Hakika na waambieni wake zenu waajiriwa ni wake zetu makazini

Hakika na waambieni wake zenu waajiriwa ni wake zetu makazini

Bro,
Kabla ya kuoana wengi wanawaza hivyo, kuoa mfanyakazi msaidiane maisha.
Baada ya ndoa, utaambiwa Mshahara wa mwanamke ni wake, na hutakiwi kuufikiria!
Mimi kuna broo wangu mmoja yeye analalamimka hana hela wakati mke wake ni mfanyakazi na kila kitu analipia broo kodi, watoto shule, chakula..sasa sijui hela ya wife wake inaenda wapi.
 
Salamu ndugu zangu

Huu ukweli ni mchungu sana na unachoma kama miale ya moto ila lazima usemwe ili ujue kama mwanaume utaamua kunyoa au kufuga nywele

Ukweli hakuna mwanamke aliyeajiriwa mwenye mwanaume mmoja sahau kabisa ewe mwanaume mwenye akili timamu, hata huyo mkeo akijifanya hataki baby wa ofisini wenzake watamsukumizia na kumsumbua mpaka akubali kuwa na baby boy wake wa ofisini. Haya ndiyo tunayo yaona huku maofisini ndugu zangu

Enyi wanaume mliooa wanawake waajiriwa jueni jambo hili kwamba kwenye ndoa zenu hamko peke yenu, mwanamke wako aliye ajiriwa huku ofisini ana mume wake pia na wanapanga mpaka siku ya valentine days namna watakavyo nyanduana nakufurahia siku yao

Huyo mkeo mwajiriwa aliye kua ana kusaidia ukikwama ipo siku ukweli na kuambia atakataa kukusaidia vijisenti kidogo kumbe huyu mumewe wa kazini kwake kamwambia hela ya mwanamke haina matumizi, haitumiki na haihesabiki ndani ya ndoa ni ya kwake peke yake

Huyo mkeo ana mume wake wa ofisini anaye muomba hela na kumsimulia madudu yako unayomfanyia huko ndani ya ndoa yenu, atamuambia huyo baby wake wewe unamtesa na haumpi raha ya maisha.

Huyo mkeo mwajiriwa ana mume wake ambae siku wakienda ziara za kikazi au kwenye semina anampa utelezi huku anakung'ong'a wewe, hakika anampea yote kuliko anavyokupea wewe huko ndani ya ndoa

Hakika huyo mkeo muajiriwa ana mume wake ofisini anayemliwaza na kumpafuraha ambazo nyumbani ana sema hazipati , huku atabebwa, atakumbatiwa kwa mahaba mazito huku akinusa harufu ya manukato mazuri ya mume wake wa kazini si chini ya sekunde , watatoka breakfast na lunch time huku wameshikana mikono atakula kwa bili ya mumewe wa kazini tena sehemu za migahawa nzuri nzuri na wakimaliza watarudi ofisini huku akiwa na furaha tele wakipiga story za hapa na pale

Huyo mke wako ana mume wake ambaye huku kazini watacheza na kufanya utoto wote ikiwemo kumvuta kwenye hivi viti vya matairi boss akiondoka, kutaniana na kumshikashika mpaka aloe shwaaa

Huyo mkeo muajiriwa hakika ipo siku atachelewa kurudi nyumbani akisingizia anapiga kazi hadi overtime atasema ana extra days ila kaa ukijua yupo na mumewe wa ofisini akila maisha huku anakung'ong'a wewe mumewe wa ndoa

Huyo mkeo mbaya zaidi akiwa ofisi moja na ex-wake kaa ukijua wewe ni geresha tuu na huyo ex wake ndiye mumewe ni vile tuu analala kwako

Huyo mkeo mwajiriwa ipo siku atakuambia amechoka maisha haya ya mateso ili hali humtesi kumbe kapumbazwa na mumewe wa ofisini kwake

Hakika huyo mkeo wa ndoa atakuwekea visirani, visasi, na viugomvi ugomvi ili uingie kingi mfarakane aivunje ndoa mgawane mali aweze kwenda kuenjoy na baby wake wa kazini

Hakika huyo mkeo wako ana mume wake wakazini anaye mzuzua mpaka akuone wewe mumewe humpi uhuru na ataanza kukudai uhuru hakika.

Ndugu zangu wanaume wanawake waliumbwa kwaajili yetu na sio sisi kwaajili yao, sasa kaa ukijua huyo mkeo wa ndoa mama watoto wako muajiriwa huku kazini kwake ana mume wake wanae kula nae maisha
Acha ubibi wewe, huyo mkeo hata ukimfungia ndani kama akitaka kutiw atatiwa tu.

Mbona ww una wake wawili ati umewafungia ndani wakati kunakuchapia ila tupo kimyaa.
 
Mkeo anadamka alafajiri na mapema hataki hata kukuandalia chai , anaenda bafuni anakua huko anaoga muda mrefu, ana weweseka kwenye kioo akijaribu nguo za hapa na pale, anajipiga manukato isivyo kawaida yani hata ukitoka nae out hawi hivyo smart mwanaume unachekacheka kumbe anamvalia vizuri mume wake wa ofisini ili muda wa lunch apendeze mbele ya mume wake wa ofisini wakati wanaongozana.

Anasifiwa huko , mumewe wa kazini anambinyabinya mataco alafu ana mwambia mwambie mumeo wa ndoa una kazi kibao utachelewa kurudi kumbe anakukazia mkeo juu ya meza za ofisi.

Hakika ni ukweli mchungu sana huu taka msitake inauma sana.
😆😁😄😃😀😅🤣😂😂....Unabahati hawakujui, waume za watu wangekuua walahi!😂😂
 
Mwanamke akitaka kuchapwa atachapwa tu hata kama ni mama wa nyumbani. Don't be too negative kwq wanawke w1naofanya kazi, wapo waliotulia na wapo vichche. Kwa dunia inavyoenda itafikia mahali kila mwanamke atatafuta cha kumuingizia kipato.

Acha kuoa kama unaona utachapiwa mkeo.
 
Cha muhimu tu asikamatwe na ushaidi..ila ni kujiwekea huyu atakua analiwa secretly huko nje..ishu asikamatwe.

Alafu wanaume wasijisahau sana tuwe tunachunguza nyendo za wake maana ni wasiri mno unaweza kuta jirani next door wanakulana mwaka 2 au 3. Mwisho wa siku Mimba unaletewa unashangaa mbona huyu mtoto hafanani na mtu yoyote kwenye ukoo wangu alafu unakuta katoto tabia hata kwenye ukoo wenu hakuna..

Masela wengi wanalea watoto sio wao na nguvu nyingi wanaelekeza huko kuliko damu zao zikihangaika.
Kuifuatilia mali yako wala haipingiki na lazima aishi kwa namna unavyotdka wewe asipoweza mfungulie mlango asepe. Ukiishi kwa mrengo wa kuelewa aweza ondoka anytime na bado ukabaki na maisha yako utaishi kwa raha mnoo.
 
Mwanamke akitaka kuchapwa atachapwa tu hata kama ni mama wa nyumbani. Don't be too negative kwq wanawke w1naofanya kazi, wapo waliotulia na wapo vichche. Kwa dunia inavyoenda itafikia mahali kila mwanamke atatafuta cha kumuingizia kipato.

Acha kuoa kama unaona utachapiwa mkeo.
Kwani hujui ndege wa fananao huruka pamoja mkuu. Ipo hivi huyo mkeo mwajiriwa aliyetulia ana bwana ake hapo ofisini aliyetulia pia na anaye msaidia kazi za ofisini maana nyumbani unamchosha sana
 
Salamu ndugu zangu

Huu ukweli ni mchungu sana na unachoma kama miale ya moto ila lazima usemwe ili ujue kama mwanaume utaamua kunyoa au kufuga nywele

Ukweli hakuna mwanamke aliyeajiriwa mwenye mwanaume mmoja sahau kabisa ewe mwanaume mwenye akili timamu, hata huyo mkeo akijifanya hataki baby wa ofisini wenzake watamsukumizia na kumsumbua mpaka akubali kuwa na baby boy wake wa ofisini. Haya ndiyo tunayo yaona huku maofisini ndugu zangu

Enyi wanaume mliooa wanawake waajiriwa jueni jambo hili kwamba kwenye ndoa zenu hamko peke yenu, mwanamke wako aliye ajiriwa huku ofisini ana mume wake pia na wanapanga mpaka siku ya valentine days namna watakavyo nyanduana nakufurahia siku yao

Huyo mkeo mwajiriwa aliye kua ana kusaidia ukikwama ipo siku ukweli na kuambia atakataa kukusaidia vijisenti kidogo kumbe huyu mumewe wa kazini kwake kamwambia hela ya mwanamke haina matumizi, haitumiki na haihesabiki ndani ya ndoa ni ya kwake peke yake

Huyo mkeo ana mume wake wa ofisini anaye muomba hela na kumsimulia madudu yako unayomfanyia huko ndani ya ndoa yenu, atamuambia huyo baby wake wewe unamtesa na haumpi raha ya maisha.

Huyo mkeo mwajiriwa ana mume wake ambae siku wakienda ziara za kikazi au kwenye semina anampa utelezi huku anakung'ong'a wewe, hakika anampea yote kuliko anavyokupea wewe huko ndani ya ndoa

Hakika huyo mkeo muajiriwa ana mume wake ofisini anayemliwaza na kumpafuraha ambazo nyumbani ana sema hazipati , huku atabebwa, atakumbatiwa kwa mahaba mazito huku akinusa harufu ya manukato mazuri ya mume wake wa kazini si chini ya sekunde , watatoka breakfast na lunch time huku wameshikana mikono atakula kwa bili ya mumewe wa kazini tena sehemu za migahawa nzuri nzuri na wakimaliza watarudi ofisini huku akiwa na furaha tele wakipiga story za hapa na pale

Huyo mke wako ana mume wake ambaye huku kazini watacheza na kufanya utoto wote ikiwemo kumvuta kwenye hivi viti vya matairi boss akiondoka, kutaniana na kumshikashika mpaka aloe shwaaa

Huyo mkeo muajiriwa hakika ipo siku atachelewa kurudi nyumbani akisingizia anapiga kazi hadi overtime atasema ana extra days ila kaa ukijua yupo na mumewe wa ofisini akila maisha huku anakung'ong'a wewe mumewe wa ndoa

Huyo mkeo mbaya zaidi akiwa ofisi moja na ex-wake kaa ukijua wewe ni geresha tuu na huyo ex wake ndiye mumewe ni vile tuu analala kwako

Huyo mkeo mwajiriwa ipo siku atakuambia amechoka maisha haya ya mateso ili hali humtesi kumbe kapumbazwa na mumewe wa ofisini kwake

Hakika huyo mkeo wa ndoa atakuwekea visirani, visasi, na viugomvi ugomvi ili uingie kingi mfarakane aivunje ndoa mgawane mali aweze kwenda kuenjoy na baby wake wa kazini

Hakika huyo mkeo wako ana mume wake wakazini anaye mzuzua mpaka akuone wewe mumewe humpi uhuru na ataanza kukudai uhuru hakika.

Ndugu zangu wanaume wanawake waliumbwa kwaajili yetu na sio sisi kwaajili yao, sasa kaa ukijua huyo mkeo wa ndoa mama watoto wako muajiriwa huku kazini kwake ana mume wake wanae kula nae maisha
100% sahihi..Mwanamke akowa na Nguvu ya Kakipato flani,hakika huwa ni hatari..Ndoa nyingi zilizo imara ni za Wale amabo wake zao Wameishia Darasa la 7...hao hutulia na kuheshim waume zao.ila hawa sasa ambao Wameanza kugongwa kuanzia secondary ,high school,mpka chuo hakika sio wa kuwaamini..kwanza wana Body Count kubwa sana...Utakuwa na kipi cha ziada wewe umtulize atulie kwako wewe,na wakati ana maEx Kama 20 hivi amabo wengine tayari washa tajirika..Ni jgumu sana sana kuwabania
 
chanzo cha mateso yote ya mwanaume ni ubinafsi kuamini sifa za mtu anazo yeye tu.
Mwanaume akikubari ukweli kuwa hata mwanamke ni kiumbe kamili chenye kujitegemea katika kujimiliki, kutaman na kuhitaji, basi ataamin hata katika mapenzi nao hupenda kubadirisha ladha kama wanaume!
binadam hamilikiwi mana ana utashi binafsi iwe ana mkataba na mtu au la!
Ndoa ni zao la ubinafsi wa mwanamme na utumwa wa mwanamke!
Muhim ni uwe na mtu ukiamini ni binadam na si asset,
Uwe tayari kuwa naye na tayari kuachana naye bila madhara ya kimwili au kiakili!
Na katika yote dumisha urafiki kwa kuwa rafiki kwanza.
usitake kuvuna usichopanda.
Iheshimu nafsi ya mtu na matakwa yake.
HAKUNA MTU WA MTU! zaidi ya makaratasi.
...love responsibly
{ushuhuda: nilishuhudia mtalii wa kiume ( 55 ages) akimruhusu mkewe kufanya ngono na beachboy kwa malipo maalum akimsisitiza kijana amshughulikie style zote mkewe aridhike! hadi leo sijui huyo baba ana kanuni gani ya maisha na ndoa}
 
Endeleeni kuwapeni na morning glory wake zenu kwa fujo kama mnaua nyoka, waje kazini wamechoka wana sinzia tuwasaidie kazi alafu tuwale vile vile

Mbaya zaidi mwanaume unaamka asubuhi una mkanda mkeo kisawasawa ukidae eti ni morning glory unapiga kama una ua nyoka hujali hata anaenda kazini, mkeo anakuja kazini anasinzia kachoka vibaya sana. Anasababisha foleni zisizo na mpangilio kwa wateja, watu wanalalamika basi boss anakua mkali tuu cz kazi kwa upande wa mkeo haziendi vizuri. mwamba vijana wa kujali ofisini wanamsoma mkeo ramani chapu wanamwambi naona mzee leo kakuweza anajibu tuu wala usiku sijalaa na umwa basi mabaharia wanakazia mada pale pale mkeo hanajinsi kujibu kwa aibu nyie wa kaka ni wajeuri watundu sana nimewazoea kimasihara wanamtoa kwenye reli alafu utasikia wateja wengine njoeni huku . Mkeo anasaidiwa chap chap huku amelegea kwa uchovu wa morning glory uliyompa kama una ua nyoka.

Hapo hapo mazingira yanatengenezwa chap then unasikia lunch wapi pendekeza utakula kwa bili yangu usijali. Mkeo mwajiriwa anasetiwa kimasihara sana alafu anakua analiwa na kastaff kezake kanacho mpiga tafu kazi za ofisini kipindi wewe ukimwazibu na hizo morning glory zako ukidai ni mapenzi.
 
IMG_20240201_170410.png

Mnaoa Malaya mnategemea nini?
 
Back
Top Bottom