simbamzeewamwakidila
JF-Expert Member
- May 4, 2013
- 1,447
- 378
Habarini Wadau,
Kwa mshabiki nguli yeyote wa soka (Die hard fan) wa Juventus namkaribisha tu bet.
Mimi ninaweka nyumba yangu kubwa mezani na yeye aweke elfu 50 tu.
Hivi vibibi vya Turin ndio vimeishia kuipiga Lazio...ila kwa Madrid wanaenda kufunzwa adabu hao watoto.
Anybody to bet ? [emoji12]
bora yule wa nyumba. [emoji2] [emoji2] [emoji2]Naweka mzigo kwa Juve, kama madrid akiifunga Juve naenda kunya pale getini Lugalo.
huyo mme wa dada ako atakubali uuze nyumba yake?!Habarini Wadau,
Kwa mshabiki nguli yeyote wa soka (Die hard fan) wa Juventus namkaribisha tu bet.
Mimi ninaweka nyumba yangu kubwa mezani na yeye aweke elfu 50 tu.
Hivi vibibi vya Turin ndio vimeishia kuipiga Lazio...ila kwa Madrid wanaenda kufunzwa adabu hao watoto.
Anybody to bet ? [emoji12]
Za zle za uridh tandare kwaNinazo nyumba
Mpira hauko kama unavyofikiri especially fainali acha kabisa lolote laweza tokeaSio kibanda mkuu, wallah naweka nyumba ya bedroom 3 za kulala, sebule kubwa, jiko na choo.
Hayo n makosa ya keyboardZazle...[emoji780]
Uridh [emoji117] Urithi
Kwanini usijifunze kwanza kuandika vizuri mkuu?
Sasa ww ndo mhindi wa kibongoNimeshaomba iwekwe kwanza pesa kisa niweke picha za nyumba
Akina [emoji117] Hanamsiangaike na lichizi hili akina nyumba wala kibanda apo alipo anakaa kwa mama ake labda atoe nyumba ya urithi mda umefika uhame katafute maisha