HAKIKA: Juventus ikimfunga Madrid UEFA naitoa nyumba yangu bure.

HAKIKA: Juventus ikimfunga Madrid UEFA naitoa nyumba yangu bure.

Madrid akimfunga juve naenda kuishi kibiti nakuwa mkuu wa tawi la juu wa ccm pale kibiti
unawezaje kufanya utani na ishu ya kibiti wakati kuna watanzania wenzako 31 wameshapoteza maisha? haikufikirishi?? WATANZANIA WENZAKO 31
 
Habarini Wadau,

Kwa mshabiki nguli yeyote wa soka (Die hard fan) wa Juventus namkaribisha tu bet.

Mimi ninaweka nyumba yangu kubwa mezani na yeye aweke elfu 50 tu.

Hivi vibibi vya Turin ndio vimeishia kuipiga Lazio...ila kwa Madrid wanaenda kufunzwa adabu hao watoto.

Anybody to bet ? [emoji12]


Nyumba ni mali ya familia bwana, wewe kacheze kamali huko sportbetting na uchezee gari yako sio nyumba!
 
weka akiba ya maneno. angalia usije ukavaa chupi kichwani.
 
Mkuu umepima ugonjwa wa moyo kwanza....maana unaweza kufa na nyumba hujakabidhi..😀😀😀😀
 
sikuizi tunaambiwa kuwa na akiba ya maneno.
 
Back
Top Bottom