama , akapelekwa UWT , sasa leo CCM imejua kwamba bado ni Msichana , imemrudisha UVCCM ! as if kuna ccm mbili ! moja ina macho nyingine inatumia miwani .

Ambacho ccm imesahau ni kuhusu watu wanaomuunga mkono Jokate , hawa wengi ni marafiki zake Jokate na kwa kweli si vijana , ni wadada wakubwa waliochoka kutokana na kutumika sana kwenye mambo kadha wa kadha , sifa yao kubwa ni kufake maisha ya daraja la juu , kwa kufupisha ni kwamba hakuna Mama yoyote Tanzania ambaye angependa mwanaye wa kike awe na uhusiano na kundi la wadada wanaomuunga mkono Jokate , hii ni kutokana na Tabia zao za hadharani na gizani , mitandaoni na mitaani , nani asiyewajua ? Kwa kundi kama hili kulileta mitaani ili lishawishi vijana waiunge mkono ccm ni sawa na Kumkufuru Mungu ( Iko siku nitafunguka zaidi )

Mwisho sitapoteza muda kumjadili Ally Happy .

NOTE : Mwandishi wa Makala hii ni mchambuzi wa masuala ya kisiasa hapa JF , hana maslahi yoyote wala mgogoro wowote na Wateuliwa

NITASEMA KWELI DAIMA FITINA KWANGU MWIKO
EXACTLY.
 
Kwanza kabisa ni kwamba mipango yote ya ccm inapangwa na watu walewale na kiukweli ccm haiwezi kutunza siri , taarifa ya Jokate , Mongella na Makalla nimevujishiwa jana saa 5 usiku , nilinyamaza tu kwa vile niliona labda kila mtu anajua kwahiyo haitakuwa habari , Kitendo cha Chama hiki kutokutunza siri zake ni matundu yanayoweza kukiletea matatizo , aliyenipa taarifa zile ni mtu mdogo sana huko ccm , lakini aliweza kupata taarifa za wakubwa na kuvujisha almost 24hrs kabla ya Tangazo rasmi kutolewa , Haya ni mapungufu .

Lingine ni hili , wote walioteuliwa hawana jipya , hivi Mongella ana lipi zaidi ya kuwa mtoto wa kiongozi ?

View attachment 2953107

Huyu katika utumishi wake hajawahi kuwa na mahusiano mazuri na watumishi wenzake pote alipopita , alilindwa na mfumo tu , hebu mfuatilieni kila alipopita , huyu kuwekwa kwenye ofisi ya katibu mkuu ni kama kumficha ili asifurukute maana hakuna atakachoamua wala hakuna Saluti alizozizoea atapigiwa huko , hana ushawishi na wala hakuwahi kuwa nao .

Pedeshee Amos Makalla anaweza kueneza nini kwenye nchi hii kutoka ccm ? Ni nani atamsikiliza Makalla na kumuamini ? Nani asiyemjua Makalla hadi aingie mkenge kumsikiliza ?

View attachment 2953108Nimejiridhisha kwamba ccm haina viongozi au labda haitegemei viongozi wake kwenye lolote , wako inaowategemea , hawa hawawezi kuipeleka popote ccm , hawana ushawishi wowote ule, Makalla ameshindwa kila mahali akioopelekwa pamoja na kubebwa na mbeleko ya Chuma kutoka Chalinze .

Saaa funga kazi ni haya ya Jokate , yaani hiki ndio kituko kikubwa zaidi .

View attachment 2953114

Huyu Juzi alikuwa Mama , akapelekwa UWT , sasa leo CCM imejua kwamba bado ni Msichana , imemrudisha UVCCM ! as if kuna ccm mbili ! moja ina macho nyingine inatumia miwani .

Ambacho ccm imesahau ni kuhusu watu wanaomuunga mkono Jokate , hawa wengi ni marafiki zake Jokate na kwa kweli si vijana , ni wadada wakubwa waliochoka kutokana na kutumika sana kwenye mambo kadha wa kadha , sifa yao kubwa ni kufake maisha ya daraja la juu , kwa kufupisha ni kwamba hakuna Mama yoyote Tanzania ambaye angependa mwanaye wa kike awe na uhusiano na kundi la wadada wanaomuunga mkono Jokate , hii ni kutokana na Tabia zao za hadharani na gizani , mitandaoni na mitaani , nani asiyewajua ? Kwa kundi kama hili kulileta mitaani ili lishawishi vijana waiunge mkono ccm ni sawa na Kumkufuru Mungu ( Iko siku nitafunguka zaidi )

Mwisho sitapoteza muda kumjadili Ally Happy .

NOTE : Mwandishi wa Makala hii ni mchambuzi wa masuala ya kisiasa hapa JF , hana maslahi yoyote wala mgogoro wowote na Wateuliwa

NITASEMA KWELI DAIMA FITINA KWANGU MWIKO
Unavyojulikana wewe ni nyumba ya bati hakika chadema mmepatwa na matumbo ya uharo nchimbi,jokate,hapi,mzee sabawani aka sabaya,makala plus jembe samia suluhu bora lissu abaki ubelgiji maana hata kura hatoina ndani ya boksi!
 
Kwanza kabisa ni kwamba mipango yote ya ccm inapangwa na watu walewale na kiukweli ccm haiwezi kutunza siri , taarifa ya Jokate , Mongella na Makalla nimevujishiwa jana saa 5 usiku , nilinyamaza tu kwa vile niliona labda kila mtu anajua kwahiyo haitakuwa habari , Kitendo cha Chama hiki kutokutunza siri zake ni matundu yanayoweza kukiletea matatizo , aliyenipa taarifa zile ni mtu mdogo sana huko ccm , lakini aliweza kupata taarifa za wakubwa na kuvujisha almost 24hrs kabla ya Tangazo rasmi kutolewa , Haya ni mapungufu .

Lingine ni hili , wote walioteuliwa hawana jipya , hivi Mongella ana lipi zaidi ya kuwa mtoto wa kiongozi ?

View attachment 2953107

Huyu katika utumishi wake hajawahi kuwa na mahusiano mazuri na watumishi wenzake pote alipopita , alilindwa na mfumo tu , hebu mfuatilieni kila alipopita , huyu kuwekwa kwenye ofisi ya katibu mkuu ni kama kumficha ili asifurukute maana hakuna atakachoamua wala hakuna Saluti alizozizoea atapigiwa huko , hana ushawishi na wala hakuwahi kuwa nao .

Pedeshee Amos Makalla anaweza kueneza nini kwenye nchi hii kutoka ccm ? Ni nani atamsikiliza Makalla na kumuamini ? Nani asiyemjua Makalla hadi aingie mkenge kumsikiliza ?

View attachment 2953108Nimejiridhisha kwamba ccm haina viongozi au labda haitegemei viongozi wake kwenye lolote , wako inaowategemea , hawa hawawezi kuipeleka popote ccm , hawana ushawishi wowote ule, Makalla ameshindwa kila mahali akioopelekwa pamoja na kubebwa na mbeleko ya Chuma kutoka Chalinze .

Saaa funga kazi ni haya ya Jokate , yaani hiki ndio kituko kikubwa zaidi .

View attachment 2953114

Huyu Juzi alikuwa Mama , akapelekwa UWT , sasa leo CCM imejua kwamba bado ni Msichana , imemrudisha UVCCM ! as if kuna ccm mbili ! moja ina macho nyingine inatumia miwani .

Ambacho ccm imesahau ni kuhusu watu wanaomuunga mkono Jokate , hawa wengi ni marafiki zake Jokate na kwa kweli si vijana , ni wadada wakubwa waliochoka kutokana na kutumika sana kwenye mambo kadha wa kadha , sifa yao kubwa ni kufake maisha ya daraja la juu , kwa kufupisha ni kwamba hakuna Mama yoyote Tanzania ambaye angependa mwanaye wa kike awe na uhusiano na kundi la wadada wanaomuunga mkono Jokate , hii ni kutokana na Tabia zao za hadharani na gizani , mitandaoni na mitaani , nani asiyewajua ? Kwa kundi kama hili kulileta mitaani ili lishawishi vijana waiunge mkono ccm ni sawa na Kumkufuru Mungu ( Iko siku nitafunguka zaidi )

Mwisho sitapoteza muda kumjadili Ally Happy .

NOTE : Mwandishi wa Makala hii ni mchambuzi wa masuala ya kisiasa hapa JF , hana maslahi yoyote wala mgogoro wowote na Wateuliwa

NITASEMA KWELI DAIMA FITINA KWANGU MWIKO
Umekuja na analysis nzuri kidogo ya, kutueleza ukweli kuhusu kilichotokea. Ila, naamini chadema mlimwogopa sana makonda. Aidha, hata cdm haina jipya. Mbowe amekuwa mwenyekiti wa cdm miaka nenda rudi. Mm namwomba sana mungu, Tanzania yangu ipate chama kipya kizuri, kitakachowaondoa CCM na cdm. Kwan naona vyama hivi vyote ni miradi tu ya watu. Wananchi wa Tanzania wanaendelea kuteseka. CCM ina watu wasio na dira wala mwelekeo. Kikwete amekataa kabisa kustaafu. Anatumia remote kuongoza nchi, huku kichwani akiwa amechakaa kabisa akili. CDM pia wanaotaka tu ubunge wale nchi na familia zao.
 
Unavyojulikana wewe ni nyumba ya bati hakika chadema mmepatwa na matumbo ya uharo nchimbi,jokate,hapi,mzee sabawani aka sabaya,makala plus jembe samia suluhu bora lissu abaki ubelgiji maana hata kura hatoina ndani ya boksi!
Nyie wenzetu mkiandika mnalipwa ndio maana huelewi kilichoandikwa
 
Umekuja na analysis nzuri kidogo ya, kutueleza ukweli kuhusu kilichotokea. Ila, naamini chadema mlimwogopa sana makonda. Aidha, hata cdm haina jipya. Mbowe amekuwa mwenyekiti wa cdm miaka nenda rudi. Mm namwomba sana mungu, Tanzania yangu ipate chama kipya kizuri, kitakachowaondoa CCM na cdm. Kwan naona vyama hivi vyote ni miradi tu ya watu. Wananchi wa Tanzania wanaendelea kuteseka. CCM ina watu wasio na dira wala mwelekeo. Kikwete amekataa kabisa kustaafu. Anatumia remote kuongoza nchi, huku kichwani akiwa amechakaa kabisa akili. CDM pia wanaotaka tu ubunge wale nchi na familia zao.
Makonda aliogopwa na Wote CDM na CCM pia ndicho kilichompata.
 
Unavyojulikana wewe ni nyumba ya bati hakika chadema mmepatwa na matumbo ya uharo nchimbi,jokate,hapi,mzee sabawani aka sabaya,makala plus jembe samia suluhu bora lissu abaki ubelgiji maana hata kura hatoina ndani ya boksi!
Najua unaandika hivi ila moyo unagoma kabisa
 
Umekuja na analysis nzuri kidogo ya, kutueleza ukweli kuhusu kilichotokea. Ila, naamini chadema mlimwogopa sana makonda. Aidha, hata cdm haina jipya. Mbowe amekuwa mwenyekiti wa cdm miaka nenda rudi. Mm namwomba sana mungu, Tanzania yangu ipate chama kipya kizuri, kitakachowaondoa CCM na cdm. Kwan naona vyama hivi vyote ni miradi tu ya watu. Wananchi wa Tanzania wanaendelea kuteseka. CCM ina watu wasio na dira wala mwelekeo. Kikwete amekataa kabisa kustaafu. Anatumia remote kuongoza nchi, huku kichwani akiwa amechakaa kabisa akili. CDM pia wanaotaka tu ubunge wale nchi na familia zao.
Na vimada vyao
 
Leo ndio nimehakikisha kuwa CCM CHAMA KIMEKUFA VIBAYA SANA
ILA TATZO CHADEMA HAWANA SERA WALA AGENDA NZURI NAO NI WARAKU SNA
 
CCM ni kubwa mno kuliko ulichoandika , ukiifahamu CCM Kwa walau 10% utanishukuru Kwa kukuongezea uelewa. Nilichokisoma hapa na kukielewa ni kwamba mna hofu kubwa na CCM na lolote linalofanywa na CCM linawatia wazimu
 
Back
Top Bottom