Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Mfano wa sera au agenda nzuri ni zipi?Leo ndio nimehakikisha kuwa CCM CHAMA KIMEKUFA VIBAYA SANA
ILA TATZO CHADEMA HAWANA SERA WALA AGENDA NZURI NAO NI WARAKU SNA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfano wa sera au agenda nzuri ni zipi?Leo ndio nimehakikisha kuwa CCM CHAMA KIMEKUFA VIBAYA SANA
ILA TATZO CHADEMA HAWANA SERA WALA AGENDA NZURI NAO NI WARAKU SNA
Hamna bhana, CCM haina kitu kipya cha maana sana kwa wananchi. Labda uwe kuna vitu unafaidika huko CCM. Hizi shida, wanazopata wananchi ww unasema bado watu wanaiogopa CCM? Miaka yote hakuna unafuu kwa wananchi. Labda ukubwa wake iwe kuiba tu kura.Aidha lazima ujue kuwa tatizo letu watanzania tunaopenda maendeleo ya nchi na wananchi kwa ujumla ni kwamba bado nchi haijapata chama mbadala cha upinzani. Vingi ni vya watu binafsi. Kina mbowe ni wenyeviti miaka na miaka.Hawa sio wapinzani wa kweli. Tunahitaji chama kipya cha kuiondoa CCM.CCM ni kubwa mno kuliko ulichoandika , ukiifahamu CCM Kwa walau 10% utanishukuru Kwa kukuongezea uelewa. Nilichokisoma hapa na kukielewa ni kwamba mna hofu kubwa na CCM na lolote linalofanywa na CCM linawatia wazimu
[emoji3534] Reuse [emoji3534] Reduce [emoji3534] Replace [emoji3534] RecycleReuse [emoji3534] Reduce and Recycle [emoji3534]
Mtu anaetisha ni yule anayekubalika bila kuwa na mamlaka ya dola. Makonda nje ya mfumo hana mvuto unaofikia wa wakina Lissu ambao bila mamlaka yeyote wanakubalika na watu wengi.Makonda aliogopwa na Wote CDM na CCM pia ndicho kilichompata.
Daaaah !Ccm hamna kitu kwa mfano hata wasingewateua hao wangewateua kina nani wengine!...labda Steve nyerere!!!!
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Chama cha watu kinawezaje kufanya mamboya siri. CCM siyo kama kile chama cha kigaidi CHADEMA. Acha kuifananisha CCM na uchafuKwanza kabisa ni kwamba mipango yote ya ccm inapangwa na watu walewale na kiukweli ccm haiwezi kutunza siri , taarifa ya Jokate, Mongella na Makalla nimevujishiwa jana saa 5 usiku, nilinyamaza tu kwa vile niliona labda kila mtu anajua kwahiyo haitakuwa habari, Kitendo cha Chama hiki kutokutunza siri zake ni matundu yanayoweza kukiletea matatizo, aliyenipa taarifa zile ni mtu mdogo sana huko CCM, lakini aliweza kupata taarifa za wakubwa na kuvujisha almost 24hrs kabla ya Tangazo rasmi kutolewa , Haya ni mapungufu .
Lingine ni hili, wote walioteuliwa hawana jipya, hivi Mongella ana lipi zaidi ya kuwa mtoto wa kiongozi?
Huyu katika utumishi wake hajawahi kuwa na mahusiano mazuri na watumishi wenzake pote alipopita , alilindwa na mfumo tu , hebu mfuatilieni kila alipopita , huyu kuwekwa kwenye ofisi ya katibu mkuu ni kama kumficha ili asifurukute maana hakuna atakachoamua wala hakuna Saluti alizozizoea atapigiwa huko , hana ushawishi na wala hakuwahi kuwa nao .
Pedeshee Amos Makalla anaweza kueneza nini kwenye nchi hii kutoka ccm ? Ni nani atamsikiliza Makalla na kumuamini ? Nani asiyemjua Makalla hadi aingie mkenge kumsikiliza ?
View attachment 2953108
Nimejiridhisha kwamba ccm haina viongozi au labda haitegemei viongozi wake kwenye lolote , wako inaowategemea , hawa hawawezi kuipeleka popote ccm , hawana ushawishi wowote ule, Makalla ameshindwa kila mahali akioopelekwa pamoja na kubebwa na mbeleko ya Chuma kutoka Chalinze .
Saaa funga kazi ni haya ya Jokate , yaani hiki ndio kituko kikubwa zaidi .
Huyu Juzi alikuwa Mama , akapelekwa UWT , sasa leo CCM imejua kwamba bado ni Msichana , imemrudisha UVCCM ! as if kuna ccm mbili ! moja ina macho nyingine inatumia miwani .
Ambacho ccm imesahau ni kuhusu watu wanaomuunga mkono Jokate, hawa wengi ni marafiki zake Jokate na kwa kweli si vijana , ni wadada wakubwa waliochoka kutokana na kutumika sana kwenye mambo kadha wa kadha , sifa yao kubwa ni kufake maisha ya daraja la juu, kwa kufupisha ni kwamba hakuna Mama yoyote Tanzania ambaye angependa mwanaye wa kike awe na uhusiano na kundi la wadada wanaomuunga mkono Jokate , hii ni kutokana na Tabia zao za hadharani na gizani, mitandaoni na mitaani , nani asiyewajua? Kwa kundi kama hili kulileta mitaani ili lishawishi vijana waiunge mkono ccm ni sawa na Kumkufuru Mungu ( Iko siku nitafunguka zaidi).
Mwisho sitapoteza muda kumjadili Ally Happy.
NOTE : Mwandishi wa Makala hii ni mchambuzi wa masuala ya kisiasa hapa JF , hana maslahi yoyote wala mgogoro wowote na Wateuliwa
NITASEMA KWELI DAIMA FITINA KWANGU MWIKO
CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala.Chama cha watu kinawezaje kufanya mamboya siri. CCM siyo kama kile chama cha kigaidi CHADEMA. Acha kuifananisha CCM na uchafu
Kwanza kabisa ni kwamba mipango yote ya ccm inapangwa na watu walewale na kiukweli ccm haiwezi kutunza siri , taarifa ya Jokate, Mongella na Makalla nimevujishiwa jana saa 5 usiku, nilinyamaza tu kwa vile niliona labda kila mtu anajua kwahiyo haitakuwa habari, Kitendo cha Chama hiki kutokutunza siri zake ni matundu yanayoweza kukiletea matatizo, aliyenipa taarifa zile ni mtu mdogo sana huko CCM, lakini aliweza kupata taarifa za wakubwa na kuvujisha almost 24hrs kabla ya Tangazo rasmi kutolewa , Haya ni mapungufu .
Lingine ni hili, wote walioteuliwa hawana jipya, hivi Mongella ana lipi zaidi ya kuwa mtoto wa kiongozi?
Huyu katika utumishi wake hajawahi kuwa na mahusiano mazuri na watumishi wenzake pote alipopita , alilindwa na mfumo tu , hebu mfuatilieni kila alipopita , huyu kuwekwa kwenye ofisi ya katibu mkuu ni kama kumficha ili asifurukute maana hakuna atakachoamua wala hakuna Saluti alizozizoea atapigiwa huko , hana ushawishi na wala hakuwahi kuwa nao .
Pedeshee Amos Makalla anaweza kueneza nini kwenye nchi hii kutoka ccm ? Ni nani atamsikiliza Makalla na kumuamini ? Nani asiyemjua Makalla hadi aingie mkenge kumsikiliza ?
View attachment 2953108
Nimejiridhisha kwamba ccm haina viongozi au labda haitegemei viongozi wake kwenye lolote , wako inaowategemea , hawa hawawezi kuipeleka popote ccm , hawana ushawishi wowote ule, Makalla ameshindwa kila mahali akioopelekwa pamoja na kubebwa na mbeleko ya Chuma kutoka Chalinze .
Saaa funga kazi ni haya ya Jokate , yaani hiki ndio kituko kikubwa zaidi .
Huyu Juzi alikuwa Mama , akapelekwa UWT , sasa leo CCM imejua kwamba bado ni Msichana , imemrudisha UVCCM ! as if kuna ccm mbili ! moja ina macho nyingine inatumia miwani .
Ambacho ccm imesahau ni kuhusu watu wanaomuunga mkono Jokate, hawa wengi ni marafiki zake Jokate na kwa kweli si vijana , ni wadada wakubwa waliochoka kutokana na kutumika sana kwenye mambo kadha wa kadha , sifa yao kubwa ni kufake maisha ya daraja la juu, kwa kufupisha ni kwamba hakuna Mama yoyote Tanzania ambaye angependa mwanaye wa kike awe na uhusiano na kundi la wadada wanaomuunga mkono Jokate , hii ni kutokana na Tabia zao za hadharani na gizani, mitandaoni na mitaani , nani asiyewajua? Kwa kundi kama hili kulileta mitaani ili lishawishi vijana waiunge mkono ccm ni sawa na Kumkufuru Mungu ( Iko siku nitafunguka zaidi).
Mwisho sitapoteza muda kumjadili Ally Happy.
NOTE : Mwandishi wa Makala hii ni mchambuzi wa masuala ya kisiasa hapa JF , hana maslahi yoyote wala mgogoro wowote na Wateuliwa
NITASEMA KWELI DAIMA FITINA KWANGU MWIKO
Hapa ndiyo funga kazi. Kwamba aliondolewa UVCCM kwa kuwa kawa mmama. Miezi mitano baadaye anarudishshwa kwenye UVCCM kama mdada??Huyu Juzi alikuwa Mama , akapelekwa UWT , sasa leo CCM imejua kwamba bado ni Msichana , imemrudisha UVCCM ! as if kuna ccm mbili ! moja ina macho nyingine inatumia miwani .
Pole mjombaUlitaka wawe wazito ili wakufanye nini!
Noma kweli yaaniHapa ndiyo funga kazi. Kwamba aliondolewa UVCCM kwa kuwa kawa mmama. Miezi mitano baadaye anarudishshwa kwenye UVCCM kama mdada??
😆😆😆😆Zima muziki Mutu ya watu pedeshee Mutu mukubwa anataka kupokea simu.
Hakika tutam misi kwenye kumbi za starehe.
Wewe mawazo yako ni uchaguzi na wizi wakura Huna jipya.Unavyojulikana wewe ni nyumba ya bati hakika chadema mmepatwa na matumbo ya uharo nchimbi,jokate,hapi,mzee sabawani aka sabaya,makala plus jembe samia suluhu bora lissu abaki ubelgiji maana hata kura hatoina ndani ya boksi!