Uchaguzi 2020 Hakika Chama Cha Mapinduzi kipo mioyoni mwa watu

Wewe mwenyewe umewacha lini kuvuta bange? Hongera sana maana leo naona umefanikiwa kucheza ngoma ya gobogobo pale dodoma kumfurahisha mwenyekiti wako.
Mkutano gani uliovurugwa,mnaandaa wavuta banghi mnasema mkutano umevurugwa!
 
Wewe mwenyewe umewacha lini kuvuta bange? Hongera sana maana leo naona umefanikiwa kucheza ngoma ya gobogobo pale dodoma kumfurahisha mwenyekiti wako.
Mnadhihirisha hukutaka kukosa kila kilichojiri!
 
Tuliza mzuka wewe taga
Punguzeni kufuatilia mambo ya sisiemu, yaani updates jana na leo za mikutano ya sisiemu tulikuw tunapata toka bavicha ma mpaka sasa bado mnatupatia zaidi hata ya polepole aliyepaswa kufanya hii kazi
 

Hata madictator kama kina Hitler, Mussolini, Iddy Amin nk walikuwa wanazungumziwa sana. Kisia ilikuwa wanazungumziwa nini.
 
Pipa na funiko mnapongezana
Chadema wakati janga la corona limeshika kasi walikua wananunua majeneza halafu usiku wanaenda makaburini kupiga picha kuwa kuna watu wengi sana wanakufa,wanazikwa usiku kwa kificho
 
Mtulie sasa zamu ya wenzenu Sasa mlivyo waoga hata bendera mnaogoa sijui mtafanyaje lkn ndio hivyo hatutaki bunduki
 
Hata madictator kama kina Hitler, Mussolini, Iddy Amin nk walikuwa wanazungumziwa sana. Kisia ilikuwa wanazungumziwa nini.
Ndio dunia ilivyo unafikiri kwani hampendi mambo mazuri ndio hivyo mmeamua kupenda visivyokubalika!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…