Hakika Mungu akishakupangia hakuna wa kupangua! Hongera Jakaya Kikwete

Viongozi wametawala kabla na baada ya yeye, lakini ni yeye tu anaesakamwa kwa maovu, una sababu ya kujiuliza na si kumhurumia. To every cause there is a reason.
 
Mawazo yako yanapingana na mwanzilishi wa hoja. Yeye anamhurumia jinsi anavyoonekan vibaya mbele ya jamii, wewe unaona hapungukiwi lolote kw hayo.
 
Absence of Character kwa viongozi wetu bd shida
 
Vizuri, kuna thread humu leo inatembea inayohusu habari hiyo.....imeelezea % zilizofikiwa na zilizobaki na changamoto zake. Kukata mzizi wa fitina, na picha zipo ili muelezane vizuri huku ni uzushi upi sasa mtoke nao!
So Crane la tani 26 limefika wapi?
 
Pascal had the Thomases like you in mind when he came up with his wager!
Wagers are probabilistic for people who are not certain, you are basically saying you are gambling on the question of the existence of God, because you are uncertain.

Basically you are saying you do not know if God exists. If you knew God exists, you would do more than wager.

You are just proving my point that you cannot prove God exists.
 
God isn’t your fellow human being. What makes sense to Him doesn’t have to make sense to you!
God isn't my fellow human being, right. Because he does not exist, he is just a figment of imagination.

This is why you cannot prove God exists.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…