Kenya 2022 Hakika hakuna cha kujifunza kutoka katika Uchaguzi Mkuu wa Kenya

Kenya 2022 General Election
Usishindane na dola yoyote kwenye masuala ya uchaguzi, matokeo yake huwa yanajulikana ukifanya nao ushindani wa aina yoyote ile. Watakachokuambia kazi yako ni kutii tu bila shuruti.
 
Kenya wote wezi
 
Ukiwa na akili timamu, mkweli wa nafsi na asiye na unafiki, utakiri kikamilifu, bila shaka kuwa uchaguzi wa Kenya ni mfano mzuri wa pekee kwa Afrika nzima, na Asia (ukiondoa Japan, Singapore na Malaysia).
Uwongo mtupu, mbona mpaka sasa hawajatangaza matokeo? Kenya kuna ushindani wa ki kabila,na sio uchaguzi. Hakuna la kujifunza Kenya.
 
Hayo ni mapungufu kidogo sana tofauti na Tanzania ambapo mapungufu ni mengi sana
We huna akili, yaani kwenye kituo watu wamejuandisha 100,alafu Kura ziwe 1700 kwenye kituo hicho hicho,alafu useme hayo ni mapungufu madogo?!
 
Hayo uliyoyataja ni mapungufu madogo kutokana na watu ambao sio waadilifu na hao kokote wanakuwepo,Bali IEBC inachelewa kutangaza matokeo kwakua inapitia na kujiridhisha Kila hatu na kura zote kwa usahihi na uwazi ili Kila upande mwisho wa siku uridhike.Laiti Kama ingekua ni bongo rais mteule kashajulikana kwakua tume Haina muda wa kujiridhisha kwamba mweny kura nyingi kazipataje pataje ni vurumai tu.
IEBC Ina vission na mission tofauti na NEC yetu ambayo haijui hata inatekeleza Nini na kusimamia Nini yapelekwa na serikali nawala hakuna Cha kuifanya kwakua yalindwa na serikali.
 
Mmmmh yaani upuuzi wa Tanzania ya ccm,unasema unafanana na Uchaguzi wa Kenya!?inawezekana Uchaguzi wa Kenya usiwe Bora kwa asilimia 100,lakini huwezi kulinganisha na upuuzi mavi wa chaguzi za Tanzania,ni bongo pekee,ambapo Kuna watu wanapita bila kupingwa!!simu haziruhusiwi kwenye vyumba vya kuhesabia kura,mgombea anapata kura nyingi kuliko idadi ya wapiga kura!!ilitokea chato hii,kwa shetani Jiwe.
Kenya kuna wagombea binafsi,bongo hakuna,tume ya Kenya haichaguliwi na Raisi,hii ya kwetu ni kama mahouse boy wa Samia na Ikulu,Kenya matokeo ya Uraisi yanapingwa mahakamani,bongo yakishatangazwa yanakuwa msahafu.
 
Kujifunza inatakiwa uangalie na utathmini yote mazuri na mabaya na kuyafanyia kazi. Uchaguzi wa Tz 2019/2020 ulikuwa mavi ya kuku (kwa sauti ya kibaki-rip). Hatukuwa na uchaguzi bali uchafuzi.
 
Kweli kabisa hata hapa tz wapo wanao kimbia madeni na kwenda nje ya nchi na wengine hufanya uhuni kibao mitaani wakiajibishwa na jamii utasikia sababu za kisiasa tu ndio zilizowaponza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…