Uchaguzi 2020 Hakika Dkt. Magufuli haamini macho yake. Alifikiri A, imekuwa B!

Kwaiyo Lissu ndio atakununulia Nguo?
Jitume tafuta pesa kwa Akili na jasho lako, Watu wananunua ndinga mpya kila siku wewe unafikiria Lissu atakupa nafuu ya Maisha.
Miradi yote mikubwa anayofanya magu hela anapeleka kwa mabeberu na mzunguko wa pesa ndani ya inchi unakuwa mdogo. Ndege tatu tu ni sawa na angejenga hospitali kumi ktk mikoa tofauti ambayo ingeajiri watu wengi na hela ingezunguka na kodi ingekusanywa zaidi
 
Kwaiyo Lissu ndio atakununulia Nguo?
Jitume tafuta pesa kwa Akili na jasho lako, Watu wananunua ndinga mpya kila siku wewe unafikiria Lissu atakupa nafuu ya Maisha.
Atanipa nafuu ya maisha kwa kuimarisha uchumi(kwa kuimariaha sekta binafsi, kuongeza mshahara) ili na sisi wauza karanga na ubuyu na mitumba tuuze sana
 
Me mwenyewe kura yangu kwa Lissu....haiwezekani miaka mitano yote hii sijawahi kununua nguo dukani hata jeans moja tu.maisha magumu watoto wa wenye wanasoma tu na hakuna ajira
Matikiti maji yanauzwa 2000 kwa moja nenda kalime kama hutopata hela,wewe unabeti alafu utegemee kupata hela.
 
Jipange ukapige Kura kukamilisha idadi ya Kura Laki sita za Lisu dhidi ya zaidi ya m.20 za JPm,

Mwaka huu sijui mtaweka wapi Sura zenu
 
Ushamba na ulimbukeni akili amna ni kutumia mababu tuu
 
Mzee Tupatupa . Huyu kama si kubebwa na kitengo. Mbona chali muda mrefu tu
 
Me mwenyewe kura yangu kwa Lissu....haiwezekani miaka mitano yote hii sijawahi kununua nguo dukani hata jeans moja tu.maisha magumu watoto wa wenye wanasoma tu na hakuna ajira
Nimeona mgombea wenu bagamoyo anaongea alafu watu wanamcheki tu kisha wanasema hiiii, akiondoka wanafuta miguu vumbi🤣🤣🤣🤣
 
No one is perfect ila JPM for presidency. Subirini 2025.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…