Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
kwani ni lini ulinisoma nikisema kuwa CCM ina shida? aliyekuwa na shida ni Magufuli.Tangu lini ccm imeanza kutokuwa na shida?
Kwahiyo Mungu anavumilia utawala wa Kagame huko Rwanda bado hajashindwa kuvumilia?
Kagame hafanyii propaganda kwenye dini na Mungu. Magufuli aliwatumia viongozi wa Dini kujipigia kampeni za uchaguzi, kusifia utawala wake, na aliwatisha viongozi kwa kuwapora passport na kuwatukana kupitia vibaraka wake kama akina Musiba, kukejeli viongozi wa dini wanapotoa ushauri na hata kuwaita hawana imani, yaani alijifanya kuwa kiongozi mkuu wa dini. Hii ni kufuru kubwa ambayo sidhani kama Kagame anaifanya