Hakika CCM haina watu tena, Wote walioteuliwa leo hawana Jipya ni wepesi kuliko pamba

Unavyojulikana wewe ni nyumba ya bati hakika chadema mmepatwa na matumbo ya uharo nchimbi,jokate,hapi,mzee sabawani aka sabaya,makala plus jembe samia suluhu bora lissu abaki ubelgiji maana hata kura hatoina ndani ya boksi!
Sabaya naye yumo kwani?
 
Kama hawa ndio wakali wao kwakweli chama kimefika mwisho.
 
Labda ni kwasababu upinzani nao umedorora ndio maana CCM wanaamua tu kumpa mtu yeyote cheo?

Yote tisa, kumi viatu vya Makonda Makalla hawezi vivaa labda ajaze magodoro ndani.
Kweli kabisa. Makala hajawhi weza nafasi yoyote. Aneshatumbuliwa Mara nyingi
 
Chama Cha maigizo....na vichekesho!!
Katibu vijana alipaswa awe na sifa za siha njema anayeweza kukemea yasiyofaa Kwa vijana Sasa huyo alojidhalilisha kwa kutembea na wasanii wahuni na kuzalishwa namtu asojulikana leo atamwogoza kijana gani? 🤣🤣🤣Je,nimfano wa kuigwa?🤣🤣🤣
Katibu wazazi alitukana wazazi wetu na kuwatisha na kutaka wakae kimya wasitupe mafunzo MEMA na busara za kuyaendea mambo! Leo huyo anachaguliwa kuongoza wazazi🤣🤣🤣🤣
Huyo katibu mkuu amewahi kusimamia Nini hasa wakati Dar ilimshinda na Mwanza kaizorotesha!!
Aliposimanishwa alishindwa hata kujiajiri akaishia kujing'ang'aniza apewe kula (cheo).
Nasibu bara kakaa Arusha kashi dwa hata kujenga stendi,hakuna ubunifu wowote zaidi ya kazi as usual!!
Sioni atayekemea rushwa na kuvunja makundi pale msambaratiko utakapoletwa na kura za maoni ndani ya chama. Kuna watu wana karama akiongea anasikizwa sasa kwenye woote sioni ambaye alisimama akaongea naweza tingisha kichwa juu-chini labda nitikise kushoto-kulia
 
To be honest wewe mwandishi UNAWAGWAYA hawa walioteuliwa. Hawa watu wangekuwa wepesi basi usingewafungulia thread hapa JF.

Kwa vile wewe ni CHADEMA kindakindaki basi huu unaouona ni UDHAIFU wa CCM ungekuwa ndiyo mtaji wenu na ungepiga KIMYA. Kwenye Vita kama adui ana solaha DHAIFU huwezi kumshtua kuwa silaha yako ni dhaifu. Instead utamuacha ache nayo FRONT ili umpige KIRAHISI
 
Kama hujaelewa huu uzi uliojaa ukweli basi tutakupigia Ishara ya msalaba
 
Kama hujaelewa huu uzi uliojaa ukweli basi tutakupigia Ishara ya msalaba
Mimi Mkatoliki napiga ishara ya msalaba mara 5 kwa siku; nikiamka na kulala plus nikipata milo 3 kwa siku. What are you insinuating??
 
Labda ni kwasababu upinzani nao umedorora
Ukishazulumiwa Ushindi na Tume ya Uchafuzi wa CCM unakata tamaa.

Mpira mnacheza unafunga Magoli kadhaa mpira ukiisha refarii anatangaza kuwa yale magoli yako yote uliyofunga kapewa timu ya mwenzako ndio hivyo.

Kungekuwa na Demokrasia ya kweli Nchi hii watu wangevutiwa na siasa kama vile Simba/Yanga.
 
Mtu makini kabisa na mwenye hofu ya Mungu hawezi kuitumikia CCM.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…