Hakika na waambieni wake zenu waajiriwa ni wake zetu makazini

Hakika na waambieni wake zenu waajiriwa ni wake zetu makazini

Anafika nyumbani kanuna na hasira kibao, mume wa ndoa anazani labda kuna mahali kamkosea mkewe. Ana mplease na kumuomba amnyandue labda atakaa sawa . Anabaniwa mapaja eti sijisikii kumbe mke wake kaibiwa mume wake wa kazini na mfanyakazi mpya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
 
Mwanamke anakua mrahisi kwa mtu anaeshinda nae muda mwingi haijalishi pesa ipo au sura ngumu ila ukizoeana tu na mwanamke asilimia za kumla ni 90%
Kwaiyo mtoa uzi yupo sahihi mfano mimi sina mvuto kwa wanawake yani nikipita apo akuna mwanamke anaweza shtuka ila wale niliozoeana nao wote nishatafunatafuna, kwaiyo uko maofisini mabalaa lazima yawepo tu akuna namna chamsingi kumbushaneni kujilinda na maradhi tu mwanamke ukimpa time yakutosha anavua chupi tu hata kwenye utani

Sent from my motorola one macro using JamiiForums mobile app
💯Agreed
 
Nikiwa mgeni kazini nilikuwa nastaajabu, mama mmoja mfanyakazi mwenzangu akaniambia nisishangae, hayo ni mambo ya kawaida maofisini. Haya mliooa wanawake wa maofisini jueni na fahamuni hamko peke yenu kwenye penzi. Ndoa zenu ni nyumbani tu, huku maofisini ni anga zingine za mahusiano ya kimapenzi, tena msipokuwa makini mtachomekewa watoto si wenu kwa mimba kutungwa nje ya ndoa, mtaishia kujifariji kitanda hakizai haramu. Vumilieni wake zenu msitake kujua kama mnasilitiwa mtakufa mapema kwa presha, ukweli ndio huo
 
Nimebadili msimamo mkali sitaki wivu wa kimapenzi, akiliwa ofisini kwake akija home anaiosha na mimi nakula, maisha yanaendelea. Mzee mmoja alinishauri nisifuatilie kujua analiwa au haliwi cha msingi anaishi na mimi, full stop
 
U
Mwanamke anakua mrahisi kwa mtu anaeshinda nae muda mwingi haijalishi pesa ipo au sura ngumu ila ukizoeana tu na mwanamke asilimia za kumla ni 90%
Kwaiyo mtoa uzi yupo sahihi mfano mimi sina mvuto kwa wanawake yani nikipita apo akuna mwanamke anaweza shtuka ila wale niliozoeana nao wote nishatafunatafuna, kwaiyo uko maofisini mabalaa lazima yawepo tu akuna namna chamsingi kumbushaneni kujilinda na maradhi tu mwanamke ukimpa time yakutosha anavua chupi tu hata kwenye utani

Sent from my motorola one macro using JamiiForums mobile app
Uko sahihi kabisa,Kama mtoa mada alivyosema ndivyo inavyokuwa .Kuna siku nikiwa Mtwara Kuna jamaa alikuja kwangu asubuhi analia,akanambia mke wake kamwambia kuama amfate akamjibu amechoka kupigiwa kelele,jamaa akaangaika sana kwa maswali mengi,mwishoni akanambia Ndo mwisho wa ndoa Yao na ilikuwa hivo kumbe alijua kinachoendelea.Nafikilli Kama Mungu asipoinusulu hali hii watoto wetu na wajukuu kwa badae hakutakuwa na taasisi ya Ndoa(kwa hizi changamoto za wanawake walio na kazi licha ya kuwa SI wote lakini asilimia kubwa wanaume wanalia)
 
Ukimchunguza sana bata huwezi kumla. Kikubwa ni kuacha kufanyiana ujasusi ndani ya ndoa. Ukikaa kuchunguza Simu ya mweza wako jua utakutana na madudu, ukianza kumpeleleza anawasiliana na nani basi lazima utakutana na madudu....!

Kikubwa ni kuheshimiana na kuzilinda afya zenu! Mengineya sirini mwachieni Mungu.
 
Nikiwa mgeni kazini nilikuwa nastaajabu, mama mmoja mfanyakazi mwenzangu akaniambia nisishangae, hayo ni mambo ya kawaida maofisini. Haya mliooa wanawake wa maofisini jueni na fahamuni hamko peke yenu kwenye penzi. Ndoa zenu ni nyumbani tu, huku maofisini ni anga zingine za mahusiano ya kimapenzi, tena msipokuwa makini mtachomekewa watoto si wenu kwa mimba kutungwa nje ya ndoa, mtaishia kujifariji kitanda hakizai haramu. Vumilieni wake zenu msitake kujua kama mnasilitiwa mtakufa mapema kwa presha, ukweli ndio huo
NAKAZIA SANA
 
Nimebadili msimamo mkali sitaki wivu wa kimapenzi, akiliwa ofisini kwake akija home anaiosha na mimi nakula, maisha yanaendelea. Mzee mmoja alinishauri nisifuatilie kujua analiwa au haliwi cha msingi anaishi na mimi, full stop
Acha kujifariji ,huyo mzee alishakata tamaa
 
Salamu ndugu zangu

Huu ukweli ni mchungu sana na unachoma kama miale ya moto ila lazima usemwe ili ujue kama mwanaume utaamua kunyoa au kufuga nywele

Ukweli hakuna mwanamke aliyeajiriwa mwenye mwanaume mmoja sahau kabisa ewe mwanaume mwenye akili timamu, hata huyo mkeo akijifanya hataki baby wa ofisini wenzake watamsukumizia na kumsumbua mpaka akubali kuwa na baby boy wake wa ofisini. Haya ndiyo tunayo yaona huku maofisini ndugu zangu

Enyi wanaume mliooa wanawake waajiriwa jueni jambo hili kwamba kwenye ndoa zenu hamko peke yenu, mwanamke wako aliye ajiriwa huku ofisini ana mume wake pia na wanapanga mpaka siku ya valentine days namna watakavyo nyanduana nakufurahia siku yao

Huyo mkeo mwajiriwa aliye kua ana kusaidia ukikwama ipo siku ukweli na kuambia atakataa kukusaidia vijisenti kidogo kumbe huyu mumewe wa kazini kwake kamwambia hela ya mwanamke haina matumizi, haitumiki na haihesabiki ndani ya ndoa ni ya kwake peke yake

Huyo mkeo ana mume wake wa ofisini anaye muomba hela na kumsimulia madudu yako unayomfanyia huko ndani ya ndoa yenu, atamuambia huyo baby wake wewe unamtesa na haumpi raha ya maisha.

Huyo mkeo mwajiriwa ana mume wake ambae siku wakienda ziara za kikazi au kwenye semina anampa utelezi huku anakung'ong'a wewe, hakika anampea yote kuliko anavyokupea wewe huko ndani ya ndoa

Hakika huyo mkeo muajiriwa ana mume wake ofisini anayemliwaza na kumpafuraha ambazo nyumbani ana sema hazipati , huku atabebwa, atakumbatiwa kwa mahaba mazito huku akinusa harufu ya manukato mazuri ya mume wake wa kazini si chini ya sekunde , watatoka breakfast na lunch time huku wameshikana mikono atakula kwa bili ya mumewe wa kazini tena sehemu za migahawa nzuri nzuri na wakimaliza watarudi ofisini huku akiwa na furaha tele wakipiga story za hapa na pale

Huyo mke wako ana mume wake ambaye huku kazini watacheza na kufanya utoto wote ikiwemo kumvuta kwenye hivi viti vya matairi boss akiondoka, kutaniana na kumshikashika mpaka aloe shwaaa

Huyo mkeo muajiriwa hakika ipo siku atachelewa kurudi nyumbani akisingizia anapiga kazi hadi overtime atasema ana extra days ila kaa ukijua yupo na mumewe wa ofisini akila maisha huku anakung'ong'a wewe mumewe wa ndoa

Huyo mkeo mbaya zaidi akiwa ofisi moja na ex-wake kaa ukijua wewe ni geresha tuu na huyo ex wake ndiye mumewe ni vile tuu analala kwako

Huyo mkeo mwajiriwa ipo siku atakuambia amechoka maisha haya ya mateso ili hali humtesi kumbe kapumbazwa na mumewe wa ofisini kwake

Hakika huyo mkeo wa ndoa atakuwekea visirani, visasi, na viugomvi ugomvi ili uingie kingi mfarakane aivunje ndoa mgawane mali aweze kwenda kuenjoy na baby wake wa kazini

Hakika huyo mkeo wako ana mume wake wakazini anaye mzuzua mpaka akuone wewe mumewe humpi uhuru na ataanza kukudai uhuru hakika.

Ndugu zangu wanaume wanawake waliumbwa kwaajili yetu na sio sisi kwaajili yao, sasa kaa ukijua huyo mkeo wa ndoa mama watoto wako muajiriwa huku kazini kwake ana mume wake wanae kula nae maisha
Hii nimeiona kwa jirani yangu,alikuwa na mke kila mara akimwambia yuko overtime mpaka saa saa 4 usiku,siku hiyo akataka tumfuatilie mkewe,mkewe alikuwa mhasibu wa kampuni fulani.Tulipofika pale kazini,tukakutana na walinzi getini,wakatuambia mbona wafanyakazi wote kwa mda mrefu,wanatoka toka saa tisa.Na taa za maofisini mote zimezimwa.
 
Back
Top Bottom