Woga tupa kulee
JF-Expert Member
- Sep 4, 2012
- 1,752
- 1,311
Tanzania ni nchi ambayo tumependelewa na Mungu. Nchi ambayo wananchi wake ni wapole na taasisi zake ikiwemo idara ya ujasusi na vyombo vya usalama ni imara mno na ambavyo haviwezi kuruhusu mtu yeyote wa mamlaka na cheo chochote achezee hatma njema ya nchi yetu.
Ukifanya hivyo, wananchi wa Tanzania huingia magotini na kushtaki kwa Mungu, na hii huweza kupelekea Mungu kukuita ili akipangie kazi nyingine!
Kongole vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.
Kongole nchi na watanzania kwa ujumla.
Mungu ibariki Tanzania.
Mungu ibariki Africa.
Ukifanya hivyo, wananchi wa Tanzania huingia magotini na kushtaki kwa Mungu, na hii huweza kupelekea Mungu kukuita ili akipangie kazi nyingine!
Kongole vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.
Kongole nchi na watanzania kwa ujumla.
Mungu ibariki Tanzania.
Mungu ibariki Africa.