Hakika CCM haina watu tena, Wote walioteuliwa leo hawana Jipya ni wepesi kuliko pamba

Hakuogopwa na ccm, ila hakujua mipaka yake abd he crossed the line
 
CCM ni kubwa mno kuliko ulichoandika , ukiifahamu CCM Kwa walau 10% utanishukuru Kwa kukuongezea uelewa. Nilichokisoma hapa na kukielewa ni kwamba mna hofu kubwa na CCM na lolote linalofanywa na CCM linawatia wazimu
Hamna bhana, CCM haina kitu kipya cha maana sana kwa wananchi. Labda uwe kuna vitu unafaidika huko CCM. Hizi shida, wanazopata wananchi ww unasema bado watu wanaiogopa CCM? Miaka yote hakuna unafuu kwa wananchi. Labda ukubwa wake iwe kuiba tu kura.Aidha lazima ujue kuwa tatizo letu watanzania tunaopenda maendeleo ya nchi na wananchi kwa ujumla ni kwamba bado nchi haijapata chama mbadala cha upinzani. Vingi ni vya watu binafsi. Kina mbowe ni wenyeviti miaka na miaka.Hawa sio wapinzani wa kweli. Tunahitaji chama kipya cha kuiondoa CCM.
 
Chama cha watu kinawezaje kufanya mamboya siri. CCM siyo kama kile chama cha kigaidi CHADEMA. Acha kuifananisha CCM na uchafu
 
Chama cha watu kinawezaje kufanya mamboya siri. CCM siyo kama kile chama cha kigaidi CHADEMA. Acha kuifananisha CCM na uchafu
CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala.
 

The truth will remain the truth…
 
Ulitaka wawe wazito ili wakufanye nini!
 
Huyu Juzi alikuwa Mama , akapelekwa UWT , sasa leo CCM imejua kwamba bado ni Msichana , imemrudisha UVCCM ! as if kuna ccm mbili ! moja ina macho nyingine inatumia miwani .
Hapa ndiyo funga kazi. Kwamba aliondolewa UVCCM kwa kuwa kawa mmama. Miezi mitano baadaye anarudishshwa kwenye UVCCM kama mdada??
 
Hapa ndiyo funga kazi. Kwamba aliondolewa UVCCM kwa kuwa kawa mmama. Miezi mitano baadaye anarudishshwa kwenye UVCCM kama mdada??
Noma kweli yaani
 
Reactions: G4N
Zima muziki Mutu ya watu pedeshee Mutu mukubwa anataka kupokea simu.
Hakika tutam misi kwenye kumbi za starehe.
 
Unavyojulikana wewe ni nyumba ya bati hakika chadema mmepatwa na matumbo ya uharo nchimbi,jokate,hapi,mzee sabawani aka sabaya,makala plus jembe samia suluhu bora lissu abaki ubelgiji maana hata kura hatoina ndani ya boksi!
Wewe mawazo yako ni uchaguzi na wizi wakura Huna jipya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…