Hakika Ruben, unachofanya sio comedy bali ni udhalilishaji kwa wanawake

Hakika Ruben, unachofanya sio comedy bali ni udhalilishaji kwa wanawake

Kwani uongo kama mwanamke ni kamzigo!!?
Mm kwangu kawaida sanaaaa...
Na wao wanavyowasema wanaume kibamia ulikuja na walaka wa kuombwa radhi!!?
Kaa kwa utulivu
Kwahiyo wewe unasapoti alichotamka Shoga?
 
Yaan wabongo kwa unafiki hakuna wa kuwakuta,

Unakuta mtu anamsema shogaaa wee, akimuona utaskia "fulaan nivushe kias fulan" ila wenzake anaokaa nao kuzodoa hawaombi.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nauchukia sana unafiki na wanafiki. Mtu kama shoga si uwe tu real kwani nani unamuogopa?

Mtu kuwa real ni kosa?
 
Ninawalaum sana wanawake kwa kusapoti hawa watu.... huyu jamaa ana mashabiki waaminifu sana ambao ni wanawake... kuna wanawake huwaambii kitu kuhusu Hakika Ruben... kinachoudhi wanawake wakisikia mtu ni shoga hukimbilia kuandika "Mungu tulindie vizazi vyetu" lakini kwenye maisha ya kawaida wanawake huwapenda sana hawa watu na kuwa nao karibu.
Uache kulaumu wanao mfira uje ulaumu wanawake una kichaa wewe kwani walimshikia miguu. Mijibaba ya jf mnakera kila tatizo lawama mnawapa wanawake khaaa kwa style hii ya kulalamika acha muendelee kuliwa tu
 
Ajabu ni kwamba wanaofanya huo ushetwani ni wanaume...na nyie ndo mko hapa mnawashangaa... 🤪🤪🤪🤪
Shangaa na wewe mama mana nimeona jinga moja hapo juu linalaumu wanawake kwa kukaa na mashoga wakati wafiraji hawaongelewi
 
Back
Top Bottom