Hakika Ruben, unachofanya sio comedy bali ni udhalilishaji kwa wanawake


nahisi naww n flat screen[emoji3][emoji3]si kwa chuki hizo
 
Alianza vizuri ila akaanza kuboa , eh kumbe ndo kafikia pabaya hivi...
Mimi nimeuona huu uzi 2023 ambapo tayari mambo yake ya siri yamejulikana kwa watu kuwa naye ni Bwabwa. Btw, Hiyo video inaonyesha kabisa ametumia filter na mwanau anayetumia filter kwenye picha zake sinaga imani naye, ni ama shoga au dish limeyumba. Sorry nimetoka kwenye maada, Kwenye hili Rubeni alizingua aseee.
 
Watu 24 tayari wapo ndani, kwa moto Uganda wenye nyumba wanafukuza mashoga wanaogopa msala,
Zambia napo hapatoshi, Burundi kwa Moto, bado Kenya na tz,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hizi habari mnatoa wapi.
 
Watu wamevurugwaa humu ndanii, hatareeeee
Haha mtu alishakuwa juu akafilisika akaanza upya na bwana akamuacha na watoto 2 me nashindana nae ...
Stress zake akasome
😜😜😜
 
Hebu nipisheee mie, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nikianzaga kukusaulaaa unakuaga mpoleeee. Now sitakii tyuuh kukupa airtime,

Mxxxxieeeeeew
Kwahiyo wewe cocastic umekubaliana na hali ya kuwa shoga, na huoni haja ya kufanya jitihada zozote za kuachana na huo mchezo mchafu unaoufanya? Pia ningependa kufahamu huu upuuzi na chukizo unalofanya ulianza toka mdogo au ulijifunzia ukubwani?
 
Hahaha ila coca bwana
Yaan wabongo kwa unafiki hakuna wa kuwakuta,

Unakuta mtu anamsema shogaaa wee, akimuona utaskia "fulaan nivushe kias fulan" ila wenzake anaokaa nao kuzodoa hawaombi.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yaan wabongo kwa unafiki hakuna wa kuwakuta,

Unakuta mtu anamsema shogaaa wee, akimuona utaskia "fulaan nivushe kias fulan" ila wenzake anaokaa nao kuzodoa hawaombi.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Clip mbona ni ya walokole wakimpiga bakora shetani?
 
Hua nashangaa kwanini wanamuona Mu7 ni shujaa wao wakati hana lolote anawahadaa tu Wana Uganda na EA kwa ujumla, hana hizo nguvu za kukataza homosexuals hana na hatokua nazo
 
Kwani uongo kama mwanamke ni kamzigo!!?
Mm kwangu kawaida sanaaaa...
Na wao wanavyowasema wanaume kibamia ulikuja na walaka wa kuombwa radhi!!?
Kaa kwa utulivu
 
Kati ya uzinzi , Umalaya na ushoga ni kipi kibaya zaidi mtu wewe ( nashindwa nikuite dada au kaka, s/he)? Hata wanyama ni malaya ( jike zaidi ya mmoja) lakini sijawahi kuona wanyama mashoga! Hata vitabu vya dini vinaonesha Mungu kuchukizwa zaidi na ushoga kuliko uzinzi na umalaya unaouchukia wewe. Halafu swali lingine Kwani wewe shoga una mme mmoja tu ? Na, je, mmeoana kwa ndoa au mnaishi km mme na mke?
 
Hakuna kizuri vyote vimekatazwa, labda hufuatilii maandiko.
Sio lazima uniite, afu kuhusu km nna mume m1 au wengi, pia km tumeoana kwa ndoa au laah.
Hoja yako haina mashiko, afu leo cna mood ya kushusha gazeti.

Kwa kifupi pambana na maisha yakoooo.
 
Hakuna kizuri vyote vimekatazwa, labda hufuatilii maandiko.
Sio lazima uniite, afu kuhusu km nna mume m1 au wengi, pia km tumeoana kwa ndoa au laah.
Hoja yako haina mashiko, afu leo cna mood ya kushusha gazeti.

Kwa kifupi pambana na maisha yakoooo.
Mbona unaruka hoja ya km kuna wanyama mashoga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…