Uchaguzi 2020 Hakika Chama Cha Mapinduzi kipo mioyoni mwa watu

Uchaguzi 2020 Hakika Chama Cha Mapinduzi kipo mioyoni mwa watu

kipara kipya

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2016
Posts
18,833
Reaction score
23,276
Huwezi amini nimepita kwenye media zote, kwenye mitandao ya kijamii.

Kila account ya MwanaCHADEMA wameweka matatizo yao pembeni wanazungumzia CCM chama dume.

Kufuatia mkutano wao mkuu ulioandaliwa mahususi na ufanisi mkubwa kumpata mpeperushaji wa bendera ya Uraisi Jamhuri ya Muungano na visiwani Zanzibar

Hii inadhihirisha ukongwe wa chama hiki na nini kinafanya ili waige yale yote
Kweli CCM itabaki juu daima
 
Huwezi amini nimepita kwenye media zote, kwenye mitandao ya kijamii.

Kila account ya MwanaCHADEMA wameweka matatizo yao pembeni wanazungumzia CCM chama dume.

Kufuatia mkutano wao mkuu ulioandaliwa mahususi na ufanisi mkubwa kumpata mpeperushaji wa bendera ya Uraisi Jamhuri ya Muungano na visiwani Zanzibar

Hii inadhihirisha ukongwe wa chama hiki na nini kinafanya ili waige yale yote
Kweli CCM itabaki juu daima
Ccm ni chama dola , lazima tuijadili.
 
Sasa kama CCM ipo kwenye mioyo ya watu kwanini mnawatuma polisi wavuruge vikao vya ndani yavyama vya upinzani??

Mnaogopa nini hasa??
Punguzeni kufuatilia mambo ya sisiemu, yaani updates jana na leo za mikutano ya sisiemu tulikuw tunapata toka bavicha ma mpaka sasa bado mnatupatia zaidi hata ya polepole aliyepaswa kufanya hii kazi
 
Wahuni wa ufipa hao kwani nani hakumbuki matukio yenu ya kutengeneza mlizika mbwa bila aibu kutaka kuhalalisha upuuzi tu!
Chadema wakati janga la corona limeshika kasi walikua wananunua majeneza halafu usiku wanaenda makaburini kupiga picha kuwa kuna watu wengi sana wanakufa,wanazikwa usiku kwa kificho
 
Punguzeni kufuatilia mambo ya sisiemu, yaani updates jana na leo za mikutano ya sisiemu tulikuw tunapata toka bavicha ma mpaka sasa bado mnatupatia zaidi hata ya polepole aliyepaswa kufanya hii kazi
Dhwahiri shairi!
 
Huwezi amini nimepita kwenye media zote, kwenye mitandao ya kijamii.

Kila account ya MwanaCHADEMA wameweka matatizo yao pembeni wanazungumzia CCM chama dume.

Kufuatia mkutano wao mkuu ulioandaliwa mahususi na ufanisi mkubwa kumpata mpeperushaji wa bendera ya Uraisi Jamhuri ya Muungano na visiwani Zanzibar

Hii inadhihirisha ukongwe wa chama hiki na nini kinafanya ili waige yale yote
Kweli CCM itabaki juu daima
Labda kipo moyoni mwako wewe taga
 
Back
Top Bottom