Hakika Mungu yupo na Watanzania. Ogopa Sana nchi ambayo watu wake si wepesi wa kuingia mtaani

Hakika Mungu yupo na Watanzania. Ogopa Sana nchi ambayo watu wake si wepesi wa kuingia mtaani

Hamna kitu nachukia kama kuwasema MATAGA kwa mapambio yao ilihali na ninyi mnaimba mapambio Kwa Mwenyekiti kila siku pamoja na blanda kibao ambazo wamekuwa wakifanya viongozi wenu
Viongozi wetu wakina nani? Mimi sina kiongozi ninaye mlamba miguu au kumtukuza. Na si mwanachama wa chama chochote cha siasa.

Mimi nimpenda mabadiliko tu na Mtanzania anaye ichukia ccm, kwa kuitawala nchi yetu kimabavu! Huku wakiwatumia polisi kama ngao yao ya kujilinda.
 
Nimekuelewa, unamuongelea yule FEDHULI aliye garagaza Katiba, akaweka Bunge mfukoni, akaitisha Mahakama na akadhibiti vyombo vya habari.

Yule aliyeiba kura za uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa 2019 na uchaguzi Mkuu wa 2020 ili atawale milele. Watanzania walipiga magoti hatimaye Mungu akasikia hatimaye AKAFA kwa CORONA mwezi Machi 2021.

Yupi unaemzungumzia exactly..!

The special one,Mr Mjuaji wa kila kitu?Mtetezi wa wanyonge aliowadhulumu korosho zao Mtwara na kutishia kuwachapa bakora had bibi na babu zao?

Aliezuia wanyonge KUONGEZEWA mishahara na annual incriments kwa zaid ya miaka sita kwa sasa?

Yule ambae sasa hivi huko aliko anawaongoza malaika??

Yupi exactly,aliepigiwa chapuo la KUONGEZEWA muda atawale zaid na mwenyewe akakataa na kuamua kwenda zake??
 
lakini kafa siyo,mfufueni basi tuone kuwa ni kipenzi cha watu,Mungu amweke mahali panapostahili.
Wamekufa vipenzi vya Mungu(mitume) na hawajafufuka ndio iwe kwa kipenzi cha watu? kungekuwa na uwezekano wa kufufua wangemfufua.
 
Mbona hujampa kongole Mungu aliefanya kazi kubwa ambayo kwa uwezo wetu tusingeweza. Lakini yeye kamnyoosha mtu kimya kimya
 
Lissu anajua ukweli na Mie Nina amini corona ndio imempeleka sababu alikuwa mbovu. Fikiria familia moja Morogoro kaondoka Baba na mama wameacha watoto wadogo Shauri ya dharau yake halafu leo eti legacy,' legacy my foot' (kwio).
Kwio hio kwiooo
 
Yes. Umesema kweli. Vizazi na vizazi vitasoma tulikuwa na rais aliyepuuza virus vya corona, watu wakafa kwa wingi na yeye mwishoni akafa kwa hiyo hiyo corona.

International media zote zinamtambua zaidi kama “one of the most ardent skeptics of covid-19” na ndio sababu kubwa ya wao kumfuatilia na kumuandika sana.

Hasa vile vipimo vyake vya mbuzi na mapapai na pia kudai maombi na kujifukiza vimefukuza virusi (vya kishetani) Tanzania! Atakumbukwa sana.
 
Tulishaambiwa tuibadili Historia ya Nchi hii kwa kuingiza haya mambo ya Jiwe, sijui imekaaje hii? tuachane na kina Rebman, Livingstone nk
amini nawaambia kwa utawala wa huyu Mama ni mwezi tutasahau yote ya Buldozer km alivunja Kimara kwa kuwa hakupigiwa kura, na Mwanza akwaacha na kuongeza daraja la Busisi
Huyu DIKTETA baada ya kesho kufunga maombolezo tunamsahau mazima
 
Back
Top Bottom