Hakika na waambieni wake zenu waajiriwa ni wake zetu makazini

Hakika na waambieni wake zenu waajiriwa ni wake zetu makazini

Mke wangu anapigwa kazin mi nimezalisha nje kajua kaumia nusura kufa nani mjanja?
Yeye ndiye mjanja zaidi maana kakushikisha watoto wasio wako na bado anatoa yote huko nje akija anakupa uchafu utumie. Kapime hao wanao DNA alafu uje uvimbe hapa tena.

Hakuna mwanamke anaye umia hakika na kuambia. Wale wanaigizaga kuumia tuu ila siyo kama tunavyojua wameumia nasema hivi kwa sababu waliniambia wenyewe lazima waigize ili tuwaonee huruma
 
Salamu ndugu zangu

Huu ukweli ni mchungu sana na unachoma kama miale ya moto ila lazima usemwe ili ujue kama mwanaume utaamua kunyoa au kufuga nywele

Ukweli hakuna mwanamke aliyeajiriwa mwenye mwanaume mmoja sahau kabisa ewe mwanaume mwenye akili timamu, hata huyo mkeo akijifanya hataki baby wa ofisini wenzake watamsukumizia na kumsumbua mpaka akubali kuwa na baby boy wake wa ofisini. Haya ndiyo tunayo yaona huku maofisini ndugu zangu

Enyi wanaume mliooa wanawake waajiriwa jueni jambo hili kwamba kwenye ndoa zenu hamko peke yenu, mwanamke wako aliye ajiriwa huku ofisini ana mume wake pia na wanapanga mpaka siku ya valentine days namna watakavyo nyanduana nakufurahia siku yao

Huyo mkeo mwajiriwa aliye kua ana kusaidia ukikwama ipo siku ukweli na kuambia atakataa kukusaidia vijisenti kidogo kumbe huyu mumewe wa kazini kwake kamwambia hela ya mwanamke haina matumizi, haitumiki na haihesabiki ndani ya ndoa ni ya kwake peke yake

Huyo mkeo ana mume wake wa ofisini anaye muomba hela na kumsimulia madudu yako unayomfanyia huko ndani ya ndoa yenu, atamuambia huyo baby wake wewe unamtesa na haumpi raha ya maisha.

Huyo mkeo mwajiriwa ana mume wake ambae siku wakienda ziara za kikazi au kwenye semina anampa utelezi huku anakung'ong'a wewe, hakika anampea yote kuliko anavyokupea wewe huko ndani ya ndoa

Hakika huyo mkeo muajiriwa ana mume wake ofisini anayemliwaza na kumpafuraha ambazo nyumbani ana sema hazipati , huku atabebwa, atakumbatiwa kwa mahaba mazito huku akinusa harufu ya manukato mazuri ya mume wake wa kazini si chini ya sekunde , watatoka breakfast na lunch time huku wameshikana mikono atakula kwa bili ya mumewe wa kazini tena sehemu za migahawa nzuri nzuri na wakimaliza watarudi ofisini huku akiwa na furaha tele wakipiga story za hapa na pale

Huyo mke wako ana mume wake ambaye huku kazini watacheza na kufanya utoto wote ikiwemo kumvuta kwenye hivi viti vya matairi boss akiondoka, kutaniana na kumshikashika mpaka aloe shwaaa

Huyo mkeo muajiriwa hakika ipo siku atachelewa kurudi nyumbani akisingizia anapiga kazi hadi overtime atasema ana extra days ila kaa ukijua yupo na mumewe wa ofisini akila maisha huku anakung'ong'a wewe mumewe wa ndoa

Huyo mkeo mbaya zaidi akiwa ofisi moja na ex-wake kaa ukijua wewe ni geresha tuu na huyo ex wake ndiye mumewe ni vile tuu analala kwako

Huyo mkeo mwajiriwa ipo siku atakuambia amechoka maisha haya ya mateso ili hali humtesi kumbe kapumbazwa na mumewe wa ofisini kwake

Hakika huyo mkeo wa ndoa atakuwekea visirani, visasi, na viugomvi ugomvi ili uingie kingi mfarakane aivunje ndoa mgawane mali aweze kwenda kuenjoy na baby wake wa kazini

Hakika huyo mkeo wako ana mume wake wakazini anaye mzuzua mpaka akuone wewe mumewe humpi uhuru na ataanza kukudai uhuru hakika.

Ndugu zangu wanaume wanawake waliumbwa kwaajili yetu na sio sisi kwaajili yao, sasa kaa ukijua huyo mkeo wa ndoa mama watoto wako muajiriwa huku kazini kwake ana mume wake wanae kula nae maisha
Kizuri huliwa na wengi
 
Salamu ndugu zangu

Huu ukweli ni mchungu sana na unachoma kama miale ya moto ila lazima usemwe ili ujue kama mwanaume utaamua kunyoa au kufuga nywele

Ukweli hakuna mwanamke aliyeajiriwa mwenye mwanaume mmoja sahau kabisa ewe mwanaume mwenye akili timamu, hata huyo mkeo akijifanya hataki baby wa ofisini wenzake watamsukumizia na kumsumbua mpaka akubali kuwa na baby boy wake wa ofisini. Haya ndiyo tunayo yaona huku maofisini ndugu zangu

Enyi wanaume mliooa wanawake waajiriwa jueni jambo hili kwamba kwenye ndoa zenu hamko peke yenu, mwanamke wako aliye ajiriwa huku ofisini ana mume wake pia na wanapanga mpaka siku ya valentine days namna watakavyo nyanduana nakufurahia siku yao

Huyo mkeo mwajiriwa aliye kua ana kusaidia ukikwama ipo siku ukweli na kuambia atakataa kukusaidia vijisenti kidogo kumbe huyu mumewe wa kazini kwake kamwambia hela ya mwanamke haina matumizi, haitumiki na haihesabiki ndani ya ndoa ni ya kwake peke yake

Huyo mkeo ana mume wake wa ofisini anaye muomba hela na kumsimulia madudu yako unayomfanyia huko ndani ya ndoa yenu, atamuambia huyo baby wake wewe unamtesa na haumpi raha ya maisha.

Huyo mkeo mwajiriwa ana mume wake ambae siku wakienda ziara za kikazi au kwenye semina anampa utelezi huku anakung'ong'a wewe, hakika anampea yote kuliko anavyokupea wewe huko ndani ya ndoa

Hakika huyo mkeo muajiriwa ana mume wake ofisini anayemliwaza na kumpafuraha ambazo nyumbani ana sema hazipati , huku atabebwa, atakumbatiwa kwa mahaba mazito huku akinusa harufu ya manukato mazuri ya mume wake wa kazini si chini ya sekunde , watatoka breakfast na lunch time huku wameshikana mikono atakula kwa bili ya mumewe wa kazini tena sehemu za migahawa nzuri nzuri na wakimaliza watarudi ofisini huku akiwa na furaha tele wakipiga story za hapa na pale

Huyo mke wako ana mume wake ambaye huku kazini watacheza na kufanya utoto wote ikiwemo kumvuta kwenye hivi viti vya matairi boss akiondoka, kutaniana na kumshikashika mpaka aloe shwaaa

Huyo mkeo muajiriwa hakika ipo siku atachelewa kurudi nyumbani akisingizia anapiga kazi hadi overtime atasema ana extra days ila kaa ukijua yupo na mumewe wa ofisini akila maisha huku anakung'ong'a wewe mumewe wa ndoa

Huyo mkeo mbaya zaidi akiwa ofisi moja na ex-wake kaa ukijua wewe ni geresha tuu na huyo ex wake ndiye mumewe ni vile tuu analala kwako

Huyo mkeo mwajiriwa ipo siku atakuambia amechoka maisha haya ya mateso ili hali humtesi kumbe kapumbazwa na mumewe wa ofisini kwake

Hakika huyo mkeo wa ndoa atakuwekea visirani, visasi, na viugomvi ugomvi ili uingie kingi mfarakane aivunje ndoa mgawane mali aweze kwenda kuenjoy na baby wake wa kazini

Hakika huyo mkeo wako ana mume wake wakazini anaye mzuzua mpaka akuone wewe mumewe humpi uhuru na ataanza kukudai uhuru hakika.

Ndugu zangu wanaume wanawake waliumbwa kwaajili yetu na sio sisi kwaajili yao, sasa kaa ukijua huyo mkeo wa ndoa mama watoto wako muajiriwa huku kazini kwake ana mume wake wanae kula nae maisha
Sio kweli mkuu
 
Nani kakwambia, umalaya hauna cha asiye na hela wala tajiri sometimes wapo wengine wana cheat sababu tu kakorofishana na mmewe na haongwi chochote.
Tena hao ambao wakikorofishana nyumbani kupiga ni rahisi sana si anakua anatafuta faraja nje! Zile stress zinapelekea Libido kupanda kwahiyo akikutana na msela akamsoma demu vizur muda huo huo ..
Hatari sana..hakuna aliye salama
 
Mkuu, umesema kugawa ni tabia ya mtu.
Nina swali, je kama ofisini mtu anataitiwa agawe ili apate posho au safari, huo ni ugawaji wa kitabia au mazingira yanamlazimu agawe ili afaidike kiuchumi?

Pia nina swali dogo la nyongeza, kama mwanamke/binti ni mzuri sana ama mweupe, au ana tako kubwa, watu wengi mno wanamfuata kwa pesa na mbinu mbalimbali na akagawa, hapo ni ugawaji wa kitabia au mazingira ya utongozwaji yamemlemea kutokana na urembo wake?
Mara nyingi wanawake 98% mazingira ndo huwa yanachangia ushawishi wa kuliwa.
Ona sasa hapa mfano; labda kateuliwa Mke wa mtu na msela au mme wa mtu kwenda kwenye vikao mkoani wapo wawili tu na kule watakaa 3 au 4, kwanza watafikia hotel au lodge moja asipoliwa navua watu uanachama.

Haya mfano mwingine; umeenda kupanga nyumba mpo wapangaji 4 au 3 wewe pekee ndo una Mke ndugu asipoliwa mke wako ukiwa kazini au umesafiri sijui.Tena msela anapikiwa na chakula kabisa anambiwa asipike..dadeeki...
98% wake za watu au mademu wanaliwa na ushawishi wa kimazingira.
 
Kuna Jamaa alishawahi kuleta ushuhuda humu JF kwamba kuna siku alisahau funguo yake ya mlango ikabidi aende Kazini kwa Mkewe kufuata funguo maana waligawana funguo.

Jamaa anasema ile anafika pale anamuona Mkewe anamtegea tako Mwanaume ambaye ni Mfanyakazi mwenzie alafu yule Mwanaume anapiga tako kwa mkono wake, hii ni changamoto sana kwenye ndoa zetu.
😆😁😄😃😀😅🤣 alafu wewe nyumbani umenyimwa zaidi ya wiki🥱🥱 😂
 
Msitress mkeo alafu aende kazini.

Wajuba wanamsoma mkeo mood yake tokea ameingia alafu wakiona ana stress basi wanampetipeti na kumtaniatania , alafu kuna wale washenzi wanabonyeza huku kwa kiuno wake za watu kuwakera tuu, mkeoa anapigwa stata achangamke utasikia akisema wewe kaka ni heshimu ila jamaa ndo kwanza kajifyatua akili masihara mengi. muda wa lunch njemba analipia bili , anamchangamsha mkeo mpaka asahau vurugu la nyumbani alafu wanashikana mikono huku mwamba anaurusha rusha kimadaha wakirudi zao ofisini kumalizia kazi. yani ana vimba nae mpaka mkeo akifika nyumbani aone mumewe ana mbana bana na kumtesa.

Mwisho wa siku ndiyo hivyo tena mwamba anajipakulia tuu mkeo mpaka basi
 
Iko hivi

Kama unaishi na mwanamke, usijipe uhakika wa asilimia hata 50 kwamba huyo ni wako tu. Dunia hii hakuna mwanamke wa kujipa uhakika kuwa haliwi nje na wewe. Ukilifahamu na ukaliishi hili utaishi kwa raha mno
Cha muhimu tu asikamatwe na ushaidi..ila ni kujiwekea huyu atakua analiwa secretly huko nje..ishu asikamatwe.

Alafu wanaume wasijisahau sana tuwe tunachunguza nyendo za wake maana ni wasiri mno unaweza kuta jirani next door wanakulana mwaka 2 au 3. Mwisho wa siku Mimba unaletewa unashangaa mbona huyu mtoto hafanani na mtu yoyote kwenye ukoo wangu alafu unakuta katoto tabia hata kwenye ukoo wenu hakuna..

Masela wengi wanalea watoto sio wao na nguvu nyingi wanaelekeza huko kuliko damu zao zikihangaika.
 
Cha muhimu tu asikamatwe na ushaidi..ila ni kujiwekea huyu atakua analiwa secretly huko nje..ishu asikamatwe.

Alafu wanaume wasijisahau sana tuwe tunachunguza nyendo za wake maana ni wasiri mno unaweza kuta jirani next door wanakulana mwaka 2 au 3. Mwisho wa siku Mimba unaletewa unashangaa mbona huyu mtoto hafanani na mtu yoyote kwenye ukoo wangu alafu unakuta katoto tabia hata kwenye ukoo wenu hakuna..

Masela wengi wanalea watoto sio wao na nguvu nyingi wanaelekeza huko kuliko damu zao zikihangaika.
Wanaume tukikomaa kupima DNA kila mtoto anaeletwa na mwanamke hawa viumbe watakua waangalifu sana wakienda kuliwa.

Mwanamke akifanikiwa kukukamatisha toto ambalo siyo lako kakudharau sana na anakuona mwanaume bwege vibaya mno
 
Wanaume tukikomaa kupima DNA kila mtoto anaeletwa na mwanamke hawa viumbe watakua waangalifu sana wakienda kuliwa.

Mwanamke akifanikiwa kukukamatisha toto ambalo siyo lako kakudharau sana na anakuona mwanaume bwege vibaya mno
Kabisa! Mbaya sana kubambikiwa mtoto utakuja leta conflicts utajuta kwenye maisha..unakuta demu anakula huku na huku wakiwa wanawasiliana kwa siri sana na huyo bwana wake. Hata kurogwa unaweza rogwa na kufanywa zuzu.

Hadi mwanamke kumzalia mtu sio jambo dogo inamaanisha hawajaanza leo hao.

Ndo maana naunga mkono hoja ya Kataa ndoa. Utaenjoy sana. Kama umezaa na mwanamke chukua mtoto wako kaa nae tena vizur akiwa ameshafikisha miaka 7 huyo anakua anajitambua la sivyo utakuta mtoto/watoto wako wana hali mbaya.wanasema akina mama wanalea lakini Wakina baba we know how to show love kwa watoto wetu.
 
Kuna wauza nyanya wanakula wake za watu kwa nyongeza ya nyanya moja tu tena masalo,kuna wauza duka nyongeza kidogo ya mafuta ya kula anakula mke wa mtu,kuna wauza mkaa nyongeza kidogo ya mkaa anajipigia mke wa mtu,bado kuna bodaboda,wauza mboga za majani nk.

Hivi vitu kumuomba Mungu upate mke anaye kupenda na mwenye hofu ya Mungu, la sivyo awe mwajiriwa au mama wa nyumbani ,kama akiwa anatamaa,hana akili wala hofu ya Mungu watamla tu.
Na sisi Bodaboda umetusahau bro.

Ogopa wife anakwambia nina bodaboda wangu.
 
Back
Top Bottom