kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
- Thread starter
- #121
Kumbe hata wewe pia umefuatilia!Uchaguzi wa CCM hata haukuwa na maana!
Ukitaka uelewa vizuri, nenda mitaani usikie kinachosemwa
na watu hasa Wana-CCM wenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe hata wewe pia umefuatilia!Uchaguzi wa CCM hata haukuwa na maana!
Ukitaka uelewa vizuri, nenda mitaani usikie kinachosemwa
na watu hasa Wana-CCM wenyewe
Mkiambiwa msivute banghi kwa kupokezana mnabisha!Kweli ulanzi co chai,kanyoe hcho kipara cha zaman
Walipokutana kujuliana hali wodini mirembe!
Mimi nadhani chama hicho kipo kwenye vyoo vya watu au matank ya maji taka na sio mioyoni
MaajabuSasa kama CCM ipo kwenye mioyo ya watu kwanini mnawatuma polisi wavuruge vikao vya ndani yavyama vya upinzani??
Mnaogopa nini hasa??
Mkiambiwa msivute banghi kwa kupokezana mnabisha!
Naunga mkono hoja.Huwezi amini nimepita kwenye media zote, kwenye mitandao ya kijamii.
Kila account ya MwanaCHADEMA wameweka matatizo yao pembeni wanazungumzia CCM chama dume.
Kufuatia mkutano wao mkuu ulioandaliwa mahususi na ufanisi mkubwa kumpata mpeperushaji wa bendera ya Uraisi Jamhuri ya Muungano na visiwani Zanzibar
Hii inadhihirisha ukongwe wa chama hiki na nini kinafanya ili waige yale yote
Kweli CCM itabaki juu daima
Hapo ndipo uwezo wako wa kujibu hoja huwa unaonekana hovyo. Nchi ya kidikteta hutwaliwa kwa amri za rais. Hapa Tanzania rais anatawala kwa mujibu wa katiba na sheria. Kama hii nchi ingekuwa ya kidiketa usingekuwa unatoa maoni yako wewe tindo aka minyooHata madictator kama kina Hitler, Mussolini, Iddy Amin nk walikuwa wanazungumziwa sana. Kisia ilikuwa wanazungumziwa nini.
Mkuu umepitia National service na chuo cha chama Kivukoni?Kama huna si bora kuzungumza.Huwezi amini nimepita kwenye media zote, kwenye mitandao ya kijamii.
Kila account ya MwanaCHADEMA wameweka matatizo yao pembeni wanazungumzia CCM chama dume.
Kufuatia mkutano wao mkuu ulioandaliwa mahususi na ufanisi mkubwa kumpata mpeperushaji wa bendera ya Uraisi Jamhuri ya Muungano na visiwani Zanzibar
Hii inadhihirisha ukongwe wa chama hiki na nini kinafanya ili waige yale yote
Kweli CCM itabaki juu daima
Jf ni platform rasmi usitake kuruka viunzi. Ndio maana mambo mengi yanayowekwa humu serikali inayafuatilia.Magufuli hana sifa ya kutawala kwa kuzingatia katiba, na hatakaa ajali katiba. Maoni natolea huku uchochoroni na sio kwenye platform rasmi. Zile platform rasmi za kutolea maoni zilioondoka na JK, maana alikuwa anajali demokrasia na katiba kwa kiwango fulani.
Jf ni platform rasmi usitake kuruka viunzi. Ndio maana mambo mengi yanayowekwa humu serikali inayafuatilia.
Unachanganya mambo. Matumizi sahihi ya mitandao ndio jambo la msingi. Ndio maana hata bil 8 mlizotafuna ziliibuluwa humuhumu Jf. Kwa hiyo serikali inataka wananchi watumie mitandao vyema.Serekali inafuatilia kama wajibu wao, na wala sio kwamba inakubaliana sana na hii mitandao. Tatizo ni kwamba wanajua hata wakifunga mtandao kama huu, bado technology inaturuhusu kukutana pengine na tukaendelea kutoa maoni yetu. Uhuru uliopo humu ni kwakuwa serikali haina uwezo wa kuidhibiti, vinginevyo ingeifunga.
Duh...bado ndoto za mchana unazo mkuu?Subirini nguvu ya umma itakavyowaonesha mwaka huu. Pamoja na dola yenu nawaambia mtapoteana
Mwamba aka Makengeza safari hii amepatikana kwa kweliLabda kipo moyoni mwako wewe taga
Huwezi amini nimepita kwenye media zote, kwenye mitandao ya kijamii.
Kila account ya MwanaCHADEMA wameweka matatizo yao pembeni wanazungumzia CCM chama dume.
Kufuatia mkutano wao mkuu ulioandaliwa mahususi na ufanisi mkubwa kumpata mpeperushaji wa bendera ya Uraisi Jamhuri ya Muungano na visiwani Zanzibar
Hii inadhihirisha ukongwe wa chama hiki na nini kinafanya ili waige yale yote
Kweli CCM itabaki juu daima
Mwamba aka Makengeza safari hii amepatikana kwa kweli
Duh...bado ndoto za mchana unazo mkuu?