Hakika na waambieni wake zenu waajiriwa ni wake zetu makazini

Hakuna mwanamke mwajiriwa anayejielewa endelea kudanganya uma
Kwahiyo hata Rais wetu mama Samia, hajielewi? maana naye ni mwajiliwa na ni mwanamke, achilia mbali mama zetu,dada zetu na mashangazi zetu.
Na hili bandiko lako ni kwa mujibu wa utafiti au uhayawani tu😀
 
Hizo laana, Jiandae kizazi chako kuwa cha hovyo.
 
Nlichokigundua humu kuanzia mtoa mada na wengine mnaosupport ni kwamba mmet*mbewa sana wake zenu, Yani sanaa.

Sasa hivi mna trauma ya kuliwa kwa wake zenu,

Hapa mnatafuta unafuu kisaikolojia kwa kuwafanya hata wengine nao wajihisi wanat*mbewa wake zao makazini,

( Kuna ile kauli kuwa msiba wa wengi ni harusi ndio mnachokitengeneza hapa ili kujipa unafuu )



Be gentle, kuwa rafiki kwa mke wako,
Mfanye ajihisi amani ya moyo kwa 100%,

Usiishi nae kizee,

Mtengeneze mpaka adharau wanaume wengine yani akuone wewe ni mwamba siku zote na muda wote.

Mfanye awe addicted na wewe 100% ( Ataona hata kinyaa na kichefu chefu kuvuliwa chupi na dume lingine)
Mkifanya hivyo habari za kut*mbewa mtasikia kwenye radio.


Siku akikusaliti akat*mbwa hata kama ni kwa kubakwa atajiona ni mwenye hatia kubwa sana hapa duniani na ndio siku ambayo atajipeleka akhera kwa kitanzi.
 
Jamanii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…