saleni
JF-Expert Member
- Apr 6, 2019
- 1,880
- 2,843
Watu 24 tayari wapo ndani, kwa moto Uganda wenye nyumba wanafukuza mashoga wanaogopa msala,Uganda museven KATEPETA
Zambia napo hapatoshi, Burundi kwa Moto, bado Kenya na tz,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu 24 tayari wapo ndani, kwa moto Uganda wenye nyumba wanafukuza mashoga wanaogopa msala,Uganda museven KATEPETA
Museven mwenyewe bwabwa.Watu 24 tayari wapo ndani, kwa moto Uganda wenye nyumba wanafukuza mashoga wanaogopa msala,
Kama usemayo ya kweli Ila Sasa kule kwa moto, mashoga wanahama mji.Museven mwenyewe bwabwa.
Akiwa msitunii kwenye vikosi vya mapinduzi alikuwa analiwa kijambio na Kanali Justin Muhorozi kisha akapandishwa cheo na kuwa mkuu wa kikosi.
Kijambio cha Museven kilimpaisha hadi akawa Rais.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sio kweliii...Ila Sasa kule kwa moto, mashoga wanahama mji.
Juz juz kasign sheria kwamba ukikamatwa kuwasuport machoko miaka 7 jela, sehemu yako ikijulikana machoko walibanduana jela miaka mitano na machoko wenyewe wanakwenda jela 10 years, katepeta kivipi sasa apo?Uganda museven KATEPETA
DuhMuseven mwenyewe bwabwa.
Akiwa msitunii kwenye vikosi vya mapinduzi alikuwa analiwa kijambio na Kanali Justin Muhorozi kisha akapandishwa cheo na kuwa mkuu wa kikosi.
Kijambio cha Museven kilimpaisha hadi akawa Rais.
Baadaye akaanza kuwaonea wivu mabwabwa wenzake akatunga sheria ya kuwatia nguvuni ili wasimpindue.
Nope. Ndio kwanza wanajadili kuhusu nia ya kuleta muswada bungeni.Juz juz kasign sheria kwamba ukikamatwa kuwasuport machoko miaka 7 jela, sehemu yako ikijulikana machoko walibanduana jela miaka mitano na machoko wenyewe wanakwenda jela 10 years, katepeta kivipi sasa apo?
Aisee nashindwa kuelewa kwanini machoko wananguvu ivyooNope. Ndio kwanza wanajadili kuhusu nia ya kuleta muswada bungeni.
Bado mambo yapo kinadharia tu ili kuzua taharuki na kutengeneza kiki za kisiasa.
Infact, museven hajaanza kutepeta leo. Alishatepeta toka mwaka 2014 alipojaribu kutunga sheria dhidi ya mashoga kisha akaifuta fasta baada ya kupigwa mkwara na mabeberu.
Huyu museven hajaanza leo vituko. Tunamjua anavyosinyaa na kunyong'onyea akiona madume ya mbuzi ya ulaya yamedisa.
Mwaka 2014 alipopigwa biti aliifuta sheriaa fasta fasta akatokomea shimoniii akajifukia. Leo Kaibuka tena [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Soma magazeti labda ujasoma Kama watu wapo ndani.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sio kweliii...
Hata sheria yenyewe bado haijaundwa, na sidhani kama wataiunda kwa sababu wanawaogopa mabeberu ile mbaya!
Famasiala na beberu wewe!! Ni konyo! [emoji16][emoji16][emoji847][emoji847]
Museven alishapigwa mkwara akatepeta. Anajifaragua tu apate kiki za kisiasa.
Kuwa ndani sio hoja.Soma magazeti labda ujasoma Kama watu wapo ndani.
Atakutana na mimi wapi?Ukipewa AFTATU na shoga utakataa?
Geto.Atakutana na mimi wapi?
Siku hizi wapo kila sehemu, mpaka maaskari, [emoji16]Atakutana na mimi wapi?
Hebu niambie hii hukumu iko katika kifungu ibara gani nkajisomee.Wote miaka 30, kwa mtoto maisha
Ila kama mkifunga ndoa au kuishi kindoa jinsia moja kesi yenu ni miaka 7.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahahq
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]So nikipenda ww kinakuwasha nini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] cjawahi kuwa na stress kupitia ushoga ktk maisha yangu, na haitawahi kuwaaa.Inaonekana una stress balaah ,kataa kubali unatumia jf kama sehemu yakujipozea ushoga wako
Anipishe huko na stress zake za Mapito yake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila vitu na pesa zao mnataka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanagawa vitu ovyo, hata Ela wakiwa nazo wanagawa tu ni watu wa huruma, sema tabia zao tu za ung'ese ndio ovyo.