Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Kwa sasa wamefikia hatua ya kukimbia kivuli chao
Sasa kama CCM ipo kwenye mioyo ya watu kwanini mnawatuma polisi wavuruge vikao vya ndani yavyama vya upinzani??
Mnaogopa nini hasa??