Uchaguzi 2020 Hakika Chama Cha Mapinduzi kipo mioyoni mwa watu

Vipi usultani wa kiarabu kule zenji yaani viti mnapeana utadhani hakuna mzenji mwingine anayeweza kuongoza!
Sultan yupo maana yule naona kaamua kung'oa kipengele cha ukomo!
 
Kweli ulanzi co chai,kanyoe hcho kipara cha zaman
 
Mods.. kwann mnaacha utumbo Kama huu kujaza server??
 
Wewe ulijihesabu na nani!!
Mwenye Akili anajihesabu !!
Mwenye Akili anaweza ongozwa na ZERO DJ!!
WW unaakili wapi uliona Akili ndogo kuongoza Akili kubwa!!
Jitambue kibendera Fuata upepo
Eti ZERO DJ! unataka kumaanisha nani? Au ni Mbowe kama mnavyo muita?
Ndio, Mbowe ni kiongozi wa Chadema na ni kiongozi bora kabisa kuliko kiongozi wa CCM na hilo wenye akili ndani ya CCM wanalijua.
Weka akili yako sawa na jiulize, hivi Chadema ingekuwa madarakani halafu anayofanyiwa Mbowe Leo angekuwa kafanyiwa mwenyekiti wa CCM ingekuwaje? Ukipata jibu uje hapa na kutueleza utofauti ulio uona wa Mbowe na huyo wenu.
 
Uchaguzi wa CCM hata haukuwa na maana!
Ukitaka uelewa vizuri, nenda mitaani usikie kinachosemwa
na watu hasa Wana-CCM wenyewe
 
Eti kachaguliwa kwa 100%[emoji23][emoji23][emoji23]
Uchaguzi wa CCM hata haukuwa na maana!
Ukitaka uelewa vizuri, nenda mitaani usikie kinachosemwa
na watu hasa Wana-CCM wenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…