Hakika Ruben, unachofanya sio comedy bali ni udhalilishaji kwa wanawake

Hakika Ruben, unachofanya sio comedy bali ni udhalilishaji kwa wanawake

Moja ya vilaza wazur sana kwenye hii nchi ni huyo jamaa
 
Mbona hamna cha ajabu kwenye hiyo video clip??
Kwani uongo mkuu, wanaume wengi wanapenda kalio, na kuna memes kibao zinadiss wanawake vimbaumbau.

Hata haina shida hapo labda tu kama wewe ni ke basi hauna traakoo na kama ni me basi mke/manzi ako hana wowowo.
Pole sana mkuu.
 
Wanawake kusemana ni kawaida yao, wewe unawafatilia wa nini?
 
Wakuu natumaini mko poa. Leo naandika nikiwa na hasira nyingi dhidi ya mtu anayeitwa Hakika Ruben.

Huyu ni mtu maarufu mitandaoni kwa clips zake za vichekesho.

Kwa upande wangu nampongeza kwa kuendeleza kipaji chake na ninampongeza zaidi kama inamletea chochote mezani.

Binafsi sivutiwi na aina ya comedy anayofanya hasa kwenye uongeaji wake wa kuchanganya lugha ya kiingereza na kiswahili.

Leo nimetumiwa clip ambayo kiukweli sio comedy kabisa na anapaswa kuomba radhi kwa jamii.

Kwa ufupi Hakika Ruben kaongea maneno ya ovyo kwa maumbile ya wanawake.

Kaenda mbali zaidi kwa kusema kama wanajua wana maumbile hayo kulikuwa na haja gani ya wao kuja duniani?

Ninawasihi mashabiki wa huyu msanii uchwara tumgomee kazi zake zote pia ikitokea kupiga kura kwenye tuzo atakazokuwa nominated tusifanye hivyo.

Tazama hiyo clip kisha utoe maoni yako.


Uyo jama no bwege tu kazi take kutukana
 
Aseee feminist bhana wajinga wajinga kweli jamaa kasema kalio tu povu kama lote lakini wanaume utasikia mwanamke anasema kibamia mara madudu mengine miwanawake inakenua tu lakini Jamaa kusema kalio tu basi povuuu jingi mwacheni atumie akili yake kula kuliko kuwa fisadi
 
ila wanawake bwanaa hadi mnaboa wakati mwingine...... ivi neno kibamia lenyewe si udhalilishaji, mwanaune suruali lenyewe ni zuri sio....

nyie ni nani msisemwe, anasemwa msemaji wa upinzani ije kuwa nyiee....

kwendraaaaaaa.... Kamuue basi
 
Aseee feminist bhana wajinga wajinga kweli jamaa kasema kalio tu povu kama lote lakini wanaume utasikia mwanamke anasema kibamia mara madudu mengine miwanawake inakenua tu lakini Jamaa kusema kalio tu basi povuuu jingi mwacheni atumie akili yake kula kuliko kuwa fisadi
Ficha upumbavu wako.
 
ila wanawake bwanaa hadi mnaboa wakati mwingine...... ivi neno kibamia lenyewe si udhalilishaji, mwanaune suruali lenyewe ni zuri sio....

nyie ni nani msisemwe, anasemwa msemaji wa upinzani ije kuwa nyiee....

kwendraaaaaaa.... Kamuue basi
Wewe ni mpumbavu sana aisee. Hakika Ruben kusema kwamba "kama ulijua uko hivyo usingekuja?" Huoni kama kaingilia hadi mamlaka ya muumba?
 
Wewe ni mpumbavu sana aisee. Hakika Ruben kusema kwamba "kama ulijua uko hivyo usingekuja?" Huoni kama kaingilia hadi mamlaka ya muumba?
Mamlaka gani ya muumba yaliyoingiliwa hapo wewe mfia dini,, Ukiona mwanamke mjinga anasema kibamia mtandaoni unakenua domo lote nd nyie mkiguswa kidog tu lawama nyingi ficha ujinga nyingine ni comedy tu usichukulie kila kitu serious Sana hata dunia yenyew haijawai kuwa serious hivyo.
 
Back
Top Bottom