Hakika Mungu yupo na Watanzania. Ogopa Sana nchi ambayo watu wake si wepesi wa kuingia mtaani

Hakika Mungu yupo na Watanzania. Ogopa Sana nchi ambayo watu wake si wepesi wa kuingia mtaani

Mungu alikuwa kazini tangu mwaka 2020 baada ya uchafuzi. Mimi alinisemesha ngumu kuvuka 2022! Na kweli amefanya!
 
Mungu anatupenda watz na yeyeto atakaekuja kwa mbwembwe za kutusambaratisha au kutusulubu atasambaratika yeye, walikuwepo kina sokoine na mbwembwe zao za kuwataka matajiri wawe masikini kwa kuwapora hata mali zao walizochuma kihalali tangu enzi ya mkoloni wamebaki kusomwa kwenye vitabu vya historia.Ukiwa kiongozi balance ya Mungu na ya wanadamu.
Madaraka hayamfai mtu mshamba.
 
Serikali imesemaje..........kuamini ni kuamua
 
Yes. Umesema kweli. Vizazi na vizazi vitasoma tulikuwa na rais aliyepuuza virus vya corona, watu wakafa kwa wingi na yeye mwishoni akafa kwa hiyo hiyo corona.
Lissu anajua ukweli na Mie Nina amini corona ndio imempeleka sababu alikuwa mbovu. Fikiria familia moja Morogoro kaondoka Baba na mama wameacha watoto wadogo Shauri ya dharau yake halafu leo eti legacy,' legacy my foot' (kwio).
 
Sasa hivi tunatumia Corona kuwaondoa madarakani viongozi wasio waadhilifu,wasiopenda kuwajibika na wale ambao ni wezi wa kura na kuwasafirisha kwenda kwa mola wao.
 
Serikali ilisemaje alipokuwa haonekani? kuamini ni kuamua.
Ndio maana Uhuru pekee ukanda huu ndio alitia timu wanzie waliogopa C 19. Yeye hakuwa na jinsi ni Sawa na mgeni aje afie kwako huwezi jikausha kwenye kuzika.
 
Sasa hivi tunatumia Corona kuwaondoa madarakani viongozi wasio waadhilifu,wasiopenda kuwajibika na wale ambao ni wezi wa kura na kuwasafirisha kwenda kwa mola wao.
Ondoeni chama.........msitu ni ule ule.......
 
Yes. Umesema kweli. Vizazi na vizazi vitasoma tulikuwa na rais aliyepuuza virus vya corona, watu wakafa kwa wingi na yeye mwishoni akafa kwa hiyo hiyo corona.
Kama ni hivyo basi corona si ugonjwa wa kutisha au tuseme tushauzoe,ndio maana pamoja na kusema kwamba corona inauwa watu kwa wingi na watu wanaona ila bado wanaweza kuendelea na mambo yao kama kawaida kama vile kwenda kujazana barabarani na viwajani bila kuhofia huo ugonjwa ili kumuaga Kiongozi wao kipenzi aka Mjeshi,ni wezi corona ni kama magonjwa mengine tu ambayo nayo yanaondoa watu wengi kitakwimu ila watu hawana hofu.
 
Watu wengi wamekufa, wengine vilema, wengine wamekua maskini kwa kua alitaka waishi kama mashetani huku akijinasibu kumtanguliza Mungu na kua atakua mkuu wa malaika mbinguni.
Mfyuuuu nani amfanye bedui malaika
Nimekuelewa, unamuongelea yule FEDHULI aliye garagaza Katiba, akaweka Bunge mfukoni, akaitisha Mahakama na akadhibiti vyombo vya habari.

Yule aliyeiba kura za uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa 2019 na uchaguzi Mkuu wa 2020 ili atawale milele. Watanzania walipiga magoti hatimaye Mungu akasikia hatimaye AKAFA kwa CORONA mwezi Machi 2021.
 
Mungu alikuwa kazini tangu mwaka 2020 baada ya uchafuzi. Mimi alinisemesha ngumu kuvuka 2022! Na kweli amefanya!
Mungu alikuwepo kabla ya ccm na mzizi wa matatizo ni ccm,Lissu mbaya wake Jiwe ila Dr Ulimboka mbaya wake yupo utawala wa ccm uliopita. Sasa Mungu anatakiwa akusemeshe kuhusu ccm maana ndio kwnye mzizi wa tatizo na sio kuishia kwenye chaguzi kusema huyu ni chaguo la Mungu baada ya uchaguzi chaguo la Mungu linapigwa chini na Ccm. Kama sio Ccm huyo Jiwe angepatikana vp unafikiri?
 
Watu wengi wamekufa, wengine vilema, wengine wamekua maskini kwa kua alitaka waishi kama mashetani huku akijinasibu kumtanguliza Mungu na kua atakua mkuu wa malaika mbinguni.
Mfyuuuu nani amfanye bedui malaika
Kufa kupo tu we huoni watu wameenda kumuaga Kiongozi wao kipenzi aka mjeshi hadi wakafa hukohuko nao kutokana na wingi wa watu?
 
Hana legacy yoyote ile ya maana aliyo iacha! Zaidi tu aliwageuza nyinyi MATAGA kuwa misukule na waimba mapambio wake.
Hamna kitu nachukia kama kuwasema MATAGA kwa mapambio yao ilihali na ninyi mnaimba mapambio Kwa Mwenyekiti kila siku pamoja na blanda kibao ambazo wamekuwa wakifanya viongozi wenu
 
Kufa kupo tu we huoni watu wameenda kumuaga Kiongozi wao kipenzi aka mjeshi hadi wakafa hukohuko nao kutokana na wingi wa watu?
lakini kafa siyo,mfufueni basi tuone kuwa ni kipenzi cha watu,Mungu amweke mahali panapostahili.
 
Back
Top Bottom