Loading failed
JF-Expert Member
- Sep 14, 2023
- 2,603
- 7,501
- Thread starter
- #261
Punguza hasira mkuu. Kwa nini ujiumize na wakati wanawake ni wetu soteUnaweza Kurusha Ngumi Ukutani Ukiwa Mwenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Punguza hasira mkuu. Kwa nini ujiumize na wakati wanawake ni wetu soteUnaweza Kurusha Ngumi Ukutani Ukiwa Mwenyewe
Mimi sina mke na tafutaWewe mkeo ni mama wa nyumbani? Vipi kale kashamba boy kako hakamsugui? Wanawake waache wajichunge wenyewe, mama hawajiheshimu hata siyo wafanyakazi watapigwa tu!
Mimi napingana na wewe leta hicho kifungu cha sheria kinacho sema uhudumie mtoto asiye wako baada ya kupima DNAKupima DNA mtoto hapa bongo ni kama kujisumbua. Utafahamu ndio sio mtoto wako ila itakupasa utoe matumizi kwa mtoto kwa mujibu wa sheria
Yeye ndiye mjanja zaidi maana kakushikisha watoto wasio wako na bado anatoa yote huko nje akija anakupa uchafu utumie. Kapime hao wanao DNA alafu uje uvimbe hapa tena.Mke wangu anapigwa kazin mi nimezalisha nje kajua kaumia nusura kufa nani mjanja?
Acha kujifariji mkuu. Wewe jua tuu mkeo analiwa ofisini huko japo usitake kushuhudiaSio wote wako hivyo, kama ingelikua hivyo usimuliavyo sidhani kama kuna ofisi ingekua na amani.
Kizuri huliwa na wengiSalamu ndugu zangu
Huu ukweli ni mchungu sana na unachoma kama miale ya moto ila lazima usemwe ili ujue kama mwanaume utaamua kunyoa au kufuga nywele
Ukweli hakuna mwanamke aliyeajiriwa mwenye mwanaume mmoja sahau kabisa ewe mwanaume mwenye akili timamu, hata huyo mkeo akijifanya hataki baby wa ofisini wenzake watamsukumizia na kumsumbua mpaka akubali kuwa na baby boy wake wa ofisini. Haya ndiyo tunayo yaona huku maofisini ndugu zangu
Enyi wanaume mliooa wanawake waajiriwa jueni jambo hili kwamba kwenye ndoa zenu hamko peke yenu, mwanamke wako aliye ajiriwa huku ofisini ana mume wake pia na wanapanga mpaka siku ya valentine days namna watakavyo nyanduana nakufurahia siku yao
Huyo mkeo mwajiriwa aliye kua ana kusaidia ukikwama ipo siku ukweli na kuambia atakataa kukusaidia vijisenti kidogo kumbe huyu mumewe wa kazini kwake kamwambia hela ya mwanamke haina matumizi, haitumiki na haihesabiki ndani ya ndoa ni ya kwake peke yake
Huyo mkeo ana mume wake wa ofisini anaye muomba hela na kumsimulia madudu yako unayomfanyia huko ndani ya ndoa yenu, atamuambia huyo baby wake wewe unamtesa na haumpi raha ya maisha.
Huyo mkeo mwajiriwa ana mume wake ambae siku wakienda ziara za kikazi au kwenye semina anampa utelezi huku anakung'ong'a wewe, hakika anampea yote kuliko anavyokupea wewe huko ndani ya ndoa
Hakika huyo mkeo muajiriwa ana mume wake ofisini anayemliwaza na kumpafuraha ambazo nyumbani ana sema hazipati , huku atabebwa, atakumbatiwa kwa mahaba mazito huku akinusa harufu ya manukato mazuri ya mume wake wa kazini si chini ya sekunde , watatoka breakfast na lunch time huku wameshikana mikono atakula kwa bili ya mumewe wa kazini tena sehemu za migahawa nzuri nzuri na wakimaliza watarudi ofisini huku akiwa na furaha tele wakipiga story za hapa na pale
Huyo mke wako ana mume wake ambaye huku kazini watacheza na kufanya utoto wote ikiwemo kumvuta kwenye hivi viti vya matairi boss akiondoka, kutaniana na kumshikashika mpaka aloe shwaaa
Huyo mkeo muajiriwa hakika ipo siku atachelewa kurudi nyumbani akisingizia anapiga kazi hadi overtime atasema ana extra days ila kaa ukijua yupo na mumewe wa ofisini akila maisha huku anakung'ong'a wewe mumewe wa ndoa
Huyo mkeo mbaya zaidi akiwa ofisi moja na ex-wake kaa ukijua wewe ni geresha tuu na huyo ex wake ndiye mumewe ni vile tuu analala kwako
Huyo mkeo mwajiriwa ipo siku atakuambia amechoka maisha haya ya mateso ili hali humtesi kumbe kapumbazwa na mumewe wa ofisini kwake
Hakika huyo mkeo wa ndoa atakuwekea visirani, visasi, na viugomvi ugomvi ili uingie kingi mfarakane aivunje ndoa mgawane mali aweze kwenda kuenjoy na baby wake wa kazini
Hakika huyo mkeo wako ana mume wake wakazini anaye mzuzua mpaka akuone wewe mumewe humpi uhuru na ataanza kukudai uhuru hakika.
Ndugu zangu wanaume wanawake waliumbwa kwaajili yetu na sio sisi kwaajili yao, sasa kaa ukijua huyo mkeo wa ndoa mama watoto wako muajiriwa huku kazini kwake ana mume wake wanae kula nae maisha
Kuku anayeonekana mara kwa mara bandani ndiye anayevutia kwa kuchinjwa pasakaKizuri huliwa na wengi
Sio kweli mkuuSalamu ndugu zangu
Huu ukweli ni mchungu sana na unachoma kama miale ya moto ila lazima usemwe ili ujue kama mwanaume utaamua kunyoa au kufuga nywele
Ukweli hakuna mwanamke aliyeajiriwa mwenye mwanaume mmoja sahau kabisa ewe mwanaume mwenye akili timamu, hata huyo mkeo akijifanya hataki baby wa ofisini wenzake watamsukumizia na kumsumbua mpaka akubali kuwa na baby boy wake wa ofisini. Haya ndiyo tunayo yaona huku maofisini ndugu zangu
Enyi wanaume mliooa wanawake waajiriwa jueni jambo hili kwamba kwenye ndoa zenu hamko peke yenu, mwanamke wako aliye ajiriwa huku ofisini ana mume wake pia na wanapanga mpaka siku ya valentine days namna watakavyo nyanduana nakufurahia siku yao
Huyo mkeo mwajiriwa aliye kua ana kusaidia ukikwama ipo siku ukweli na kuambia atakataa kukusaidia vijisenti kidogo kumbe huyu mumewe wa kazini kwake kamwambia hela ya mwanamke haina matumizi, haitumiki na haihesabiki ndani ya ndoa ni ya kwake peke yake
Huyo mkeo ana mume wake wa ofisini anaye muomba hela na kumsimulia madudu yako unayomfanyia huko ndani ya ndoa yenu, atamuambia huyo baby wake wewe unamtesa na haumpi raha ya maisha.
Huyo mkeo mwajiriwa ana mume wake ambae siku wakienda ziara za kikazi au kwenye semina anampa utelezi huku anakung'ong'a wewe, hakika anampea yote kuliko anavyokupea wewe huko ndani ya ndoa
Hakika huyo mkeo muajiriwa ana mume wake ofisini anayemliwaza na kumpafuraha ambazo nyumbani ana sema hazipati , huku atabebwa, atakumbatiwa kwa mahaba mazito huku akinusa harufu ya manukato mazuri ya mume wake wa kazini si chini ya sekunde , watatoka breakfast na lunch time huku wameshikana mikono atakula kwa bili ya mumewe wa kazini tena sehemu za migahawa nzuri nzuri na wakimaliza watarudi ofisini huku akiwa na furaha tele wakipiga story za hapa na pale
Huyo mke wako ana mume wake ambaye huku kazini watacheza na kufanya utoto wote ikiwemo kumvuta kwenye hivi viti vya matairi boss akiondoka, kutaniana na kumshikashika mpaka aloe shwaaa
Huyo mkeo muajiriwa hakika ipo siku atachelewa kurudi nyumbani akisingizia anapiga kazi hadi overtime atasema ana extra days ila kaa ukijua yupo na mumewe wa ofisini akila maisha huku anakung'ong'a wewe mumewe wa ndoa
Huyo mkeo mbaya zaidi akiwa ofisi moja na ex-wake kaa ukijua wewe ni geresha tuu na huyo ex wake ndiye mumewe ni vile tuu analala kwako
Huyo mkeo mwajiriwa ipo siku atakuambia amechoka maisha haya ya mateso ili hali humtesi kumbe kapumbazwa na mumewe wa ofisini kwake
Hakika huyo mkeo wa ndoa atakuwekea visirani, visasi, na viugomvi ugomvi ili uingie kingi mfarakane aivunje ndoa mgawane mali aweze kwenda kuenjoy na baby wake wa kazini
Hakika huyo mkeo wako ana mume wake wakazini anaye mzuzua mpaka akuone wewe mumewe humpi uhuru na ataanza kukudai uhuru hakika.
Ndugu zangu wanaume wanawake waliumbwa kwaajili yetu na sio sisi kwaajili yao, sasa kaa ukijua huyo mkeo wa ndoa mama watoto wako muajiriwa huku kazini kwake ana mume wake wanae kula nae maisha
Tena hao ambao wakikorofishana nyumbani kupiga ni rahisi sana si anakua anatafuta faraja nje! Zile stress zinapelekea Libido kupanda kwahiyo akikutana na msela akamsoma demu vizur muda huo huo ..Nani kakwambia, umalaya hauna cha asiye na hela wala tajiri sometimes wapo wengine wana cheat sababu tu kakorofishana na mmewe na haongwi chochote.
Watu wanapenda kugeneralized vituSio kweli mkuu
Mara nyingi wanawake 98% mazingira ndo huwa yanachangia ushawishi wa kuliwa.Mkuu, umesema kugawa ni tabia ya mtu.
Nina swali, je kama ofisini mtu anataitiwa agawe ili apate posho au safari, huo ni ugawaji wa kitabia au mazingira yanamlazimu agawe ili afaidike kiuchumi?
Pia nina swali dogo la nyongeza, kama mwanamke/binti ni mzuri sana ama mweupe, au ana tako kubwa, watu wengi mno wanamfuata kwa pesa na mbinu mbalimbali na akagawa, hapo ni ugawaji wa kitabia au mazingira ya utongozwaji yamemlemea kutokana na urembo wake?
😆😁😄😃😀😅🤣 alafu wewe nyumbani umenyimwa zaidi ya wiki🥱🥱 😂Kuna Jamaa alishawahi kuleta ushuhuda humu JF kwamba kuna siku alisahau funguo yake ya mlango ikabidi aende Kazini kwa Mkewe kufuata funguo maana waligawana funguo.
Jamaa anasema ile anafika pale anamuona Mkewe anamtegea tako Mwanaume ambaye ni Mfanyakazi mwenzie alafu yule Mwanaume anapiga tako kwa mkono wake, hii ni changamoto sana kwenye ndoa zetu.
Cha muhimu tu asikamatwe na ushaidi..ila ni kujiwekea huyu atakua analiwa secretly huko nje..ishu asikamatwe.Iko hivi
Kama unaishi na mwanamke, usijipe uhakika wa asilimia hata 50 kwamba huyo ni wako tu. Dunia hii hakuna mwanamke wa kujipa uhakika kuwa haliwi nje na wewe. Ukilifahamu na ukaliishi hili utaishi kwa raha mno
Wanaume tukikomaa kupima DNA kila mtoto anaeletwa na mwanamke hawa viumbe watakua waangalifu sana wakienda kuliwa.Cha muhimu tu asikamatwe na ushaidi..ila ni kujiwekea huyu atakua analiwa secretly huko nje..ishu asikamatwe.
Alafu wanaume wasijisahau sana tuwe tunachunguza nyendo za wake maana ni wasiri mno unaweza kuta jirani next door wanakulana mwaka 2 au 3. Mwisho wa siku Mimba unaletewa unashangaa mbona huyu mtoto hafanani na mtu yoyote kwenye ukoo wangu alafu unakuta katoto tabia hata kwenye ukoo wenu hakuna..
Masela wengi wanalea watoto sio wao na nguvu nyingi wanaelekeza huko kuliko damu zao zikihangaika.
Kabisa! Mbaya sana kubambikiwa mtoto utakuja leta conflicts utajuta kwenye maisha..unakuta demu anakula huku na huku wakiwa wanawasiliana kwa siri sana na huyo bwana wake. Hata kurogwa unaweza rogwa na kufanywa zuzu.Wanaume tukikomaa kupima DNA kila mtoto anaeletwa na mwanamke hawa viumbe watakua waangalifu sana wakienda kuliwa.
Mwanamke akifanikiwa kukukamatisha toto ambalo siyo lako kakudharau sana na anakuona mwanaume bwege vibaya mno
Na sisi Bodaboda umetusahau bro.Kuna wauza nyanya wanakula wake za watu kwa nyongeza ya nyanya moja tu tena masalo,kuna wauza duka nyongeza kidogo ya mafuta ya kula anakula mke wa mtu,kuna wauza mkaa nyongeza kidogo ya mkaa anajipigia mke wa mtu,bado kuna bodaboda,wauza mboga za majani nk.
Hivi vitu kumuomba Mungu upate mke anaye kupenda na mwenye hofu ya Mungu, la sivyo awe mwajiriwa au mama wa nyumbani ,kama akiwa anatamaa,hana akili wala hofu ya Mungu watamla tu.