Dr. Mariposa
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,264
- 10,535
Nakubaliana na wewe kuhusu Elimu,Tatizo gays wengi wa Bongo hawana Elimu, afu wakipata bahati ya sponsors wa maana, wanaishi km wema au Mobetto wanasahau wale ni wanawake sponsors mda wote wanapata, wao ni wa msimu na wa kutafuta.
Hakika angekua na akili hata sahv asingekua anajiliza wazi, ila alikimbilia life LA slays. Lol
Yaan ndo hivyo dear,Nakubaliana na wewe kuhusu Elimu,
Namjua mmoja amesoma anaishi life hilo balaa, gari anazotembelea sasa sio za Mjapani, Ghorofa lipo Kigamboni karibu na bahari, Ulaya anaenda kama Kariakoo lakini kilichomfikisha hapo sio Ushoga ni Elimu yake kaitumia vizuri anawapanga Wazungu wanamwaga mihela tu kupitia vimiradi uchwara.
Sijawahi kufanya utafiti juu ya hilo, ko siwezi jibu kitu nisicho na uhakika nacho, hata wee pia huna hakika km hakuna wanyamaa mashoga.Mbona unaruka hoja ya km kuna wanyama mashoga?
Yaan ndo hivyo dear,
Huoni Frankie maston at least anaish classic life, japo sio luxury hivyo ila ana deserve, kwann anatumia Elimu vizuri.
Now yuko na NGO inayo husu mradi wa ufadhili wa Transgender hapa Bongo, hana shida ndogo ndogo
Haswaaaaaa dear umenena.Namjua vema that Doll na hua nahudhuria shows zake, yupo sweet ndani na nje,
Naijua vizuri NGo yao kuna miradi mingine hua tunafanya nao,[emoji3059]
Tuzidi kuambizana kua Watu wasiishi kwa huruma ya Sexualities zao, bali wajue Dunia ni Mapambano hawana budi kuingia na kupambana ili waweze kuishi a better life... hakuna Mtu atakupa mkate kila siku sababu wewe ni Gay, kwani Ugay sio ulemavu, ukikosa kuajiriwa basi jiajiri ipo hivyo siku zote.
Wamejaa tele kama hujawahi kuwaona haimaanishi hawapo,Mbona unaruka hoja ya km kuna wanyama mashoga?
Badilika stop being hypocrite,hata nikilea peke yangu najimudu maisha nilonayo kwako ndoto ticha😅afu una inferiority complex instead ya kujibu hoja umekimbilia kusoma bandiko langu poor you 😅mie sijabother hata kusoma mabandiko yako cause your a looser, nothing interesting about you mnyonge 😅😅Kazi ya kulea pekeako haikutoshi unaongeza na zingine eehh
Haya byeeeeeee enjoy the space
Wanawake wanapenda watu wa namna hii jamii ya kina Jumalokole, nachelea kusema wanawake ndio walezi wakubwa wa machokoMimi sikuwahi kuelewa hata kwanini watu walikuwa wanamwelewa.
Mimi mara ya kwanza kumfahamu nilikuwa nimekaa na binamu yangu akawa anacheka peke yake akiwa na simu, mara eti akanionyesha alichokuwa anatazama anasema jamaa ni maarufu mtandaoni anaongea vitu vya ukweli ina a funny way, akanionyesha video kama mbili. Sikuvutiwa kabisa na niliona atakuwa na kasoro si bure...
Sikuwahi kumfuatilia tena.
Hivi Martin Kadinda aliishiaga wapi, hivi nayeye alifanikiwa kweli kuyatunza marinda?Yeah noel mbona ndo madam boss wa mashouger
Anaishi poshy life masaki hukoo ni mke ya mzungu
Huyu alikuwa anatafuta kujulikana mjini hatimaye booster kaipataKinasa msukuma ni nani?
Ni kweli mashabiki wao wengi ni wanawake. Hata huku mtaani mashoga niliowahi kuwafahamu marafiki zao ni wanawakeNinawalaum sana wanawake kwa kusapoti hawa watu.... huyu jamaa ana mashabiki waaminifu sana ambao ni wanawake... kuna wanawake huwaambii kitu kuhusu Hakika Ruben... kinachoudhi wanawake wakisikia mtu ni shoga hukimbilia kuandika "Mungu tulindie vizazi vyetu" lakini kwenye maisha ya kawaida wanawake huwapenda sana hawa watu na kuwa nao karibu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kama ulikuwepoMuseven mwenyewe bwabwa.
Akiwa msitunii kwenye vikosi vya mapinduzi alikuwa analiwa kijambio na Kanali Justin Muhorozi kisha akapandishwa cheo na kuwa mkuu wa kikosi.
Kijambio cha Museven kilimpaisha hadi akawa Rais.
Baadaye akaanza kuwaonea wivu mabwabwa wenzake akatunga sheria ya kuwatia nguvuni ili wasimpindue.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilikuwepo mzee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kama ulikuwepo
Dutete HATEPETI?MWAMBA ALIKUWA DUTETE TU...
Kifungu namba SABA BEE cha sheria ya ULAJI WA MAVI ya mwaka 1963.Hebu niambie hii hukumu iko katika kifungu ibara gani nkajisomee.
Analimaa Shabaa tuuu...Dutete HATEPETI?
Wanajifaragua tu lakini ndio hawa hawa walaji wa vinyesi.Sahihi kabisa na hii sijui ni kwanini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hua nashangaa kwanini wanamuona Mu7 ni shujaa wao wakati hana lolote anawahadaa tu Wana Uganda na EA kwa ujumla, hana hizo nguvu za kukataza homosexuals hana na hatokua nazo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wamejaa tele kama hujawahi kuwaona haimaanishi hawapo,
Nimeshuhudia Paka
Nimeshuhudia Majogoo
Nimeshuhudia Mbwa tena huyu nilimuokoa maana alikua ana wake likaja limbwa lingine likawa linamfosi huku yule mpenzi wake akibaki mnyonge, nikafanya maamuzi magumu, na kurudisha amani ya wapendanao wale,
Unaweza pia kupita kwenye mitandao ukapata mawili matatu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Analimaa Shabaa tuuu...