Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Umeniita Mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cuckold aka dayuthi (mwanaume asiye na wivu kwa mkewe ana ahali zake)HII KALI KULIKO [emoji2956][emoji2956][emoji2956]
JOHN :-Habari yako bwana?
HASSAN :-Nzuri we Nani?
JOHN :-Natumaini hatufahamiani.
HASSAN :-Yes, sikufaham wewe nani nikumbushe..
JOHN :-mimi naitwa mr JOHN au baba Hellen.
HASSAN :-ndio..
JOHN :-Mke wangu ni ANNA ambae kwa sasa ndio mpenzi wako kipenziiii kwa maelezo niliyoyakuta kwenye simu yake.
HASSAN :- (kimyaa)
JOHN :-Leo nakutumia sms hii sio kwa ubaya bali kwa kukupongeza kwa kumbadilisha sana mke wangu.
HASSAN :- (*nisamehe bro, nipo Mwanza kwa Sasa)
JOHN :- Usijai Jana nilikuona unavuka barabara, umekutana na mke wangu mmepanda Bajaji sikujua mlielekea wapi. ..
HASSAN :-(kimyaa)
JOHN :-lakini usijali, kitu ambacho nakupongeza ni kwa kumbadilisha mke wangu.
kitu ambacho hata mapadre na wazazi wake walishindwa.
HASSAN :-(kimyaa)
JOHN :-kwa kweli Anna mke wangu sasa hivi kabadilika sanaaa.
Hanywi tena pombe kupitiliza kama hapo mwanzo, hafokei hovyo watoto na kuwapiga kama mwanzo, harudi nyumbani usiku tena. sasa hivi mke wangu ananipikia na kunifulia.
JOHN :-Unanisikia kaka..
HASSAN :-Ndio
JOHN :-Yaani Nimeshangaa sana. haya mambo niliyasahau muda kutoka kwa mke wangu Anna mpendwa.
HASSAN :-Umejuaje bro
JOHN :-Nimejua, tatizo lilikuwa ni mimi mwenyewe. baada tu ya kunifumania na mwanamke mwengine ndipo mke wangu alibadilika sanaa mpaka nilijuta.
HASSAN :-Aliniambia...Pole Sana
JOHN :-Ansante, yaani kila jitihada zilishindikana za kumrudisha awe kama zamani, ikawa inapotokea nashindwa kutimiza haja zake za kimwili kama zamani basi ni ugomviiii, naonekana kama nimemalizia nguvu huko nje.
HASSAN :-Kwani amebadilika nini?
JOHN :-Ndio, kwa mabadiliko ya hivi karibuni ndio kitu kimenishangaza mke wangu amekuwa na furaha kama mwanzo, amekuwa mcheshi na watoto. anapika na kufua.
HASSAN :-Mbona uwa akija kwangu anafua
JOHN :-Lakini nimegundua sababu kubwa ya mabadiliko haya ni wewe Hassan, toka akupate uwe mchepuko wake amekuwa akikuheshimu sana amekuwa akikusikiliza sanaaa.
Nimekuta sms zako nyingi ukimuuliza mke wangu Anna:
umewapikia watoto?
Mtunze mmeo mimi wa kupita tu
umempikia mme mwenzangu chakula gani
ulivyonipa jana mpe na mzee hivyo hivyo ila usimchoshe..
Anna nimenunua suti na viatu uje kesho uchukue hivyo kwa ajili ya mmeo
msalimie mheshimiwa
Anna uko wapi saa hizi muda wa kurudi mumeo, rudi kwako haraka
Nimefurahi sana kwani nae amekuwa akitii maagizo yako kuliko yangu.
Nimefurahi zaidi kwa kuwa hunywi pombe na hivyo hata yeye umemkataza kunywa pombe na ameacha kabisaaa, hata nilizo nunua mimi ili anywe ziko tu kwenye friji.
Hataki kabisa kunywa pombe kwa kuwa anakuogopa.
Wewe ni mmoja wa wanaume wachache sana ambao hutembea na mke wa mtu na bado akahitaji asiharibu ndoa yake.
Yaani wewe kutembea na mke wangu kumeimarisha sana ndoa yangu.
Hata unapomuudhi wewe huwa najua.
Maana atashinda hana raha kabisa.
Ahsante sana HASSAN.
Ila ninachokuomba mwambie na mie asinisahau sana kwenye tendo la ndoa.
HASSAN :-Sawa nitamwambia....
JOHN :-maana mkiahidiana kukutana wiki ijayo ujue wiki nzima sipewi anakutunziaa.
HASSAN :-Nimekuelewa kaka..
JOHN :-Naomba umwambie hilo.
HASSAN :-Haya..
JOHN :-Mimi ni mtu mzima nahitaji kulea wanangu kwa amani zaidi.
HASSAN :-Ni kweli.
JOHN 😛engine nguvu zangu za sasa siwezi mtimizia mahitaji yake ya kimwili.
Bora adui mmoja ninaekujua kuliko akiwa anahangaika ovyo kutafuta kukidhi haja ya mwili wake.
Usimwambie Anna kama nimekujua maana atachukia sana na anaweza nuna mwezi mzima..
HASSAN :-Siwezi kumuambia, ilo nalijua usihofu Bro..
JOHN :- SIKU NJEMA KAKA HASSAN, TUMPENDE MKE WETU.
Haya mapenzi ukiyawaza sana utakuwa chiziMimi Huwa nawaza Huwa hawachoki au mm tu ni mvivu 😃yani upigwe kazini urudi uoshe vyombo upike upigwe tena na mumeo aisee
Sasa nifanyeje mkuu[emoji1787] [emoji1787] Umeona bora ujikatie tamaa na kujifariji ili maisha yaendelee. Heko mkuu
Si unaona sasa yani mimi kulalamika kote nikajua labda wewe ni Mstaarabu huli wake za watu, na unawaheshimu kumbe na wewe ni wale wale tu sikia kijana mla vya watu na vyake huliwa, hilo kubali ukatae siku wanaume mkikubali kwamba KARMA ipo labda mtakubaliana na ukwelihao wanawake zenu waajiriwa mnaosema wanajiheshimu mkae mkijua ni wake za wanaume maofisini wa hadhi za juu yani H.O.D, kama mnabisha angalieni muda wa lunch wale majamaa wenye vyeo vikubwa wanavyo watongoza kimasihara na jumamosi wanaenda kuliwa juu ya meza za maofisini baada ya nusu siku kuisha.
Nilishawahi kufanya ofisi moja dodoma jina kampuni ilikua mitaa jirani kidogo na nyerere squire pale. Kuna mama mtu mzima anajiheshimu sana na ana vaa kwa stara mno . Yule mama ilifika kipindi nikawa na muita hadi mama japo alikua msaidizi wa incharge . incharge asipokuwepo ana kaimu
Yule mama staff walikua wanamuwaza sana yani story za kipuuzi na utani hayupo ni mstaarabu mno. Siku moja tukaambiwa mkaguzi anatinga jtatu ase. Jumamosi kama kawa tukaenda kumalizia viporo rekebisha kazi . Print document tulizokua tunapiga watu tarehe bila sababu mpaka mida ya saa tisa baadae watu wakawa wanasepa. Ila akibaki manager na huyo mama (staff) . Mimi na system administrator tukaenda gorofani deparment ya finance kufanya yetu huko wakajua tumesepa.
Alo tulikaa huko hadi saa nne usiku tukitenda dhambi japo wale walinzi walikua wanajua ndani yupo manager na huyo maza kumbe tupo wengine. Ndugu yangu tumemaliza kutenda dhambi zetu tukasema acha tukaweke mambo sawa ofisi no 15 kile chumba kilikua hakina cctv camera , ase tuliyo shuhudia ofisi no 15 kutoka kwa manager na huyo mama mwenye heshima zake ilikua ni aibu tupu. Jamaa alitusihi sana tukae kimnya akatuambia anajua michezo yetu tukamjibu hatuna shida. Yule mama alishindwa kabisa kututizama machoni cz kuhusu uharibifu hasa hasa wa watoto wa field na intern na wake za watu tulikua ni sisi na alikua anatusema sana vibaya .
Alijikaza mno baadae kwa aya ya uso akachukua ruhusa ya siku kadhaa na alipo rudi akaamua kututongoza na sisi kila mtu na muda wake tumle ili ajisikie amani.
Kweli hatuku kwepesha tulikuja kumla pale pale ofisini nakumbuka mimi nilimlia chooni kainama napiga machine mwezangu ananiadisia alimlia mle mle no 15. Na mpaka sasa nikienda dom nikitaka mzigo napewa na nikilia kishida kidogo napewa hela na huyo mama mke wa mtu.
Miezi kadhaa manager alikuja mfanyia mpango systeam administrator akaamishiwa alipokua anaomba kuamishiwa aende huko kwa mkewe japo mwazoni walikua wanamzungusha sana ila alimsaidia sana baadae baada ya kuwafuma.
Nb: kuna muda huyo mama anajutia sana kuliwa na sisi kumla ila anasema ni vishawishi tuu na yule alikua ni mkubwa wake alishindwa kabisa kukataa maana analinda ugali mumewe haeleweki, pia aliona kutupa kumnyandua ndiyo angeishi kwa amani pale ofisini na sisi akaamua kufanya hivyo.
Nb; sasa hao wanawake mnaosema wanajiheshimu wako wapi na wauliza. Ni kitendo cha muda tuu huyo mkeo mwajiriwa unayesema anajiheshimu na anaakili anajielewa analiwa kimasihara na member of H.O.Ds
Mpaka naondoka pale ofisini naenda ofisi nyingine manager alikua ni msela wangu kabisa na mlevi mwezangu baada ya kumfumania, mpaka baadhi ya wadada wakawa wanasema nimemloga manager mbona kawa msela sana na mimi na ni mtu mkali sana inakuaje tumezoeana ghafla
Alichukua hatua gani baada ya kutambua hilo?Hii nimeiona kwa jirani yangu,alikuwa na mke kila mara akimwambia yuko overtime mpaka saa saa 4 usiku,siku hiyo akataka tumfuatilie mkewe,mkewe alikuwa mhasibu wa kampuni fulani.Tulipofika pale kazini,tukakutana na walinzi getini,wakatuambia mbona wafanyakazi wote kwa mda mrefu,wanatoka toka saa tisa.Na taa za maofisini mote zimezimwa.
KwakweliHaya mapenzi ukiyawaza sana utakuwa chizi
Wanalia haswa machozi huko chumbani na maliwatoni ..alafu wanakuja na msemo wa kukata tamaa kitanda hakizai haramu , ukimchunguza bata huta mla mara oo akiliwa ilimradi anarudi nyumbani ataiosha na mimi na kula.U
Uko sahihi kabisa,Kama mtoa mada alivyosema ndivyo inavyokuwa .Kuna siku nikiwa Mtwara Kuna jamaa alikuja kwangu asubuhi analia,akanambia mke wake kamwambia kuama amfate akamjibu amechoka kupigiwa kelele,jamaa akaangaika sana kwa maswali mengi,mwishoni akanambia Ndo mwisho wa ndoa Yao na ilikuwa hivo kumbe alijua kinachoendelea.Nafikilli Kama Mungu asipoinusulu hali hii watoto wetu na wajukuu kwa badae hakutakuwa na taasisi ya Ndoa(kwa hizi changamoto za wanawake walio na kazi licha ya kuwa SI wote lakini asilimia kubwa wanaume wanalia)
Na sisi huku maofisini mkae mkijua tunawatendea wema wake zenu alafu wanageuka kua wake zetu tena wanakua na wivuukiongea na staff mwezake wa kike kuliko hata huko kwa mumeweMwanamke ana athirika sana na wema anaotendewa..Watoto wa mjini wanaita Chambo. Ukimjali kidogo mwanamke kihisia na kiuchumi basi lazima akulipe kwa kukuvulia chupi.
Malipo ya wema kwa mwanamke ni kukuvulia chupi yake.
Mkifika nyumbani mnajifanya visirani na kununa, makelele mengi ili tukiomba msipanue na tukikaza mnafukua makaburi.Mimi Huwa nawaza Huwa hawachoki au mm tu ni mvivu [emoji2]yani upigwe kazini urudi uoshe vyombo upike upigwe tena na mumeo aisee
Ngono maofisini imetamalaki.Salamu ndugu zangu
Huu ukweli ni mchungu sana na unachoma kama miale ya moto ila lazima usemwe ili ujue kama mwanaume utaamua kunyoa au kufuga nywele
Ukweli hakuna mwanamke aliyeajiriwa mwenye mwanaume mmoja sahau kabisa ewe mwanaume mwenye akili timamu, hata huyo mkeo akijifanya hataki baby wa ofisini wenzake watamsukumizia na kumsumbua mpaka akubali kuwa na baby boy wake wa ofisini. Haya ndiyo tunayo yaona huku maofisini ndugu zangu
Enyi wanaume mliooa wanawake waajiriwa jueni jambo hili kwamba kwenye ndoa zenu hamko peke yenu, mwanamke wako aliye ajiriwa huku ofisini ana mume wake pia na wanapanga mpaka siku ya valentine days namna watakavyo nyanduana nakufurahia siku yao
Huyo mkeo mwajiriwa aliye kua ana kusaidia ukikwama ipo siku ukweli na kuambia atakataa kukusaidia vijisenti kidogo kumbe huyu mumewe wa kazini kwake kamwambia hela ya mwanamke haina matumizi, haitumiki na haihesabiki ndani ya ndoa ni ya kwake peke yake
Huyo mkeo ana mume wake wa ofisini anaye muomba hela na kumsimulia madudu yako unayomfanyia huko ndani ya ndoa yenu, atamuambia huyo baby wake wewe unamtesa na haumpi raha ya maisha.
Huyo mkeo mwajiriwa ana mume wake ambae siku wakienda ziara za kikazi au kwenye semina anampa utelezi huku anakung'ong'a wewe, hakika anampea yote kuliko anavyokupea wewe huko ndani ya ndoa
Hakika huyo mkeo muajiriwa ana mume wake ofisini anayemliwaza na kumpafuraha ambazo nyumbani ana sema hazipati , huku atabebwa, atakumbatiwa kwa mahaba mazito huku akinusa harufu ya manukato mazuri ya mume wake wa kazini si chini ya sekunde , watatoka breakfast na lunch time huku wameshikana mikono atakula kwa bili ya mumewe wa kazini tena sehemu za migahawa nzuri nzuri na wakimaliza watarudi ofisini huku akiwa na furaha tele wakipiga story za hapa na pale
Huyo mke wako ana mume wake ambaye huku kazini watacheza na kufanya utoto wote ikiwemo kumvuta kwenye hivi viti vya matairi boss akiondoka, kutaniana na kumshikashika mpaka aloe shwaaa
Huyo mkeo muajiriwa hakika ipo siku atachelewa kurudi nyumbani akisingizia anapiga kazi hadi overtime atasema ana extra days ila kaa ukijua yupo na mumewe wa ofisini akila maisha huku anakung'ong'a wewe mumewe wa ndoa
Huyo mkeo mbaya zaidi akiwa ofisi moja na ex-wake kaa ukijua wewe ni geresha tuu na huyo ex wake ndiye mumewe ni vile tuu analala kwako
Huyo mkeo mwajiriwa ipo siku atakuambia amechoka maisha haya ya mateso ili hali humtesi kumbe kapumbazwa na mumewe wa ofisini kwake
Hakika huyo mkeo wa ndoa atakuwekea visirani, visasi, na viugomvi ugomvi ili uingie kingi mfarakane aivunje ndoa mgawane mali aweze kwenda kuenjoy na baby wake wa kazini
Hakika huyo mkeo wako ana mume wake wakazini anaye mzuzua mpaka akuone wewe mumewe humpi uhuru na ataanza kukudai uhuru hakika.
Ndugu zangu wanaume wanawake waliumbwa kwaajili yetu na sio sisi kwaajili yao, sasa kaa ukijua huyo mkeo wa ndoa mama watoto wako muajiriwa huku kazini kwake ana mume wake wanae kula nae maisha
Ipo hivi broo harakati za ofisini . Ukipewa utamu ukasusa eti kisa unaheshimu mke wa mtu hamna rangi utaacha kuona. Kwanza unaonekana mshamba alafu wataambiana .Si unaona sasa yani mimi kulalamika kote nikajua labda wewe ni Mstaarabu huli wake za watu, na unawaheshimu kumbe na wewe ni wale wale tu sikia kijana mla vya watu na vyake huliwa, hilo kubali ukatae siku wanaume mkikubali kwamba KARMA ipo labda mtakubaliana na ukweli
Maofisini ndiyo zilipo ndoa halali. Hiyo yako ni nyumbani wewe na mkeo .Ngono maofisini imetamalaki.
Wakubwa kwa wadogo.
Uadilifu ni sifuri.....usaliti, uzinzi.
Mke wangu hafanyi kazi ofisini kwenuNa sisi huku maofisini mkae mkijua tunawatendea wema wake zenu alafu wanageuka kua wake zetu tena wanakua na wivuukiongea na staff mwezake wa kike kuliko hata huko kwa mumewe
kama ni ofisini kwako na wewe ndiye boss na hutoki hapo ni mkono kwa mkono sawa.Mke wangu hafanyi kazi ofisini kwenu
Ndio maana akekama ni ofisini kwako na wewe ndiye boss na hutoki hapo ni mkono kwa mkono sawa.
Acheni uwoga na wivu jamani kweli mbususu inayovuja damu nayo yakuionea wivu jameni🤣🤣🤣🤣Mkipima ngoma kabla ya kuoana inatakiwa mpimane kila mwezi ndani ya ndoa. Kama mshahara
Ni mwendo wa kushare,Acheni uwoga na wivu jamani kweli mbususu inayovuja damu nayo yakuionea wivu jameni[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wavulana wana mind vitu vya ajabu. Mbususu haiwezi kuwa yako peke yako. Hawa wanawake wenyewe wanavyopenda de libolo kuliko ata maisha yaoNi mwendo wa kushare,
Oa tumle pamoja
Sasa kama ni hivyo basi usingehangaika na comment yangu ungeenda mojakwa moja kwa mtoa mada ambae anaonekana anaongelea upande mmoja.Huko ni kujifariji tu! Usaliti ni usaliti tu, iwe kwa muuza genge au mabosi wanapokezana.